• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Mwanzo Media

Lissu ajiwakilisha mwenyewe Mahakamani baada ya kunyimwa haki ya kuonana na Mawakili wake Gerezani
Crime & Justice East Africa Tanzania

Lissu ajiwakilisha mwenyewe Mahakamani baada ya kunyimwa haki ya kuonana na Mawakili wake Gerezani

Asia GambaJune 16, 2025

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ameieleza Mahakama ya Kisutu kuwa ameamua kujiwakilisha mwenyewe katika shauri la uhaini yanayomkabili, akidai kunyimwa haki ya kuonana kwa faragha na mawakili wake tangu alipowekwa mahabusu zaidi ya miezi miwili iliyopita.

Chadema yatakiwa kusimamisha shughuli zake kwa siku 14
East Africa Politics Tanzania

Chadema yatakiwa kusimamisha shughuli zake kwa siku 14

Asia GambaJune 10, 2025

Zuio hilo linatokana na kesi namba 8323/2025 iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Issa na wenzake wawili ambayo imetolewa uamuzi leo na Jaji Hamidu Mwanga.

Chadema, Msajili bado vuta nikuvute, wapeleka kesi Mahakamani
Africa East Africa People Politics Tanzania

Chadema, Msajili bado vuta nikuvute, wapeleka kesi Mahakamani

Asia GambaJune 5, 2025

Kwa mujibu wa CHADEMA, Msajili wa Vyama vya Siasa amekiuka Katiba kwa kudai kuwa uteuzi wa viongozi wa CHADEMA una dosari za kikatiba, akitaka nafasi hizo kujazwa upya huku akipuuzia mamlaka halali ya vikao vya chama vilivyoteua na kuthibitisha viongozi hao kwa mujibu wa Katiba ya chama.

Kiongozi wa Upinzani Tanzania akamatwa Uwanja wa Ndege
East Africa Politics Tanzania

Kiongozi wa Upinzani Tanzania akamatwa Uwanja wa Ndege

Asia GambaMay 13, 2025

Tukio hilo ni miongoni mwa matukio kadhaa ya hivi karibuni yanayowalenga wanachama wa CHADEMA, katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba.

Majimbo mapya ya Uchaguzi yaliyotangazwa na INEC
East Africa Politics Tanzania

Majimbo mapya ya Uchaguzi yaliyotangazwa na INEC

Asia GambaMay 12, 2025

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza kuanzishwa kwa majimbo mapya nane ya uchaguzi pamoja na kubadilishwa kwa majina ya majimbo mengine 12, ikiwa ni maandalizi ya kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.

Wanahabari nchini Tanzania kuanza kutumia kadi za habari za kidijitali
East Africa Tanzania Uncategorized

Wanahabari nchini Tanzania kuanza kutumia kadi za habari za kidijitali

Asia GambaFebruary 18, 2025

Msemaji Mkuu wa serikali, Gerson Msigwa, amesema kuwa kuanzia mwaka huu, wanahabari nchini Tanzania watatolewa kadi za habari za kidijitali kama sehemu ya mpango wa serikali wa kuboresha sekta ya habari.

Tanzania yakanusha uwepo wa mwekezaji aliyepewa bandari ya Bagamoyo
East Africa Infrastructure Tanzania Uncategorized

Tanzania yakanusha uwepo wa mwekezaji aliyepewa bandari ya Bagamoyo

Asia GambaFebruary 14, 2025

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa, amekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kuwa Tanzania imesaini mkataba wa kuipa Kampuni ya Saudi-Africa Development Company (SADC) haki ya kuendesha Bandari ya Bagamoyo.

Rais wa Liberia apunguza mshahara wake kwa 40%
Africa Politics

Rais wa Liberia apunguza mshahara wake kwa 40%

Wadh KassimJuly 9, 2024August 7, 2024

Rais wa Liberia Joseph Boakai ametangaza kupunguza mshahara wake kwa asilimia arobaini (40%). Kwa mujibu wa ripoti kutoka ofisi ya…

Sarakasi kuelekea uchaguzi wa TLS na kuondolewa kwa Mwabukusi
Crime & Justice Tanzania

Sarakasi kuelekea uchaguzi wa TLS na kuondolewa kwa Mwabukusi

Asia GambaJuly 9, 2024July 9, 2024

Uchaguzi wa rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), umekuwa na sarakasi zilizoibua wadau wa sheria nchini kufuatia kuondolewa kwa jina la miongoni mwa wagombea wa nafasi hiyo Wakili Boniface Mwabukusi jambo linalodaiwa kuwa kuna mchezo mchafu unaendelea ndani ya TLS unaoongozwa na Kamati ya Uchaguzi huo.

Kesi ya Kabendera dhidi ya Vodacom anayoituhumu kuhusu kutekwa kwake kusikilizwa leo
Crime & Justice Tanzania

Kesi ya Kabendera dhidi ya Vodacom anayoituhumu kuhusu kutekwa kwake kusikilizwa leo

Asia GambaJuly 9, 2024July 9, 2024

Katika kesi hiyo Kabendera anaoimba mahakama hiyo iiamuru kampuni hiyo imlipe fidia ya Dola za Marekani 10 milioni ambazo ni sawa na shilingi bilioni 28, akiituhumu kuwa ndio iliyofanikishwa kukamatwa kwake na askari Polisi, tukio analoliita kutekwa,  na kisha kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi, mwaka 2019.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo