• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Samia Suluhu

Tundu Lissu’s Petition Rejected by Tanzania’s High Court
East Africa People Politics Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Tundu Lissu’s Petition Rejected by Tanzania’s High Court

Joy CheptooJuly 11, 2025

The court ruled that Lissu’s petition should have been filed after the main case was concluded.

CCM yavuna bilioni 2.7 kutokana na ada za fomu za ubunge na udiwani
East Africa Politics Tanzania

CCM yavuna bilioni 2.7 kutokana na ada za fomu za ubunge na udiwani

Asia GambaJuly 3, 2025July 3, 2025

Makalla amesema hadi kufikia jana, Julai 2, 2025, zoezi la uchukuaji na urejeshaji wa fomu ndani ya chama lilikuwa limekamilika ambapo jumla ya wanachama 5,475 walichukua fomu za ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.

Polisi Tanzania: Wengi wanaoripotiwa kutekwa hujificha kwa sababu binafsi
East Africa Tanzania

Polisi Tanzania: Wengi wanaoripotiwa kutekwa hujificha kwa sababu binafsi

Asia GambaJune 18, 2025

Katika taarifa iliyotolewa leo Jumatano tarehe 18 Juni 2025, ambayo imeeleza baadhi ya matukio hayo,  polisi wamesema uchunguzi wa kina umebaini kuwa watu wengi waliodaiwa kutekwa ama walikuwa wamejificha kwa hiari, walitoroka kutokana na sababu mbalimbali au walihusika katika vitendo vya uhalifu kabla ya kupotea kwao.

Un Human Rights Experts Alarmed By Escalating Pattern Of Enforced Disappearances In Tanzania
East Africa International People Rights & Freedoms Social Issues Tanzania United Nations

Un Human Rights Experts Alarmed By Escalating Pattern Of Enforced Disappearances In Tanzania

Joy CheptooJune 13, 2025

The international community continues to call for urgent action to protect human rights in Tanzania and ensure justice for those who have been subjected to abuse.

Dola dhidi ya Madhabahu: Gwajima katika moto wa kisiasa
East Africa People Politics Religion Rights & Freedoms Social Issues Tanzania Uncategorized

Dola dhidi ya Madhabahu: Gwajima katika moto wa kisiasa

Asia GambaJune 3, 2025

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeendelea kulizingira Kanisa la Ufufuo na Uzima, linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima, huku baadhi ya waumini wa kanisa hilo wakishikiliwa kwa mahojiano, kufuatia agizo la Serikali la kulifunga kanisa hilo kwa madai ya ukiukaji wa sheria.

Activist Boniface Mwangi Recalls Shocking Torture and Sexual Assault at the Hands of Tanzanian Authorities
East Africa Gender Kenya People Rights & Freedoms Social Issues Tanzania Uganda

Activist Boniface Mwangi Recalls Shocking Torture and Sexual Assault at the Hands of Tanzanian Authorities

Joy CheptooJune 2, 2025June 2, 2025

Mwangi accused the Kenyan government of failing to intervene in his detention. “My government let me down. They sided with Suluhu’s government and claimed we were interfering with Tanzanian politics,” he said.

The Chanzo yaondoa maudhui ya Askofu Gwajima kufuatia wito wa TCRA
Africa East Africa Rights & Freedoms Tanzania

The Chanzo yaondoa maudhui ya Askofu Gwajima kufuatia wito wa TCRA

Asia GambaMay 27, 2025

Katika video hiyo, Askofu Gwajima, ambaye pia ni kiongozi wa dini, alizungumza na wanahabari tarehe 24 Mei, 2025, akitoa maoni kuhusu mfululizo wa matukio ya utekaji yanayodaiwa kutokea nchini Tanzania. Maudhui hayo yalichapishwa kwenye chaneli ya The Chanzo Online TV kupitia YouTube.

Askofu Gwajima ajiripua..aibua orodha ya Waliotekwa, ataka mabadiliko ya mfumo wa Usalama
East Africa Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Askofu Gwajima ajiripua..aibua orodha ya Waliotekwa, ataka mabadiliko ya mfumo wa Usalama

Asia GambaMay 26, 2025

Mbunge huyo ambaye pia ni kiongozi wa dini, ameibua msururu wa matukio ya utekaji wa raia, akisisitiza kuwa vitendo hivyo haviendani na utamaduni wa Tanzania. Ameeleza kuwa amekuwa akipokea taarifa za matukio ya utekaji, ambapo amesema kuna orodha ya takribani watu 83 waliowahi kutekwa katika miaka ya hivi karibuni.

Karua Awasili Uganda Kuhudhuria Kesi Ya Besigye Baada Ya Kufurushwa Tanzania
Africa Crime & Justice East Africa Kenya Tanzania

Karua Awasili Uganda Kuhudhuria Kesi Ya Besigye Baada Ya Kufurushwa Tanzania

Our CorrespondentMay 20, 2025May 23, 2025

Katika taarifa yake kupitia akaunti yake ya X, Karua alidai kuingia kwao Uganda kulikuwa kwa taratibu, kwa kuzingatia kanuni za mtangamano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

Mwenyekiti wa walimu wasio na ajira akamatwa
East Africa Education People Social Issues Tanzania

Mwenyekiti wa walimu wasio na ajira akamatwa

Asia GambaFebruary 25, 2025February 25, 2025

Mwenyekiti wa Umoja wa Walimu Wasio na Ajira Tanzania (NETO), Joseph Paulo Kaheza amekamatwa akiwa mkoani Geita kwa kile kinachodaiwa kuwa ni vuguvugu la kupigania ajira kwa walimu wa Tanzania.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo