• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: kenya

Tiketi za Kombe la Dunia Nchini Qatar ndio ghali Zaidi Kuwahi kushudiwa-Utafiti
Sports

Tiketi za Kombe la Dunia Nchini Qatar ndio ghali Zaidi Kuwahi kushudiwa-Utafiti

Victor WanaswaNovember 18, 2022November 18, 2022

Wakati mashabiki nchini Urusi walilipa takriban pauni 214 (31, 1000) kwa tikiti za mechi nchini Qatar zinagharimu pauni 286 (41,000) kulingana na utafiti wa Keller Sports.

Mwanawe Odinga, Winnie Odinga kuwakilisha Kenya katika bunge la Afrika Mashariki
East Africa Politics

Mwanawe Odinga, Winnie Odinga kuwakilisha Kenya katika bunge la Afrika Mashariki

Victor WanaswaNovember 18, 2022November 18, 2022

Winnie Odinga, Binti mdogo wa Raila Odinga akiibuka wa pili kwa kura 247, jambo ambalo linamfungulia njia ya kuwakilisha taifa la Kenya kwa muhula wa miaka mitano katika bunge la EALA lililoko mjini Arusha.

Kitengo cha Mafunzo ya Jeshi la Uingereza nchini Kenya chakumbatia teknolojia mpya ya mafunzo
Kenya

Kitengo cha Mafunzo ya Jeshi la Uingereza nchini Kenya chakumbatia teknolojia mpya ya mafunzo

Victor WanaswaNovember 18, 2022July 2, 2024

Jeshi vilevile imeanzisha mafunzo ya muigo ya kukabiliana na hali ya mapigano, ambapo wamewafunza wahandisi wa Kenya kuhusu teknolojia hiyo.

Kenya Airways kuanza safari za moja kwa moja kutoka Mombasa –Dubai kuanzia mwezi ujao
Business / Finance International

Kenya Airways kuanza safari za moja kwa moja kutoka Mombasa –Dubai kuanzia mwezi ujao

Victor WanaswaNovember 17, 2022November 17, 2022

Shirika hilo linatazamiwa kuendesha safari hiyo mara nne kwa wiki kwa ndege yake aina ya Boeing 737-800.

FIFA President Infantino to stand unopposed for third term
Football International

FIFA President Infantino to stand unopposed for third term

Victor WanaswaNovember 17, 2022November 17, 2022

A brief statement from FIFA said that Infantino would be the only candidate when the election takes place at the 73rd FIFA Congress in Kigali, Rwanda on March 16.

Moshi ya bangi hudhuru mapafu zaidi kwa watumiaji wa sigara, utafiti wabaini
Lifestyle & Health

Moshi ya bangi hudhuru mapafu zaidi kwa watumiaji wa sigara, utafiti wabaini

Victor WanaswaNovember 17, 2022November 17, 2022

Bangi hatari na bandia kama K2 na Spice, haitumiwi sana katika majimbo ambayo bangi imehalalishwa.

Kizza Besigye: Uongozi sharti urejeshwe kwa wananchi wa Uganda
East Africa Politics

Kizza Besigye: Uongozi sharti urejeshwe kwa wananchi wa Uganda

Victor WanaswaNovember 17, 2022November 17, 2022

Besigye anasisitiza kwamba uongozi Uganda unatekelezwa kupitia jeshi ambalo alibaini kuwa linawafahamisha raia kuhusu mfalme wa kifalme anayekuja.

Wawinda mizimu Afrika Kusini wageukia teknolojia kurahisisha shughuli zao
Africa Science & Tech

Wawinda mizimu Afrika Kusini wageukia teknolojia kurahisisha shughuli zao

Victor WanaswaNovember 17, 2022November 17, 2022

Kazi yenyewe ni nzito. Kwa kuwa roho ya mizimu hukwepa mashambulia au muingiliano wa aina yeyote.

Ruto akanusha kusaini mkataba wa mafuta na gesi na Tanzania
Africa Business / Finance East Africa Environment People

Ruto akanusha kusaini mkataba wa mafuta na gesi na Tanzania

Joy CheptooNovember 16, 2022November 16, 2022

Alisema Kenya ina mpango wa kuzalisha MW 10,000 kutoka kwa rasilimali ya jotoardhi, na MW 20,000 kutoka kwa jua na upepo

Mwanzilishi wa Microsoft Bill Gates yuko nchini Kenya
Africa Business / Finance East Africa People

Mwanzilishi wa Microsoft Bill Gates yuko nchini Kenya

Joy CheptooNovember 15, 2022November 15, 2022

Mfanyabiashara wa Marekani na mwanzilishi wa Kampuni ya Microsoft Bill Gates yuko nchini Kenya, ambako atafanya mfululizo wa mazungumzo ya umma

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy