Mtoto wa miaka mitatu afariki dunia kwa madai ya kushambuliwa na bibi yake
Kwa mujibu wa taarifa, mtuhumiwa ambaye ni mama mdogo wa mama mzazi wa marehemu, anadaiwa kumpiga mtoto huyo maeneo mbalimbali ya mwili wake kisha kumkaba shingo na kusababisha kifo chake.