CHADEMA Jimbo La Momba,Mkoani Songwe Wajitoa Kwenye Uchaguzi
Changamoto kadhaa zimesikika katika baadhi ya maeneo hapa nchini juu ya uchaguzi huo ikiwemo majimbo ya Tunduma na Momba Mkoani Songwe pia huko mkoani Mwanza ambako baadhi ya wananchi wamekosa majina yao kwenye orodha ya wapiga kura na hivyo kuamua kurudi makwao kuendelea na shughuli zao nyingine.