• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Russia Ukraine war

Jumba la maonyesho Ukraine, lililowapa hifadhi zaidi ya raia 1,000 lalipuliwa kwa mabomu
Europe Features International

Jumba la maonyesho Ukraine, lililowapa hifadhi zaidi ya raia 1,000 lalipuliwa kwa mabomu

Maureen MedzaMarch 17, 2022March 17, 2022

Zaidi ya watu 2,000 wameuawa katika mji huo wa Mariupol kulingana na mamlaka ya Ukraine.

Mashambulizi ya Urusi dhidi ya Ukraine yazusha hofu ya njaa mashariki mwa DR Congo
Africa East Africa Features International

Mashambulizi ya Urusi dhidi ya Ukraine yazusha hofu ya njaa mashariki mwa DR Congo

Maureen MedzaMarch 17, 2022March 17, 2022

Bei ya unga wa mahindi, mchele, sukari, mafuta na nyanya imepanda, na hivyo kutoa changamoto kubwa kwa wale wanoishi kwa dola kadhaa kwa siku.

Mwandamanaji aliyeoneka kwenye runinga ya Urusi huenda akahukumiwa kifungo cha miaka 15 gerezani
Europe Features International Politics

Mwandamanaji aliyeoneka kwenye runinga ya Urusi huenda akahukumiwa kifungo cha miaka 15 gerezani

Maureen MedzaMarch 15, 2022March 15, 2022

Mwezi huu Urusi ilipitisha vifungo vya sheria vya kifungo cha hadi miaka 15 jela kwa kueneza habari za uwongo zenye lengo la kudhalilisha jeshi lake, pamoja na kifungo cha hadi miaka 3 jela kwa kuitisha vikwazo dhidi ya Urusi.

Urusi yaandikisha maelfu kutoka Syria kujiunga na vita Ukraine
Europe Features International

Urusi yaandikisha maelfu kutoka Syria kujiunga na vita Ukraine

Maureen MedzaMarch 15, 2022March 15, 2022

Kremlin ilisema wiki iliyopita kwamba watu wa kujitolea, wakiwemo kutoka Syria, wanakaribishwa kupigana pamoja na jeshi la Urusi nchini Ukraine.

Milipuko yatikisa Kyiv huku mazungumzo kati ya Ukraine na Urusi yakiendelea
Europe International Politics

Milipuko yatikisa Kyiv huku mazungumzo kati ya Ukraine na Urusi yakiendelea

Maureen MedzaMarch 15, 2022March 15, 2022

Msururu wa milipuko mikali ilitikisa maeneo ya makazi ya watu wa Kyiv mapema Jumanne na kuua watu wawili, saa chache kabla ya mazungumzo kati ya Ukraine na Urusi kutarajiwa kuanza tena.

Mtandao wa Instagram wafungiwa Urusi
Africa East Africa

Mtandao wa Instagram wafungiwa Urusi

Asia GambaMarch 14, 2022March 14, 2022

Watumiaji wa mtandao wa Instagram nchini Urusi wamepewa taarifa kuwa huduma hiyo imesitishwa kuanzia saa sita usiku Jumapili ya March 14, 2022

Roman Abramovich: Bilionea mmiliki wa Chelsea ahangaika kuokoa himaya yake
Europe Features Football International People

Roman Abramovich: Bilionea mmiliki wa Chelsea ahangaika kuokoa himaya yake

Maureen MedzaMarch 11, 2022March 11, 2022

Uamuzi wa serikali ya Uingereza kufungia mali yake unalemaza shughuli za Klabu ya Soka ya Chelsea, kiungo muhimu cha utajiri wa Abramovich, na kutoa pigo lingine kubwa kwa biashara yake.

Afisa wa bunge: Watoto 71 wauawa nchini Ukraine kufikia sasa
Europe Features International People Politics

Afisa wa bunge: Watoto 71 wauawa nchini Ukraine kufikia sasa

Maureen MedzaMarch 11, 2022March 11, 2022

Takriban watoto 71 wameuawa na zaidi ya 100 kujeruhiwa nchini Ukraine tangu Rais wa Urusi Vladimir Putin kuanzisha vita Februari 24, afisa wa bunge la Ukraine alisema Alhamisi.

Urusi inaishutumu Amerika kwa kufadhili utafiti wa silaha za kibiolojia nchini Ukraine
Europe Features International People Politics

Urusi inaishutumu Amerika kwa kufadhili utafiti wa silaha za kibiolojia nchini Ukraine

Maureen MedzaMarch 10, 2022March 10, 2022

Washington na Kyiv kwa pamoja zimekanusha kuwepo kwa maabara zinazokusudiwa kuzalisha silaha za kibiolojia nchini humo.

Urusi inasema “kuna maendeleo mazuri” katika mazungumzo na Ukraine
Europe Features International People Politics

Urusi inasema “kuna maendeleo mazuri” katika mazungumzo na Ukraine

Maureen MedzaMarch 9, 2022March 9, 2022

Urusi na Ukraine zimekubaliana kusitisha mapigano kwa siku moja Jumatano katika maeneo ya uokoaji ili kuruhusu raia kutoroka mapigano.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo