• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Mwanzo Media

Kenya:Mvua kubwa za mafuriko nchini Kenya zaua watu 81 mwezi Machi
Climate change East Africa Environment International Kenya Natural disasters

Kenya:Mvua kubwa za mafuriko nchini Kenya zaua watu 81 mwezi Machi

Asia GambaMarch 23, 2026

Zaidi ya familia 3,000 zimelazimika kuondoka makwao katika jamii ya Nyakach, huku baadhi wakikimbilia katika vituo vinane vya muda, wakazi walisema, wakati maji kutoka mto Mirui unaofurika yakiendelea kuhatarisha eneo hilo.

Jamii ya Wamaasai yakataa mpango wa Serikali wa kuwahamisha, wakitaja ukiukwaji wa Haki za Binadamu
Africa East Africa Environment People Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Jamii ya Wamaasai yakataa mpango wa Serikali wa kuwahamisha, wakitaja ukiukwaji wa Haki za Binadamu

Asia GambaMarch 20, 2026March 20, 2026

Kwa mujibu wa MISA, ripoti za tume hizo zinategemea kwa kiasi kikubwa nyaraka za sera zinazopingwa, ikiwemo Ripoti ya Mfano wa Matumizi Mbalimbali ya Ardhi ya mwaka 2019 (MLUM), na zinapuuza ushahidi wa kisayansi unaopingana na simulizi la serikali. 

NBS yaanza utekelezaji wa tafiti zitakazokusanya taarifa muhimu za biashara
East Africa Tanzania Uncategorized

NBS yaanza utekelezaji wa tafiti zitakazokusanya taarifa muhimu za biashara

Asia GambaMarch 18, 2026

Serikali kupitia Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imeanza kutekeleza tafiti mbalimbali zenye lengo la kukusanya taarifa muhimu kuhusu shughuli za biashara katika sekta rasmi na isiyo rasmi, pamoja na uzalishaji viwandani nchini.

Ripoti ya Tume:Mfumo wa kodi unahitaji marekebisho makubwa
Africa Development East Africa Tanzania

Ripoti ya Tume:Mfumo wa kodi unahitaji marekebisho makubwa

Asia GambaMarch 18, 2026

Akiwasilisha ripoti hiyo, Mwenyekiti wa Tume Ombeni Sefue alieleza kuwa mfumo wa sasa wa kodi una changamoto kubwa zinazowaumiza wananchi na kudhoofisha imani yao kwa serikali.

Hukumu yaondoa sharti la BAKWATA kwa taasisi za Kiislamu
Africa Religion Tanzania

Hukumu yaondoa sharti la BAKWATA kwa taasisi za Kiislamu

Asia GambaMarch 12, 2026

Kwa mujibu wa uamuzi huo, taasisi na mabaraza mbalimbali ya Kiislamu sasa yanaweza kuendesha shughuli zao na kuchagua viongozi wao bila kulazimishwa kuwa chini ya mwamvuli mmoja.

G7 kujadili kuachilia akiba za kimkakati za mafuta
Energy & Mining International

G7 kujadili kuachilia akiba za kimkakati za mafuta

Asia GambaMarch 9, 2026

Masoko ya hisa ya Asia yalishuka kwa kasi Jumatatu huku bei za mafuta zikiongezeka kwa asilimia 30 kutokana na hofu ya upatikanaji wa mafuta kutoka Mashariki ya Kati, wakati vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vikiingia wiki ya pili bila dalili ya kupungua.

Tanzania yajitetea UNHRC, yakemea mataifa ya Magharibi kwa tathmini yenye upendeleo
East Africa People Rights & Freedoms Tanzania United Nations

Tanzania yajitetea UNHRC, yakemea mataifa ya Magharibi kwa tathmini yenye upendeleo

Mwanzo EditorMarch 4, 2026

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewasilisha msimamo wake mbele ya Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa…

Tahadhari yatolewa ongezeko la Influenza na COVID-19 nchini Tanzania
Africa Energy & Mining

Tahadhari yatolewa ongezeko la Influenza na COVID-19 nchini Tanzania

Asia GambaFebruary 25, 2026

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, mafua makali ya Influenza na UVIKO-19 huambukizwa kupitia majimaji yanayotoka kwenye mfumo wa njia ya hewa ya mgonjwa, ambayo husambaa wakati wa kukohoa, kupiga chafya au kuzungumza.Vilevile, maambukizi yanaweza kutokea kwa kugusa mazingira yaliyochafuliwa na majimaji hayo.

Niffer na Chavala waachiwa huru baada ya DPP kuwafutia mashtaka ya Uhaini
East Africa Politics Social Issues Tanzania

Niffer na Chavala waachiwa huru baada ya DPP kuwafutia mashtaka ya Uhaini

Asia GambaDecember 3, 2025

Uamuzi huo umetolewa leo Jumatano Disemba 3, 2025 na Hakimu Mkazi Mkuu, Aaron Lyamuya, baada wakili wa Serikali, Titus Aron kuileleza Mahakama hiyo kuwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania( DPP) hana nia ya kuendelea na mashtaka shidi ya washtakiwa hao wawili.

Samia:Vurugu za Oktoba 29, zimeishushia hadhi Tanzania Kimataifa
East Africa Politics Tanzania

Samia:Vurugu za Oktoba 29, zimeishushia hadhi Tanzania Kimataifa

Asia GambaDecember 2, 2025

Rais Samia Suluhu Hassan amesema sifa ya Tanzania kama kisiwa cha amani imeanza kuporomoka kutokana na matukio ya vurugu, uchochezi na matumizi ya dini katika siasa, akisisitiza kuwa vitendo hivyo vinadhoofisha misingi iliyoiweka nchi hiyo kwenye heshima ya kimataifa kwa miongo mingi. 

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy