Malawi yajiandaa kutoa vikosi vyake kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Malawi imetangaza kuwa inajiandaa kutoa vikosi vyake kutoka mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambako kundi la waasi la M23 linaloungwa mkono na Rwanda limelizindua shambulizi jipya.