Killing of Tanzania Protesters ‘A Disgrace Before God’: Archbishop
“Our country has lost its dignity because of what transpired during the week of the general election,” said Archbishop Jude Thaddaeus Ruwa’ichi, leading the service.
“Our country has lost its dignity because of what transpired during the week of the general election,” said Archbishop Jude Thaddaeus Ruwa’ichi, leading the service.
Khama condemned leaders who cling to power through violence and manipulation, saying, “It is totally unacceptable when an African leader, in order to stay in power, will resort to killing his or her own people, will rig an election as if they are God’s gift to their country.”
Wakili wa Serikali, Thawabu Issa, akiwasilisha maelezo kwa niaba ya wenzake, alieleza kuwa baada ya kufika mahakamani na kutomuona mshtakiwa, walifanya mawasiliano na Jeshi la Magereza ambapo Mkuu wa Magereza aliwataarifu kwamba Lissu hakuweza kufikishwa mahakamani kwa sababu za kiusalama.
Her lawyer, Peter Kibatala, told the court that Niffer was beaten by several police officers and forced to sign a statement before she was taken to court.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa CHADEMA, Wakili Gaston Garubindi, maombi hayo yamesajiliwa na kupangwa mbele ya Jaji Obadia Bwegoge.
Taarifa hiyo ya ACT Wazalendo ambayo imetolewa leo Alhamisi Novemba 6, 2025, imeeleza kuwa matukio hayo si uvunjifu wa haki za binadamu tu bali pia mamlaka zimekosa utu kwa kutozingatia misingi ya utawala bora.
Kiongozi huyo wa TLS alidai kuwa Heche alikamatwa na kuzuiliwa kinyume cha sheria, na kwamba wakati wa tukio hilo, vyombo vya dola vilikuwa.
His current location remains unknown, raising serious concerns about his safety and wellbeing.
A text message circulating from the Tanzanian Police warns citizens against sharing photos or videos that could “cause panic” or “undermine someone’s dignity,” saying it’s a criminal offense punishable by law.
She has has affirmed that her election victory reflects the trust and confidence of the Tanzanian people