Africa East Africa Politics Tanzania

Kesi dhidi ya vigogo wa Chadema yapigwa kalenda

Katika kesi hiyo, vigogo hao wa CHADEMA wanatuhumiwa kukiuka amri ya Mahakama Kuu iliyotolewa Juni 10, 2025, kufuatia uwepo wa kesi ya madai inayohusu usawa kwenye mgawanyo wa mali ndani ya CHADEMA, inayosikilizwa chini ya Jaji Hamidu Mwanga. Wadaiwa kuwa wamepigwa marufuku kujihusisha na shughuli zozote za kisiasa na matumizi ya rasilimali za chama hadi pale kesi hiyo itakapopatiwa uamuzi.

Africa East Africa Politics Tanzania

Lissu atumia saa 7 kumuhoji shahidi wa Jamhuri katika kesi ya uhaini

Katika mahojiano hayo, Lissu alitumia takribani saa saba kumuhoji Shahidi huyo kuanzia majira ya saa 3:30 mpaka saa 10, muda wote aliutumia kupima uhalali wa ushahidi wa shahidi huyo, akihusisha masuala  mbalimbali kulinga na ushahidi aliouandika katika maelezo yake ikiwamo ya taratibu za kiuchunguzi, matumizi ya notebook ya polisi, video za ushahidi na tafsiri ya maneno yaliyotumika kwenye mashtaka ya uhaini.

Africa Climate change Features

Jane Goodall: Mwanamke aliyewapa Sokwe sauti na kuigusa dunia

Goodall, aliyebobea katika utafiti wa sokwe pori na baadaye kuwa mwanaharakati wa mazingira, alibadilisha mapenzi yake ya wanyamapori kuwa kampeni ya maisha yote. Safari yake ilimtoa kutoka kijiji cha pwani kusini mwa Uingereza hadi Afrika, na hatimaye kumzungusha duniani kote akijitahidi kuelewa sokwe na nafasi ya binadamu katika kulinda makazi yao pamoja na afya ya sayari kwa ujumla.