Africa East Africa Opinion Politics Tanzania

Miezi 10 ya kimya cha kulazimishwa: Je, Chadema wako tayari kurudi kwa nguvu?

Itakumbukwa kuwa Juni 10,2025 Mahakama Kuu, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, ilizuia kwa muda shughuli za kisiasa za chama hicho Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania, baada ya aliyekuwa makamu mwenyekiti wa chama hicho upande wa Zanzibar, Said Issa Mohamed, na wenzake, kufungua kesi ya msingi wakilalamikia hatua ya chama hicho kuibagua Zanzibar katika shughuli zake, zikiwemo rasilimali za kifedha.

Africa East Africa People Politics Rights & Freedoms Tanzania

Chadema yaikataa Tume ya Rais Samia, yashinikiza uchunguzi wa Kimataifa

Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche, akitoa taarifa kwa vyombo vya habari leo Novemba 19, 2025, amesema Rais Samia hana mamlaka ya kimaadili wala kisiasa kuunda chombo cha kuchunguza kile chama hicho kinachokitaja kuwa ni uhalifu uliotekelezwa na Serikali yake dhidi ya raia waliokuwa wakidai haki zao za kidemokrasia.