Covid test and vaccination mandatory for Africa Cup fans
“Fans will not be able to get into the stadiums… unless they are fully vaccinated and show a negative PCR test of less than 72 hours…”
“Fans will not be able to get into the stadiums… unless they are fully vaccinated and show a negative PCR test of less than 72 hours…”
Mavys Rego says her relationship with Maradona lasted “between four and five years”.
kuna ndugu kutoka Afrika wanaocheza soka katika mataifa tofauti barani Afrika na kimataifa.
Milutin Sredojevic alias ‘Micho’ has been found guilty of two counts of sexual assault.
Bingwa wa Marathon Eliud Kipchoge, ameteuliwa kuwa balozi maalum wa michezo ya Olimpiki ya 2024 mjini Paris Ufaransa.
Nyota wa kandanda Lionel Messi, Jorginho na N’Golo Kante wametajwa katika orodha ya wachezaji wengine 30 watakaowania tuzo ya Ballon d’Or 2021.
Rais wa Liberia George Weah alikuwa mwanakandanda wa timu ya taifa kwa miaka mingi kabla ya kujiunga na siasa na kuwa rais wa taifa.
Mauaji ya mwanariadha wa Kenya Agnes Tirop huenda yalitokana na mzozo wa kimapenzi.
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), limeipiga faini ya shilingi milioni 11 klabu ya Yanga nchini Tanzania.
Mnada ulifanywa na Catawiki kwa lengo la kupata fedha za kufadhili elimu ya wanafunzi maskini kupitia wakfu wa Eliud Kipchoge.