Lissu Ahitimisha Utetezi Baada Ya Siku Tano Mahakamani, Shahidi Mwingine Kuendelea
Lissu amepanga kuleta mashahidi 12 kwa ajili ya utetezi dhidi yake akiwemo na yeye mwenyewe huku, wengine wakiwa ni Viongozi wakuu wa serikali na Chama chake.
Lissu amepanga kuleta mashahidi 12 kwa ajili ya utetezi dhidi yake akiwemo na yeye mwenyewe huku, wengine wakiwa ni Viongozi wakuu wa serikali na Chama chake.
Jamhuri imeonekana kulenga kutengeneza picha kwamba baadhi ya kauli na hoja zilizotolewa na Lissu katika utetezi wake zinapingana na ushahidi wa mashahidi wa upande wa mashtaka, huku Lissu akijibu kwa kusisitiza tafsiri yake ya matukio, sheria na ushahidi uliowasilishwa mahakamani.
Lissu amesisitiza kuwa hana wajibu wa kuthibitisha kesi hiyo, akirejea misingi ya sheria ya ushahidi.
Lissu amewaambia majaji kwamba ushahidi alioutoa unaonyesha kuwa upande wa Jamhuri haujathibitisha vipengele muhimu vya kosa la uhaini, ikiwemo kuwepo kwa nia ya kutenda kosa hilo.
Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, amesema kesi ya uhaini inayomkabili ni mwendelezo wa kesi mbalimbali za kisiasa ambazo amedai amekuwa akifunguliwa na Serikali kwa miaka mingi kutokana na misimamo na shughuli zake za kisiasa.
Lissu amekuwa shahidi wa kwanza wa utetezi na ameanza kutoa ushahidi wake chini ya kiapo, akieleza kuwa hajawahi kutoa ushahidi mahakamani na hivyo kuomba aongozwe katika hatua hiyo.
Violence broke out on Sunday ahead of a rally in Homa Bay, in the country’s southwest, by opposition movement Linda Mwananchi, which is seeking to oust President William Ruto in elections due next year.According to RSF, at least eight journalists were assaulted and media vehicles vandalised, both before and during the rally.
Obado and his co‑accused face the possibility of life imprisonment or the death penalty, depending on the court’s final determination.
Akiwasilisha hoja yake ya “No Case to Answer”, Lissu amesema Jamhuri imeshindwa kuthibitisha kuwepo kwa nia ya kutenda uhaini pamoja na vitendo vinavyothibitisha nia hiyo.
Kupitia Wakili wa Serikali Mkuu, Nassoro Katuga, Jamhuri imeiambia Mahakama kuwa baada ya kupitia ushahidi uliokwisha kutolewa na kuuchambua pamoja na ushahidi uliokuwa umebaki, imejiridhisha kuwa hakuna sababu ya kuendelea kuwaita mashahidi wengine.