• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: mwanzomedia

Wakenya wamiminika mtaani kuadhimisha mwaka mmoja wa Maandamano ya Umwagaji damu
East Africa Kenya People Rights & Freedoms Social Issues

Wakenya wamiminika mtaani kuadhimisha mwaka mmoja wa Maandamano ya Umwagaji damu

Asia GambaJune 25, 2025June 25, 2025

Mwaka jana, takriban watu 60 waliuawa na vikosi vya usalama wakati wa maandamano yaliyodumu kwa wiki kadhaa, yaliyosababishwa na kupanda kwa ushuru na hali ngumu ya kiuchumi, hasa kwa vijana. Maandamano hayo yalifikia kilele tarehe 25 Juni, wakati maelfu walipovamia jengo la bunge.

Polisi Tanzania: Wengi wanaoripotiwa kutekwa hujificha kwa sababu binafsi
East Africa Tanzania

Polisi Tanzania: Wengi wanaoripotiwa kutekwa hujificha kwa sababu binafsi

Asia GambaJune 18, 2025

Katika taarifa iliyotolewa leo Jumatano tarehe 18 Juni 2025, ambayo imeeleza baadhi ya matukio hayo,  polisi wamesema uchunguzi wa kina umebaini kuwa watu wengi waliodaiwa kutekwa ama walikuwa wamejificha kwa hiari, walitoroka kutokana na sababu mbalimbali au walihusika katika vitendo vya uhalifu kabla ya kupotea kwao.

Dola dhidi ya Madhabahu: Gwajima katika moto wa kisiasa
East Africa People Politics Religion Rights & Freedoms Social Issues Tanzania Uncategorized

Dola dhidi ya Madhabahu: Gwajima katika moto wa kisiasa

Asia GambaJune 3, 2025

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeendelea kulizingira Kanisa la Ufufuo na Uzima, linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima, huku baadhi ya waumini wa kanisa hilo wakishikiliwa kwa mahojiano, kufuatia agizo la Serikali la kulifunga kanisa hilo kwa madai ya ukiukaji wa sheria.

Kesi ya uhaini inayomkabili Lissu yaahirishwa hadi Mei 19, Mahakama yatoa onyo
Crime & Justice East Africa Politics Tanzania

Kesi ya uhaini inayomkabili Lissu yaahirishwa hadi Mei 19, Mahakama yatoa onyo

Asia GambaMay 6, 2025

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu, imeahirishwa kwa siku 13 hadi Mei 19, 2025, baada ya upande wa Jamhuri kueleza kuwa upelelezi haujakamilika.

ACT Wazalendo yaja na hoja sita kabla ya Uchaguzi Mkuu
East Africa Politics Tanzania

ACT Wazalendo yaja na hoja sita kabla ya Uchaguzi Mkuu

Asia GambaApril 7, 2025

Hoja hizo ni sehemu ya mkakati wa kuhakikisha kunakuwa na uchaguzi huru na haki wakati huu ambapo Tanzania inajiandaa kwa uchaguzi utakaofanyika Oktoba 2025

Wapiganaji wa M23 wachukua mji muhimu wa Walikale nchini DRC licha ya jaribio la kusitisha vita
Africa East Africa War & Conflicts

Wapiganaji wa M23 wachukua mji muhimu wa Walikale nchini DRC licha ya jaribio la kusitisha vita

Asia GambaMarch 20, 2025

Kuchukuliwa kwa mji wa Walikale wenye wakazi takriban 60,000 mwishoni mwa siku ya Jumatano kunashiria kwamba kundi hili la wapiganaji limefika sehemu ya mbali kabisa magharibi kutoka eneo lao la awali tangu lilipojitokeza mwaka 2012.

Mgogoro wa DRC unaendelea huku Umoja wa Mataifa ukitoa wito wa amani
Africa East Africa War & Conflicts

Mgogoro wa DRC unaendelea huku Umoja wa Mataifa ukitoa wito wa amani

Asia GambaFebruary 7, 2025

Kundi la M23 linaloungwa mkono na Rwanda liliongeza mashambulizi yake siku ya Alhamisi kupitia mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na linaonekana kuwa na nia ya kuchukua mji muhimu, huku Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, akitoa wito wa amani.

Mkuu wa Fedha wa Uganda akabiliwa na mashtaka ya wizi wa dola Milioni 16
Crime & Justice East Africa Uganda

Mkuu wa Fedha wa Uganda akabiliwa na mashtaka ya wizi wa dola Milioni 16

Asia GambaFebruary 7, 2025

Afisa mkuu wa fedha wa Uganda, Lawrence Semakula, pamoja na wengine wanane, wamefunguliwa mashtaka ya udanganyifu na utakatishaji fedha kufuatia wizi wa karibu dola milioni 16 za Marekani zilizokuwa zimekusudiwa kulipia mikopo ya maendeleo, kulingana na nyaraka za mahakama.

Malawi yajiandaa kutoa vikosi vyake kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Africa Social Issues War & Conflicts

Malawi yajiandaa kutoa vikosi vyake kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

Asia GambaFebruary 6, 2025

Malawi imetangaza kuwa inajiandaa kutoa vikosi vyake kutoka mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambako kundi la waasi la M23 linaloungwa mkono na Rwanda limelizindua shambulizi jipya. 

Kesi ya waislamu kupinga mamlaka ya BAKWATA kuendelea leo
East Africa Religion Social Issues Tanzania

Kesi ya waislamu kupinga mamlaka ya BAKWATA kuendelea leo

Asia GambaFebruary 6, 2025February 6, 2025

Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam nchini Tanzania, Sheikh Issa Ponda, pamoja na viongozi wengine 11 wa Kiislam, ndio waliofungua kesi hiyo ya kikatiba katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam wakipinga mamlaka ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) juu ya maamuzi yanayohusu masuala ya dini.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo