School Bullies in Singapore Face Caning
After the caning is meted out, the school will “monitor the student’s wellbeing and progress”, including providing counselling, Lee said.
After the caning is meted out, the school will “monitor the student’s wellbeing and progress”, including providing counselling, Lee said.
Katika siku ya kwanza ya ziara ya kiserikali ya Rais Ruto nchini Tanzania, Rais Samia alimuomba Ruto kushirikiana naye kuwaadhibu vijana wa kizazi kipya maarufu kizazi cha Gen Z wanaosababisha “fujo” katika nchi zote mbili kwa kukiuka sheria kwa kisingizio cha kuminywa kwa demokrasia.
Uzinduzi huo umefanyika leo, Aprili 29, 2026, ukiongozwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Christian Makonda.
Pope Leo XIV met on Monday with the first woman to lead the world’s Anglican Christians, the newly enthroned Archbishop of Canterbury Sarah Mullally, urging unity to evangelize more effectively.
Ripoti ya Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Oktoba 29, 2025 imeeleza kuwa ghasia zilizotokea wakati na baada ya uchaguzi mkuu nchini Tanzania zilitokana na mkusanyiko wa changamoto za muda mrefu zilizokuwa zikijengeka ndani ya jamii bila kushughulikiwa ipasavyo.
Kwa miezi kadhaa, taifa limekuwa likikabiliwa na sintofahamu na maswali mazito kuhusu tukio hilo, likiwemo uwezekano wa kuhusika kwa makundi yenye maslahi ya kisiasa, pamoja na madai ya uwepo wa ushirikiano wa ndani na nje ya nchi madai ambayo bado hayajathibitishwa rasmi.
Pope Leo XIV on Wednesday called for “greater room for freedom” in Equatorial Guinea and delivered a rare criticism of living conditions for prisoners before visiting inmates in a jail known for its squalor and ill-treatment of detainees.
Kenya, Tanzania na Uganda yametajwa miongoni mwa mataifa yanayoshiriki katika ukandamizaji wa wapinzani na wanaharakati nje ya mipaka yao, ikionyesha Afrika Mashariki kama kitovu cha mashirikiano ya kiusalama yenye sura ya kiimla, kulingana na ripoti mpya ya Freedom House
US President Donald Trump’s threat to destroy Iran’s centuries-old civilisation was the red line that prompted Pope Leo to show his colours, analysts say.
Israeli attacks on Lebanon have killed nearly 2,300 people since March 2, Lebanon’s health ministry said, on the first day of the ceasefire in the Israel-Hezbollah war.