• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Social Issues

Baba wa kijana aliyechoma picha ya Rais aomba kupatikana kwa mwanawe akiwa hai au mfu
East Africa Social Issues Tanzania

Baba wa kijana aliyechoma picha ya Rais aomba kupatikana kwa mwanawe akiwa hai au mfu

Asia GambaAugust 7, 2024August 7, 2024

Shadrack Chaula anadaiwa kutekwa Agosti 2, 2024 ikiwa ni takribani siku 20 kupita tangu alipotoka Gereza la Ruanda lililoko mkoani Mbeya.

Kenya yatoa tahadhari kwa raia wake wanaoishi Uingereza
Europe Kenya Social Issues

Kenya yatoa tahadhari kwa raia wake wanaoishi Uingereza

Kevin SeweAugust 6, 2024August 7, 2024

Ubalozi wa Kenya nchini Uingereza umewatahadharisha raia wake wanaoishi nchini humo kuchukua tahadhari na kufuata maelekezo yanayotolewa na serikali ya…

Media rights group RSF ‘relieved’ by Russia’s expected Gershkovich release
International Politics Rights & Freedoms

Media rights group RSF ‘relieved’ by Russia’s expected Gershkovich release

Mwanzo EditorAugust 1, 2024August 2, 2024

Gershkovich, a Wall Street Journal reporter who was convicted of espionage and has spent 16 months behind bars

Ngedere, bundi chanzo cha hitilafu ya umeme treni ya SGR
East Africa Social Issues Tanzania

Ngedere, bundi chanzo cha hitilafu ya umeme treni ya SGR

Asia GambaJuly 31, 2024August 5, 2024

Taarifa iliyotolewa leo July 31,2024 na Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano – TRC, Jamila Mbarouck imesema hitilafu I lisababisha umeme kukatika kituo cha kupoozea umeme namba 7 (Godegode) ambayo kitaalamu hujulikana kama (Instanteneous Overcurrent Protection Trip) majira ya saa 4:20 usiku

HRW:Tanzania yawahamisha maelfu ya Wamasai
East Africa Social Issues Tanzania

HRW:Tanzania yawahamisha maelfu ya Wamasai

Asia GambaJuly 31, 2024August 5, 2024

HRW ilisema iliwahoji karibu watu 100 kati ya Agosti 2022 na Desemba 2023, wakiwemo wanajamii ambao tayari walikuwa wamehamia kijiji cha Msomera huko Handeni na wengine wanaokabiliwa na uhamisho.

Tanzania Evicting Thousands of Maasai, Says Human Rights Watch
East Africa Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Tanzania Evicting Thousands of Maasai, Says Human Rights Watch

Joy CheptooJuly 31, 2024August 5, 2024

Tanzania’s forced relocation of Maasai communities raises serious human rights concerns, says Human Rights Watch

BMH yapandikiza Uloto kwa mgonjwa wa Sikoseli mwenye kundi la damu tofauti na mchangiaji
Lifestyle & Health Social Issues Tanzania

BMH yapandikiza Uloto kwa mgonjwa wa Sikoseli mwenye kundi la damu tofauti na mchangiaji

Asia GambaJuly 30, 2024August 7, 2024

Utaalam huu unaojulikana kama Bone Marrow Manipulation- RBC Depletion ni utaalam unaofanywa na mashine maalum ( Apheresis machine) kwa kuchuja na kuchukua Uloto ulio kusudiwa kisha kumwekea mgonjwa ( kumpandikiza) uloto uliobakia. 

Mtalii mmoja mwenye asili ya China afariki kwa ajali katika Hifadhi ya Serengeti
Social Issues Tanzania

Mtalii mmoja mwenye asili ya China afariki kwa ajali katika Hifadhi ya Serengeti

Asia GambaJuly 29, 2024August 7, 2024

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (Tanapa) leo Julai 29, 2024 gari hiyo ilikuwa na watalii saba wenye asili ya China na dereva raia wa Tanzania

Kenyans will need to renew their National ID cards every 10 years- PS Bitok
East Africa Kenya Rights & Freedoms

Kenyans will need to renew their National ID cards every 10 years- PS Bitok

Joy CheptooJuly 22, 2024August 7, 2024

Bitok explained that the Maisha Card, featuring a machine-readable microchip, has a maximum shelf life of 10 years from the date of issuance

Melivita ya Kichina ya matibabu yahudumia watu zaidi ya 5,000 kwa siku.
Social Issues Tanzania

Melivita ya Kichina ya matibabu yahudumia watu zaidi ya 5,000 kwa siku.

Asia GambaJuly 22, 2024August 7, 2024

Melivita ya matibabu iitwayo ‘Peace Ark’ ya Jeshi la Ukombozi la watu wa China imetoa matibabu kwa wagonjwa zaidi ya elfu 5,000 kwa siku Tano baada ya kukita nanga katika bandari ya Dar Es Salaam nchini Tanzania Julai 16, 2024 itakayotoa huduma kwa siku Saba. 

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy