• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Social Issues

Sugu aishutumu CCM kwa madai ya uporaji wa uchaguzi, ataka uwajibikaji wa matumizi ya nguvu
East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Sugu aishutumu CCM kwa madai ya uporaji wa uchaguzi, ataka uwajibikaji wa matumizi ya nguvu

Asia GambaMarch 23, 2026

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu, ametoa tuhuma nzito dhidi ya…

Tanzania Opposition Leader Tundu Lissu Seeks Urgent Court Hearing Over Health Concerns
East Africa People Politics Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Tanzania Opposition Leader Tundu Lissu Seeks Urgent Court Hearing Over Health Concerns

Joy CheptooMarch 23, 2026March 23, 2026

According to his filing, being in prison has prevented him from attending routine medical check-ups, raising fears that further delays in hearing the case could worsen his condition.

Lissu aomba kesi yake isikilizwe haraka kwa hofu ya afya
East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Lissu aomba kesi yake isikilizwe haraka kwa hofu ya afya

Asia GambaMarch 23, 2026

Ameeleza sababu tano kuu, ikiwemo kuwa yuko kizuizini tangu Aprili 2025, pamoja na hali yake ya afya inayohitaji uangalizi wa mara kwa mara kufuatia jaribio la mauaji dhidi yake mwaka 2017.

Jamii ya Wamaasai yakataa mpango wa Serikali wa kuwahamisha, wakitaja ukiukwaji wa Haki za Binadamu
Africa East Africa Environment People Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Jamii ya Wamaasai yakataa mpango wa Serikali wa kuwahamisha, wakitaja ukiukwaji wa Haki za Binadamu

Asia GambaMarch 20, 2026March 20, 2026

Kwa mujibu wa MISA, ripoti za tume hizo zinategemea kwa kiasi kikubwa nyaraka za sera zinazopingwa, ikiwemo Ripoti ya Mfano wa Matumizi Mbalimbali ya Ardhi ya mwaka 2019 (MLUM), na zinapuuza ushahidi wa kisayansi unaopingana na simulizi la serikali. 

Ngorongoro reports could worsen Maasai land dispute, warns lawyer Denis Oleshangay
Africa East Africa Environment Features People Politics Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Ngorongoro reports could worsen Maasai land dispute, warns lawyer Denis Oleshangay

Joy CheptooMarch 20, 2026March 20, 2026

Oleshangay said the recommendations appear to push toward removing people from Ngorongoro instead of addressing the concerns raised by residents.

Askari Polisi ahukumiwa miaka miwili jela kwa kusababisha kifo cha Nashon
Africa East Africa Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Askari Polisi ahukumiwa miaka miwili jela kwa kusababisha kifo cha Nashon

Asia GambaMarch 20, 2026

Hukumu hiyo imetolewa na Jaji Angaza Mwipopo baada ya mahakama kuridhika na ushahidi uliowasilishwa na upande wa Jamhuri. Akisoma hukumu, Jaji Mwipopo amesema kuwa ushahidi uliotolewa ulithibitisha kuwa mshtakiwa alitenda kosa hilo Desemba 14, 2024 katika eneo la Ipogolo.

Milipuko ya kujitoa mhanga Nigeria yaua 23, zaidi ya 100 wajeruhiwa
Africa International People Social Issues War & Conflicts

Milipuko ya kujitoa mhanga Nigeria yaua 23, zaidi ya 100 wajeruhiwa

Asia GambaMarch 17, 2026March 17, 2026

Milipuko mitatu ilitokea jioni ya Jumatatu muda mfupi baada ya wakazi wa mji huo wenye Waislamu wengi kufungua futari ya mwezi wa Ramadhani. Milipuko hiyo ililenga soko kuu, lango la hospitali kubwa ya kufundishia ya Maiduguri, pamoja na eneo la ofisi ya posta.

Bobi Wine Says He Has Left Uganda After Weeks in Hiding
East Africa People Politics Rights & Freedoms Social Issues Uganda

Bobi Wine Says He Has Left Uganda After Weeks in Hiding

Joy CheptooMarch 16, 2026March 16, 2026

In a video message shared online, Wine said he had left Uganda to handle what he described as critical engagements abroad and promised to return.

Hukumu yaondoa sharti la BAKWATA kwa taasisi za Kiislamu
Africa Religion Tanzania

Hukumu yaondoa sharti la BAKWATA kwa taasisi za Kiislamu

Asia GambaMarch 12, 2026

Kwa mujibu wa uamuzi huo, taasisi na mabaraza mbalimbali ya Kiislamu sasa yanaweza kuendesha shughuli zao na kuchagua viongozi wao bila kulazimishwa kuwa chini ya mwamvuli mmoja.

Kanisa Katoliki Musoma lalaani  Polisi kuwapiga mabomu BAWACHA kanisani
Africa Politics Religion Tanzania

Kanisa Katoliki Musoma lalaani Polisi kuwapiga mabomu BAWACHA kanisani

Asia GambaMarch 11, 2026

Askofu wa Jimbo Kuu Katoliki la Musoma, Michael Msonganzila, amelaani vikali tukio la Jeshi la Polisi kurusha mabomu ya machozi ndani ya eneo la kanisa wakati wa ibada, tukio lililotokea wakati wanachama wanawake wa Chadema  BAWACHA, walipokuwa wakitoka ibadani.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy