• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Mwanzotv.com

Maandamano ya kupinga serikali Madagascar yazuka upya, polisi watumia gesi ya machozi
People Politics Social Issues War & Conflicts

Maandamano ya kupinga serikali Madagascar yazuka upya, polisi watumia gesi ya machozi

Asia GambaSeptember 29, 2025

Wiki iliyopita maandamano ya siku mbili yaliibuka na kusababisha makabiliano kati ya vijana na polisi. Waandamanaji, waliyoitishwa kupitia mitandao ya kijamii na vuguvugu la “Gen Z”, walilalamikia kukatika kwa maji na umeme kunakolikithiri katika taifa hilo maskini.

Kesi ya Lissu kuendelea Oktoba 6 kwa hatua ya ushahidi
East Africa Politics Tanzania

Kesi ya Lissu kuendelea Oktoba 6 kwa hatua ya ushahidi

Asia GambaSeptember 22, 2025

Leo kesi hiyo ilikuja kwa ajili ya kutolewa uamuzi mdogo kuhusu mapingamizi aliyowasilisha Lissu, ambapo alipinga uhalali wa hati ya mashtaka na pia akakosoa maelezo ya mashahidi akidai yameandikwa kinyume cha sheria.

Polepole: Wito wa Polisi una nia njema lakini pia una njama za kunipoteza
East Africa Politics Tanzania

Polepole: Wito wa Polisi una nia njema lakini pia una njama za kunipoteza

Asia GambaSeptember 19, 2025September 19, 2025

Katika kauli yake ya majibu kwa wito huo, Polepole amesema anauchukulia kwa sura mbili; upande wa kwanza akiwaona Polisi wana dhamira njema ya kusikiliza na kukusanya ushahidi, lakini upande wa pili akihisi kuna mbinu na nia ovu zinazoweza kuhatarisha usalama wake.

Lissu awakataa Mawakili wa Serikali, “Mimi si mwenzao, mimi ni mshtakiwa wa uhaini”
East Africa Politics Tanzania

Lissu awakataa Mawakili wa Serikali, “Mimi si mwenzao, mimi ni mshtakiwa wa uhaini”

Asia GambaSeptember 18, 2025

Lissu alieleza kutoridhishwa kwake na namna Wakili wa Serikali alivyomtaja kama “mwenzetu”, akisisitiza kuwa hana uhusiano wowote na upande huo wa mashtaka.

Wafuasi wa CHADEMA wasusia kesi ya uhaini ya Tundu Lissu wakilalamikia manyanyaso ya Polisi
East Africa Politics Tanzania

Wafuasi wa CHADEMA wasusia kesi ya uhaini ya Tundu Lissu wakilalamikia manyanyaso ya Polisi

Asia GambaSeptember 16, 2025September 16, 2025

Tukio hilo limetokea leo asubuhi, wakati Lissu alipofikishwa mahakamani kwa ajili ya kuendelea kuwasilisha hoja za kupinga uhalali wa hati ya mashtaka dhidi yake. Hoja hizo alianza kuziwasilisha jana, Septemba 15, 2025.

Lissu: Hati ya mashtaka haina msingi wa kisheria
East Africa Politics Tanzania

Lissu: Hati ya mashtaka haina msingi wa kisheria

Asia GambaSeptember 15, 2025

Kwa mujibu wa hati ya mashtaka, Lissu anatuhumiwa kwamba mnamo Aprili 3 alikusudia “kuchochea wananchi kuzuia uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.” Hata hivyo, mwanasiasa huyo mashuhuri anasema kosa hilo haliingii kwenye wigo wa makosa ya uhaini kwa mujibu wa sheria za Tanzania.

Lissu: “Siombi huruma, naomba haki kwa mujibu wa sheria”
East Africa Tanzania

Lissu: “Siombi huruma, naomba haki kwa mujibu wa sheria”

Asia GambaSeptember 11, 2025September 11, 2025

“Kupata huruma unaponewa si kosa, lakini jambo muhimu zaidi ni kupata haki. Siwaombi Waheshimiwa Majaji mnipe haki kwa sababu ya huruma, bali kwa mujibu wa viapo vyenu na kwa mujibu wa sheria,”

Lissu Vs Jamhuri ngoma bado nzito, atumia saa nne kuwasilisha hoja za pingamizi
East Africa Politics Tanzania

Lissu Vs Jamhuri ngoma bado nzito, atumia saa nne kuwasilisha hoja za pingamizi

Asia GambaSeptember 9, 2025

Katika uwasilishaji wa hoja zake hii leo Lissu alitoa hoja nzito akieleza kuwepo kwa tofauti kubwa kati ya rekodi mbili za kesi zinazotoka kwenye Mahakama tofauti  moja kutoka Mahakama ya Kisutu ambayo nakala yake alipelekewa gereani Ukonga na nyingine kutoka Mahakama Kuu ambayo aliipata jana akiwa mahakamani hapo.

Tundu Lissu akataa Mahakama kumteulia Wakili, asema atajitetea mwenyewe kwenye Kesi ya Uhaini
East Africa Politics Tanzania

Tundu Lissu akataa Mahakama kumteulia Wakili, asema atajitetea mwenyewe kwenye Kesi ya Uhaini

Asia GambaSeptember 8, 2025

Lissu alitoa kauli hiyo leo mbele ya Jopo la Majaji watatu wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam, akifafanua kuwa uamuzi huo umetokana na uzito wa kesi hiyo, ambayo endapo atapatikana na hatia, adhabu yake ni kunyongwa hadi kufa.

Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu kuanza kuunguruma Mahakama Kuu ya Tanzania Septemba 12
East Africa Politics Tanzania

Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu kuanza kuunguruma Mahakama Kuu ya Tanzania Septemba 12

Asia GambaSeptember 2, 2025

Ikumbukwe Agosti 18, 2025, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ilibainisha kuwa kesi hiyo inakwenda Mahakama Kuu baada ya hatua za Kisheria kukamilika.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy