TANZANIA: Idadi ya watu imepanuka na kufikia milioni 16 katika muongo mmoja- Rais Samia
Jumla ya watu wote Tanzania ni 61,741,120 kati ya hao watu 59,851,357 wapo Tanzania bara na watu 1,889,773 wapo Zanzibar
Jumla ya watu wote Tanzania ni 61,741,120 kati ya hao watu 59,851,357 wapo Tanzania bara na watu 1,889,773 wapo Zanzibar
Ramadhani Kingai ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa upelelezi wa Makosa ya jinai nchini (DCI)
Jamii ya wamasai imeishi katika hifadhi hiyo, eneo la Urithi wa Dunia wa UNESCO kaskazini mwa Tanzania, kwa zaidi ya karne moja.
Asisitiza viongozi wa dini na machifu kuirejesha jamii karibu na Mungu kuondoa imani potofu
Askofu wa Jimbo Katoliki la Rulenge-Ngara, Severine Niwemugizi amemsihi Rais Samia Suluhu Hassan kutokubali kulinganishwa na Mungu kwa namna yoyote ile.
Kesi imepangwa kuanza Machi 4, wakati Mbowe na watuhumiwa wengine watakapowasilisha utetezi wao.
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama hicho leo itakaa kuchuja na kufanya uteuzi wa mwisho kwa wagombea hao
Asema suala la kutunza siri za Serikali limekuwa ni kama maradhi
Watu 14 wamefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea mkoani Simiyu
Tanzania ratifies Africa free trade area treaty