• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Mwanzo TV

Rais wa Afrika Kusini kuweka wazi mipango mipya ya serikali
Africa Politics

Rais wa Afrika Kusini kuweka wazi mipango mipya ya serikali

Asia GambaJuly 18, 2024August 5, 2024

Wiki chache baada ya kupiga kura, ANC ilifikia makubaliano ya kugawana madaraka ambayo hayajawahi kufanywa na vyama vingine 10, ikijipatanisha na mrengo wa kati katika hatua ambayo baadhi ya wachambuzi walisema ingewahakikishia wawekezaji.

Kada wa Chadema aliyetoweka na kukutwa polisi apandishwa kizimbani kimya kimya na kusomewa mashtaka matatu
Crime & Justice Tanzania

Kada wa Chadema aliyetoweka na kukutwa polisi apandishwa kizimbani kimya kimya na kusomewa mashtaka matatu

Asia GambaJuly 17, 2024August 7, 2024

Kwa mujibu wa hati ya mashtaka ya kesi namba 19759/2024, Kombo ameshtakiwa kwa makosa matatu ambayo ni pamoja na kushindwa kutoa taarifa za kutosha za akaunti ya kadi yake ya simu, kinyume cha kifungu 126 cha Sheria ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta.

Nape aomba radhi kufuatia kauli yake ya CCM kushinda uchaguzi kwa njia haramu
Politics Tanzania

Nape aomba radhi kufuatia kauli yake ya CCM kushinda uchaguzi kwa njia haramu

Asia GambaJuly 17, 2024August 7, 2024

Nape ameomba radhi leo ikiwa tayari kumekuwa na gumzo na sintofahamu iliyojaa mjadala wenye hisia mseto kufuatia kauli yake hiyo iliyozagaa mitandaoni tangu Julai 15,2024.

Tanzania, Marekani kuongeza nguvu ya pamoja kukabiliana na ugonjwa wa Saratani
Lifestyle & Health Tanzania

Tanzania, Marekani kuongeza nguvu ya pamoja kukabiliana na ugonjwa wa Saratani

Asia GambaJuly 16, 2024

Tanzania na Marekani wamekubaliana kukabiliana na uhaba wa wataalamu, ukosefu wa miundombinu wezeshi, Vifaa Tiba hususani vya kutoa huduma za Mionzi, Takwimu, Tafiti pamoja na Ubunifu ili kuwezesha wananchi wa Afrika kupata huduma bora za Saratani bila kikwazo. 

Fukuto ndani ya TLS lazidi kuongezeka, Mawakili waamua kuishtaki
Crime & Justice Tanzania

Fukuto ndani ya TLS lazidi kuongezeka, Mawakili waamua kuishtaki

Asia GambaJuly 11, 2024

Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) Kanda ya Ziwa, Steven Kitale amefungua shauri la mapitio ya kimahakama dhidi…

Umuhimu wa Julai 7 katika Afrika Mashariki- Siku ya Saba Saba
East Africa Politics

Umuhimu wa Julai 7 katika Afrika Mashariki- Siku ya Saba Saba

Joy CheptooJuly 7, 2024August 7, 2024

Julai 7 bila shaka ni tarehe muhimu na yenye matukio mengi katika historia ya Afrika Mashariki.

Je nini kitafuata baada ya maandamano makubwa ya Kenya?
East Africa Kenya Politics

Je nini kitafuata baada ya maandamano makubwa ya Kenya?

Asia GambaJune 26, 2024July 5, 2024

Wakenya wengi wamechanganyikiwa sana na serikali huku wakihangaika na mzozo wa gharama ya maisha — ambao waandamanaji wanasema kupanda huko kutazidisha tu.

Msimamo wa Rais Ruto dhidi ya waandamanaji nchini Kenya
East Africa Kenya Politics

Msimamo wa Rais Ruto dhidi ya waandamanaji nchini Kenya

Asia GambaJune 26, 2024April 17, 2025

Rais wa Kenya William Ruto aliapa kuchukua msimamo mkali dhidi ya “vurugu na machafuko” yaliyotokea siku ya Jumanne, baada ya maandamano ya kupinga mapendekezo ya serikali yake ya kupandisha ushuru kuwa mbaya na waandamanaji kulivamia bunge.

Bajeti ya Tanzania kupigiwa kura leo
Business / Finance East Africa Tanzania

Bajeti ya Tanzania kupigiwa kura leo

Asia GambaJune 26, 2024August 5, 2024

Wabunge wanapata fursa ya kupiga kura baada ya siku saba za majadiliano tangu bajeti hiyo ilipowasilishwa bungeni jijini Dodoma Juni 13 mwaka huu, ikiwa ni bajeti ya nne.

Tanzania yafanya uzinduzi wa ujenzi wa mejengo pacha ya ghorofa 22 nchini Kenya
Business / Finance East Africa Tanzania

Tanzania yafanya uzinduzi wa ujenzi wa mejengo pacha ya ghorofa 22 nchini Kenya

Asia GambaJune 18, 2024July 4, 2024

Serikali imezindua ujenzi wa majengo pacha ya ghorofa 22 kila moja jijini Nairobi, Kenya, yatakayotumika kama Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania nchini humo na kitega uchumi kwa ajili ya kuongeza fedha za kigeni.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy