Polisi wavuruga mkutano wa Chadema na kufukuza waandishi wa habari
Mpaka sasa hakuna taarifa rasmi kutoka kwa Jeshi la Polisi au Chadema kuhusu nini chanzo cha uwepo wa askari hao ambao wamezuia waandishi wa habari waliofika kwa ajili ya mkutano uliopaswa kufanyika saa tano asubuhi kamili.