• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: kenya

#KENYA: Walimu wakamatwa kwa kuwalazimisha wanafunzi wachanga kufanya vitendo vya kiutu uzima
East Africa

#KENYA: Walimu wakamatwa kwa kuwalazimisha wanafunzi wachanga kufanya vitendo vya kiutu uzima

Joy CheptooFebruary 2, 2023February 2, 2023

Video hiyo ilionyesha wavulana wanne waliovalia sare za shule wakiiga vitendo vya ngono chini ya mti katika eneo la shule huku walimu wakitazama

Mshukiwa mkuu wa mauaji ya mwanaharakati wa LGBTQ Edwin Chiloba kushtakiwa
East Africa People

Mshukiwa mkuu wa mauaji ya mwanaharakati wa LGBTQ Edwin Chiloba kushtakiwa

Joy CheptooJanuary 31, 2023January 31, 2023

Jacktone Odhiambo, ambaye alikiri kumuua Edwin Chiloba kwa madai ya kutokuwa mwaminifu katika uhusiano wao atakabiliwa na mashtaka ya mauaji

Mwanaume wa Uganda atunukiwa Sh.10M baada ya mpenzi wake kukataa kuolewa naye
East Africa

Mwanaume wa Uganda atunukiwa Sh.10M baada ya mpenzi wake kukataa kuolewa naye

Joy CheptooJanuary 31, 2023January 31, 2023

Mwanamume huyo aliyevunjika moyo alisema alitaka mchumba wake amalize masomo yake kabla ya kufunga pingu za maisha

Ushauri wa usafiri wa KLM umezua hasira nchini Kenya na Tanzania
East Africa

Ushauri wa usafiri wa KLM umezua hasira nchini Kenya na Tanzania

Joy CheptooJanuary 29, 2023January 29, 2023

Shirika hilo la ndege, ambalo linamilikiwa na Air France KLM, liliomba msamaha kwa serikali ya Kenya, likisema ushauri huo “umekusudiwa kwa wateja wetu nchini Tanzania pekee”.

Naibu rais wa Kenya ashinikiza kuwa na eneo moja la starehe katika kila mji kupambana na ulevi
East Africa People Politics

Naibu rais wa Kenya ashinikiza kuwa na eneo moja la starehe katika kila mji kupambana na ulevi

Joy CheptooJanuary 27, 2023January 27, 2023

Gachagua alisema unywaji wa pombe haramu umefikia viwango vya wasiwasi na unatishia kuondoa kizazi cha vijana

Kenyan rugby ace Collins Injera retires aged 36
East Africa People Sports

Kenyan rugby ace Collins Injera retires aged 36

Mwanzo EditorJanuary 24, 2023January 24, 2023

Kenya’s all-time top try scorer Collins Injera announced his retirement on Tuesday after a 17-year rugby career

Rais Ruto akutana na viongozi wa Jubilee kabla ya mkutano wa Azimio katika uwanja wa Kamukunji
Politics

Rais Ruto akutana na viongozi wa Jubilee kabla ya mkutano wa Azimio katika uwanja wa Kamukunji

Victor WanaswaJanuary 23, 2023January 23, 2023

Hata hivyo, katibu mkuu wa Jubilee Jeremiah Kioni hakuwepo katika mkutano huo.

Waziri wa mambo ya ndani wa Ukraine na watu 15 wafariki katika ajali ya Helikopta
Europe War & Conflicts

Waziri wa mambo ya ndani wa Ukraine na watu 15 wafariki katika ajali ya Helikopta

Victor WanaswaJanuary 18, 2023July 2, 2024

Watoto watatu pia walikuwa miongoni mwa waliofariki na wengine 15 wanaendelea kupokea matibabu hospitalini.

Mkenya azuiliwa DR Congo kwa shambulio la bomu kanisani na kusababisha vifo vya watu 10
Africa East Africa

Mkenya azuiliwa DR Congo kwa shambulio la bomu kanisani na kusababisha vifo vya watu 10

Joy CheptooJanuary 16, 2023January 16, 2023

Tukio hilo la Kasindi, karibu na mpaka wa Uganda lilisababisha vifo vya watu 10 na liliacha takriban watu wengine 39 kujeruhiwa

Mwanaharakati wa LGBTQ wa Kenya alikufa kwa kukosa hewa: uchunguzi wa maiti unaonyesha
East Africa People

Mwanaharakati wa LGBTQ wa Kenya alikufa kwa kukosa hewa: uchunguzi wa maiti unaonyesha

Joy CheptooJanuary 11, 2023January 11, 2023

Jacktone Odhiambo, ambaye aliripotiwa kuwa mpenzi wa Chiloba, ameshtakiwa kwa mauaji yake na yuko chini ya ulinzi wa polisi pamoja na washukiwa wengine wanne.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo