Viongozi wa Afrika wamsifu Papa Francis kwa “Urithi wa Huruma”
Francis, ambaye alijulikana kwa jitihada zake za kufanya mageuzi ndani ya Kanisa Katoliki na aliwahamasisha wengi, alifariki akiwa na umri wa miaka 88.
Francis, ambaye alijulikana kwa jitihada zake za kufanya mageuzi ndani ya Kanisa Katoliki na aliwahamasisha wengi, alifariki akiwa na umri wa miaka 88.
Ametoa agizo hilo leo Jumatano (Aprili 16, 2025) alipokagua maendeleo ya ukarabati wa madaraja katika maeneo ya Matandu na Somanga Mtama, Wilaya Kilwa Mkoani Lindi kwenye barabara kuu ya Dar es Salaam – Lindi yaliyokuwa yamekatika kufuatia mvua zinazonyesha nchini.
Chama cha kutetea haki na maslahi ya walimu Tanzania (CHAKAMWATA), kimetangaza kutua mahakamani kuzishtaki Halmashauri mbalimbali nchini kwa madai ya kushindwa kulipa stahiki za watumishi wa kada ya ualimu kwa kushirikiana na Chama Cha walimu CWT kwa madai ya zaidi ya shilingi billion 12.
Katika hali hii ya mgawanyiko, kundi linalopinga msimamo wa “No Election” limeandika waraka rasmi ukielezea hoja zao za kupinga kauli hiyo.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Stephen Wasira amesema Chama cha Demokrasia na Maendeleo hakina hoja ya msingi ya kuzuia Uchaguzi Mkuu mwaka huu kwani kama ni mabadiliko wanayoyazungumza yameshafika tayari.
CAG amesema deni hilo linajumuisha deni la ndani na deni ambalo ni Sh. trilioni 31.95 na la nje Sh.65.40, hata hivyo amesema deni hilo ni himilivu.
Familia ya Daniel Chonchorio, kada maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye anadaiwa kutoweka Jumapili asubuhi akiwa kwenye mazoezi eneo la Nyakato jijini Mwanza, imejitokeza hadharani kuomba msaada kwa umma ili kumtafuta ndugu yao.
Kikundi cha M23 kilichopatiwa msaada na Rwanda kimesema hakiwezi kushiriki katika mazungumzo ya amani na serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) yaliyopangwa kufanyika leo Jumanne mjini Luanda, mji mkuu wa Angola, kufuatia vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya baadhi ya viongozi wake wakuu.
CAF imefikia hatua hiyo baada ya kuufungia kwa muda Uwanja wa Benjamin Mkapa uliopo Dar es Salaam kutokana na eneo la kuchezea (pitch) kuendelea kupungua ubora wake.
Mmoja wa zao la Tanzania waliojitolea kwa dhati, ambaye jina lake lilikuwa na ushawishi mkubwa kwa vizazi na mijadala ya kisiasa, hatimaye ameondoka jukwaani.