Rwanda Denies Rumours President Kagame is Sick
Kagame, 67, has not been seen in public since June 6, as evidenced by his X account, generating rumours online and in the country given his usual energetic and omnipresent role.
Kagame, 67, has not been seen in public since June 6, as evidenced by his X account, generating rumours online and in the country given his usual energetic and omnipresent role.
Ingabire aliwahi kuhukumiwa kifungo cha miaka minane gerezani mwaka 2012 kwa makosa yaliyohusisha “kudharau mauaji ya kimbari” na “kutishia usalama wa taifa.” Hukumu hiyo ilitokana na hotuba aliyotoa aliporejea Rwanda kutoka uhamishoni, ambapo alitaka kutambuliwa pia kwa waathiriwa wa Kihutu waliouawa wakati wa mauaji hayo ya mwaka 1994.
Mazungumzo hayo yanatarajiwa kulenga kurejesha amani na utulivu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ambayo imekumbwa na ghasia na uhamiaji mkubwa.
This summit comes amid rising concerns over rebel group advances in the DRC, particularly the M23, backed by Rwanda, and the growing diplomatic tensions between several African countries
The presidents of Rwanda and the Democratic Republic of Congo will meet Sunday in Angola for a fresh round of talks aimed at ending the conflict in the DRC’s troubled east.
BY AFP Rwandan President Paul Kagame was gearing up Tuesday for a fourth term after winning a thundering 99.15 percent…
Kundi la M23 ‘March 23 Movement’ lilipata umaarufu wakati liliteka kwa muda mji wa Goma mashariki mwa Congo mwaka 2012 kabla ya kufurushwa katika mashambulizi ya pamoja ya Umoja wa Mataifa na Congo.
The leaders are also aiming in the short-term to “create the conditions” for the return to DRC of former M23 fighters living in Rwanda.
The announcements came after day-long talks intended to defuse the current tensions on the border between the two countries and bolster peace in the subregion.
Mkutano wa kilele wa viongozi wa Jumuiya ya Madola unafunguliwa Ijumaa nchini Rwanda huku taifa mwenyeji likichunguzwa kuhusu rekodi yake ya haki na makubaliano ya wahamiaji na Uingereza yakitishia kuchanganya mkutano huo.