Lebanon Says nearly 2,300 Killed in Israel War
Israeli attacks on Lebanon have killed nearly 2,300 people since March 2, Lebanon’s health ministry said, on the first day of the ceasefire in the Israel-Hezbollah war.
Israeli attacks on Lebanon have killed nearly 2,300 people since March 2, Lebanon’s health ministry said, on the first day of the ceasefire in the Israel-Hezbollah war.
Trump has called the pontiff “WEAK on Crime, and terrible for Foreign Policy”, suggesting that cardinals only elected Leo pope in May 2025 because he was American, and a potential bridge to Washington.
Lissu alikamatwa Aprili 9, 2025 katika Wilaya ya Mbinga, mkoani Ruvuma, wakati wa operesheni maalum iliyopewa jina la “No Reforms No Election”, kampeni iliyolenga kushinikiza mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi nchini.
King’ora cha tahadhari ya mashambulizi ya anga kimelia katika maeneo mbalimbali ya Israel, ikiwemo kitovu cha biashara cha Tel Aviv na mji wa pwani wa kusini wa Ashdod, kufuatia mashambulizi ya makombora kutoka Lebanon.
Mnamo Juni 2024, wimbi la maandamano lililoongozwa na kile kinachoitwa “Gen Z” lilienea nchini baada ya Rais William Ruto kutangaza ongezeko la kodi, jambo lililopunguza umaarufu wake miongoni mwa vijana.
Mullally, who is married with two children, becomes the 106th Archbishop of Canterbury, the first having been appointed in the late sixth century.
The Pope has been urged by the International Association of Exorcists (AIE) to appoint at least one trained exorcist priest in every diocese worldwide due to a reported surge in Satanism and occult practices.
This month, Sudan’s army said drone attacks had been launched “from inside Ethiopian territory”, in the first accusation of Ethiopian involvement in the war.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu, ametoa tuhuma nzito dhidi ya…
According to his filing, being in prison has prevented him from attending routine medical check-ups, raising fears that further delays in hearing the case could worsen his condition.