Wafuasi wa CHADEMA wasusia kesi ya uhaini ya Tundu Lissu wakilalamikia manyanyaso ya Polisi
Tukio hilo limetokea leo asubuhi, wakati Lissu alipofikishwa mahakamani kwa ajili ya kuendelea kuwasilisha hoja za kupinga uhalali wa hati ya mashtaka dhidi yake. Hoja hizo alianza kuziwasilisha jana, Septemba 15, 2025.