• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Samia Suluhu

Samia aunda Tume kuchunguza ghasia za uchaguzi, atoa wito wa maridhiano na kuahidi mchakato wa Katiba Mpya ndani ya siku 100
Africa East Africa People Politics Tanzania

Samia aunda Tume kuchunguza ghasia za uchaguzi, atoa wito wa maridhiano na kuahidi mchakato wa Katiba Mpya ndani ya siku 100

Asia GambaNovember 14, 2025

Akitangaza hatua ya serikali kuunda Tume maalum ya uchunguzi, alisema uchunguzi huo utakuwa msingi wa kuelewa chanzo cha migogoro na kuchukua hatua za kurejesha maelewano ya kitaifa.

Tanzania charges more than 100 with treason over election protests
Africa East Africa Tanzania

Tanzania charges more than 100 with treason over election protests

Kevin SeweNovember 7, 2025

A Tanzanian court charged more than 100 people with treason Friday following election protests that turned violent, as rights groups condemned what they said was the killing of civilians.

Ushiriki mdogo wa wapiga kura wakati Tanzania inapiga kura bila upinzani
Africa East Africa People Politics Tanzania

Ushiriki mdogo wa wapiga kura wakati Tanzania inapiga kura bila upinzani

Mwanzo EditorOctober 29, 2025

Idadi ndogo ya wapiga kura imeonekana katika vituo vya kupigia kura jijini Dar es Salaam leo Jumatano, wakati ambapo wapinzani wakuu wa Rais Samia Suluhu Hassan wengine wakiwa gerezani na wengine wamezuiwa kugombea.

Samia Peke Yake? Uchaguzi wa Kwanza Tanzania Uliokosa Wapinzani Wakuu
Africa East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Samia Peke Yake? Uchaguzi wa Kwanza Tanzania Uliokosa Wapinzani Wakuu

Wadh KassimOctober 29, 2025October 29, 2025

Tanzania inapiga kura leo, Oktoba 29, 2025, katika uchaguzi mkuu unaoonekana kumwendea Rais Samia Suluhu Hassan, anayewania muhula wa pili kupitia CCM. Uchaguzi huu umechochea mjadala mkali kuhusu uhuru wa kisiasa na haki za binadamu, hasa baada ya kuenguliwa kwa wagombea wakuu wa upinzani.

Polisi:Kuna watu wanaandaa taarifa za upotoshaji kuleta taharuki
East Africa People Politics Tanzania

Polisi:Kuna watu wanaandaa taarifa za upotoshaji kuleta taharuki

Asia GambaOctober 28, 2025

Taarifa ya Jeshi la Polisi imesema kuwa baadhi ya taarifa hizo zimeandaliwa kwa uangalifu ili kuzalisha taharuki, ikiwemo kuchukua matukio yaliyotokea katika nchi nyingine, kuyatengeneza upya, kisha kuyaunganisha na sauti za Kiswahili zenye lafudhi ya nchi yetu ili yaonekane yametokea nchini.

Watanzania wajiandaa kupiga kura kesho
Africa East Africa People Politics Tanzania

Watanzania wajiandaa kupiga kura kesho

Asia GambaOctober 28, 2025

Tume zote mbili  INEC kwa Tanzania Bara na ZEC kwa Zanzibar  zimeahidi kufanya uchaguzi ulio huru, wa amani na unaozingatia sheria. Mashirika ya kiraia na waangalizi wa kimataifa pia wanatarajiwa kufuatilia mchakato huo unaotazamwa kama kipimo muhimu cha demokrasia nchini.

Samia Kuhitimisha Kampeni  Za Uchaguzi Leo Jijini Mwanza
Africa East Africa Politics Tanzania

Samia Kuhitimisha Kampeni Za Uchaguzi Leo Jijini Mwanza

Wadh KassimOctober 28, 2025

Samia, mwenye umri wa miaka 65, anaingia katika kinyang’anyiro cha uchaguzi mkuu wa kesho Jumatano akiwa na historia ya kipekee kama mwanamke wa kwanza kuidhinishwa na CCM kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hapo awali, aliweka historia nyingine kwa kuwa Makamu wa Rais na baadaye Rais wa kwanza mwanamke katika historia ya taifa hilo.

Africa Crime & Justice East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Tundu Lissu Alalamikia Kutengwa na Udhalilishaji Gerezani

Wadh KassimOctober 28, 2025

Kupitia ujumbe aliouchapisha kwenye akaunti yake ya X mnamo Oktoba 26, Lissu alisema kuwa chumba chake cha gereza kimefungwa kamera za CCTV zinazorekodi kila hatua yake, hata anapojisaidia au kubadilisha nguo.

Tanzania President Samia Suluhu Hassan: discrete but ruthless
Africa East Africa Tanzania

Tanzania President Samia Suluhu Hassan: discrete but ruthless

Kevin SeweOctober 27, 2025

President Samia Suluhu, a soft-spoken politician who unexpectedly found herself Tanzania’s first female leader, is now accused of overseeing heavy repression in the East African nation.

Murder, Kidnap, Censorship: The ‘New Normal’ Of Tanzania Politics
Africa East Africa Tanzania

Murder, Kidnap, Censorship: The ‘New Normal’ Of Tanzania Politics

Kevin SeweOctober 27, 2025

President Samia Suluhu is said to want nothing less than a total victory, similar to the 99 percent her party, Chama Cha Mapinduzi, won in local polls last year.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy