Kesi ya Tundu Lissu: Safari kutoka kukamatwa Mbinga hadi kusubiri uamuzi wa Mahakama
Safari ya kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, imechukua zaidi ya mwaka mmoja tangu alipokamatwa katika wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma Aprili 9, 2025.