#KENYA: Walimu wakamatwa kwa kuwalazimisha wanafunzi wachanga kufanya vitendo vya kiutu uzima
Video hiyo ilionyesha wavulana wanne waliovalia sare za shule wakiiga vitendo vya ngono chini ya mti katika eneo la shule huku walimu wakitazama
Video hiyo ilionyesha wavulana wanne waliovalia sare za shule wakiiga vitendo vya ngono chini ya mti katika eneo la shule huku walimu wakitazama
Jacktone Odhiambo, ambaye alikiri kumuua Edwin Chiloba kwa madai ya kutokuwa mwaminifu katika uhusiano wao atakabiliwa na mashtaka ya mauaji
Mwanamume huyo aliyevunjika moyo alisema alitaka mchumba wake amalize masomo yake kabla ya kufunga pingu za maisha
Shirika hilo la ndege, ambalo linamilikiwa na Air France KLM, liliomba msamaha kwa serikali ya Kenya, likisema ushauri huo “umekusudiwa kwa wateja wetu nchini Tanzania pekee”.
Gachagua alisema unywaji wa pombe haramu umefikia viwango vya wasiwasi na unatishia kuondoa kizazi cha vijana
Kenya’s all-time top try scorer Collins Injera announced his retirement on Tuesday after a 17-year rugby career
Hata hivyo, katibu mkuu wa Jubilee Jeremiah Kioni hakuwepo katika mkutano huo.
Watoto watatu pia walikuwa miongoni mwa waliofariki na wengine 15 wanaendelea kupokea matibabu hospitalini.
Tukio hilo la Kasindi, karibu na mpaka wa Uganda lilisababisha vifo vya watu 10 na liliacha takriban watu wengine 39 kujeruhiwa
Jacktone Odhiambo, ambaye aliripotiwa kuwa mpenzi wa Chiloba, ameshtakiwa kwa mauaji yake na yuko chini ya ulinzi wa polisi pamoja na washukiwa wengine wanne.