Rwanda Takes Seven Migrants Under US Deportation Deal: Govt
Rwanda said on August 5 that it would accept up to 250 migrants from the US, stating that it would have “the ability to approve each individual proposed for resettlement”.
Rwanda said on August 5 that it would accept up to 250 migrants from the US, stating that it would have “the ability to approve each individual proposed for resettlement”.
A peace agreement reached in June aimed to end decades of conflict in eastern Congo. It was overseen by Washington which has sought to increase its access to the region’s vast mineral wealth.
Ingabire aliwahi kuhukumiwa kifungo cha miaka minane gerezani mwaka 2012 kwa makosa yaliyohusisha “kudharau mauaji ya kimbari” na “kutishia usalama wa taifa.” Hukumu hiyo ilitokana na hotuba aliyotoa aliporejea Rwanda kutoka uhamishoni, ambapo alitaka kutambuliwa pia kwa waathiriwa wa Kihutu waliouawa wakati wa mauaji hayo ya mwaka 1994.
The evacuation came after lengthy negotiations between United Nations representatives, the DRC government and M23, according to DRC security sources and UN sources.
Kikundi cha M23 kilichopatiwa msaada na Rwanda kimesema hakiwezi kushiriki katika mazungumzo ya amani na serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) yaliyopangwa kufanyika leo Jumanne mjini Luanda, mji mkuu wa Angola, kufuatia vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya baadhi ya viongozi wake wakuu.
The government emphasized that this move reflects Rwanda’s dedication to safeguarding its national interests, maintaining peace, and upholding sovereignty and mutual respect.
The crown jewel in the M23’s territorial expansion is the DRC’s largest coltan mine from which the group generates around $800,000 in revenue each month, according to UN experts.
Rwanda warned at the time that it would not return the £240 million ($304 million) already paid by London to Kigali.
The country scored 32 out of 100, showing a slight improvement from 31 points in 2023. However, this score is still below both the Sub-Saharan African average of 33 points and the global average of 43 points.
Kundi la M23 linaloungwa mkono na Rwanda liliongeza mashambulizi yake siku ya Alhamisi kupitia mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na linaonekana kuwa na nia ya kuchukua mji muhimu, huku Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, akitoa wito wa amani.