• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Mwanzotv.com

EU yalaani ukandamizaji wa Demokrasia Tanzania, yataka Lissu aachiwe huru
East Africa People Politics Social Issues Tanzania

EU yalaani ukandamizaji wa Demokrasia Tanzania, yataka Lissu aachiwe huru

Asia GambaMay 8, 2025

Katika mijadala yao, wabunge hao wamekemea waziwazi uwepo wa vitisho vya adhabu ya kifo kwa Lissu, wakisema kuwa mashtaka ya uhaini na kusambaza taarifa za uongo dhidi yake ni ya kisiasa na yenye lengo la kumzuia kushiriki katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.

Siasa za visasi zadaiwa kukitafuna CHADEMA, G55 watangaza kujiondoa
East Africa Politics Tanzania

Siasa za visasi zadaiwa kukitafuna CHADEMA, G55 watangaza kujiondoa

Asia GambaMay 7, 2025

Kundi la viongozi wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), maarufu kama G55, limetangaza rasmi kujiondoa katika chama hicho kikuu cha upinzani nchini Tanzania, likidai kukithiri kwa ukiukwaji wa katiba, ubaguzi na siasa za visasi zinazoendeshwa na uongozi wa sasa.

Kesi ya uhaini inayomkabili Lissu yaahirishwa hadi Mei 19, Mahakama yatoa onyo
Crime & Justice East Africa Politics Tanzania

Kesi ya uhaini inayomkabili Lissu yaahirishwa hadi Mei 19, Mahakama yatoa onyo

Asia GambaMay 6, 2025

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu, imeahirishwa kwa siku 13 hadi Mei 19, 2025, baada ya upande wa Jamhuri kueleza kuwa upelelezi haujakamilika.

Bunge la Ulaya kujadili kesi ya Tundu Lissu Mei 7, 2025.
East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Bunge la Ulaya kujadili kesi ya Tundu Lissu Mei 7, 2025.

Asia GambaMay 5, 2025

Bunge la Ulaya linatarajia kukutana tarehe 7 Mei 2025 kwa ajili ya mjadala wa dharura kuhusu kesi inayomkabili Kiongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania, CHADEMA, Tundu Lissu. 

Lissu ni ama afikishwe Mahakamani kesho ama aanze mgomo wa kula akiwa gerezani
Crime & Justice Politics Tanzania

Lissu ni ama afikishwe Mahakamani kesho ama aanze mgomo wa kula akiwa gerezani

Asia GambaMay 5, 2025

Lissu ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema Taifa alikamatwa tarehe 9 Aprili 2025 majira ya saa za jioni akiwa Ruvuma muda mchache mara baada ya kumaliza mkutano wa hadhara uliofanyika wilayani Mbinga.Usiku huo huo alisafirishwa hadi Dar es Salaam chini ya ulinzi mkali wa maofisa wa polisi na kufikishwa katika kituo cha kati cha Polisi.

Uganda yakamata mtuhumiwa mkuu wa Utekaji wa Mtalii wa Marekani Mwaka 2019
Africa East Africa Uganda Uncategorized

Uganda yakamata mtuhumiwa mkuu wa Utekaji wa Mtalii wa Marekani Mwaka 2019

Asia GambaMay 5, 2025

Kimberly Sue Endicott, raia wa Marekani, pamoja na dereva wake raia wa Uganda walitekwa nyara tarehe 2 Aprili, 2019 na watu wenye silaha waliodai fidia ya dola 500,000 za Kimarekani.

Lissu alaani shambulio dhidi ya Padre Kitima na Mdude akiwa gerezani
East Africa Politics Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Lissu alaani shambulio dhidi ya Padre Kitima na Mdude akiwa gerezani

Asia GambaMay 3, 2025

Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Antiphas Lissu Mwenyekiti wa Chadema na mwanasiasa maarufu wa upinzani, Tundu Antiphas Mughwai Lissu,  akiwa…

Wafuasi wa Chadema Mwanza wapigwa marufuku kufanya mikusanyiko kesho Lissu akifikishwa mahakamani
Crime & Justice East Africa Politics Tanzania

Wafuasi wa Chadema Mwanza wapigwa marufuku kufanya mikusanyiko kesho Lissu akifikishwa mahakamani

Asia GambaApril 23, 2025

Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza limetoa tahadhari kwa wananchi na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wanaopanga kufanya mikusanyiko na maandamano ya kuishinikiza Serikali kuachiwa huru Mwenyekiti wa chama hicho Taifa ambaye kesho Aprili 24,2025 atafikishwa mahakamani.

Kiongozi wa Upinzani Ivory Coast, Tidjane Thiam,aondolewa kwenye nafasi ya  kugombea Urais
Africa Politics

Kiongozi wa Upinzani Ivory Coast, Tidjane Thiam,aondolewa kwenye nafasi ya kugombea Urais

Asia GambaApril 23, 2025

Thiam, ambaye hivi karibuni aliteuliwa kuwa kiongozi wa chama cha Democratic Party of Ivory Coast (PDCI), ameondolewa kwa madai kuwa alipoteza uraia wa Ivory Coast baada ya kupata uraia wa Ufaransa mwaka 1987.

Mahakama Kuu ya Marekani kusikiliza kesi dhidi ya vitabu vya LGBTQ Mashuleni
Education Europe Rights & Freedoms Social Issues

Mahakama Kuu ya Marekani kusikiliza kesi dhidi ya vitabu vya LGBTQ Mashuleni

Asia GambaApril 22, 2025

Mahakama Kuu ya Marekani, ambayo ina wingi wa majaji wa mrengo wa kihafidhina, inatarajiwa kusikiliza kesi leo Jumanne kuhusu iwapo wazazi wana haki ya kidini kuwazuia watoto wao kuhudhuria madarasa yanayosoma au kujadili vitabu vyenye maudhui ya LGBTQ.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo