Mahakama Kuu kusikiliza maombi ya Habeas Corpus ya John Heche
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa CHADEMA, Wakili Gaston Garubindi, maombi hayo yamesajiliwa na kupangwa mbele ya Jaji Obadia Bwegoge.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa CHADEMA, Wakili Gaston Garubindi, maombi hayo yamesajiliwa na kupangwa mbele ya Jaji Obadia Bwegoge.
Katika ripoti yake ya awali, Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa AU ulisema kuwa baadhi ya wapiga kura walipatiwa karatasi nyingi za kupigia kura, na wengine waliruhusiwa kupiga kura bila majina yao kuthibitishwa kwenye daftari la wapiga kura.
His current location remains unknown, raising serious concerns about his safety and wellbeing.
Idadi ndogo ya wapiga kura imeonekana katika vituo vya kupigia kura jijini Dar es Salaam leo Jumatano, wakati ambapo wapinzani wakuu wa Rais Samia Suluhu Hassan wengine wakiwa gerezani na wengine wamezuiwa kugombea.
The award was presented by former Ghanaian President Nana Akufo-Addo during the Democrat Union of Africa (DUA) Forum 2025, held in Nairobi, Kenya, on October 28.
The statement accuses Tanzanian authorities of violating human rights through unlawful detention, enforced disappearances and the silencing of opposition voices.
Tume zote mbili INEC kwa Tanzania Bara na ZEC kwa Zanzibar zimeahidi kufanya uchaguzi ulio huru, wa amani na unaozingatia sheria. Mashirika ya kiraia na waangalizi wa kimataifa pia wanatarajiwa kufuatilia mchakato huo unaotazamwa kama kipimo muhimu cha demokrasia nchini.
His request for bail was denied, as treason is considered a non-bailable offence under Tanzanian law.
His whereabouts remain unknown, while party leader Tundu Lissu remains in custody with his treason trial pushed to November 3
The party said this deepens fears about his safety and the growing pattern of intimidation against opposition figures ahead of the October 29 general election.