• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Samia Suluhu

Serikali ya Tanzania yakosoa makala ya BBC kuhusu Tundu Lissu
Africa East Africa People Politics Rights & Freedoms Tanzania

Serikali ya Tanzania yakosoa makala ya BBC kuhusu Tundu Lissu

Asia GambaJuly 14, 2026

Serikali ya Tanzania imeikosoa makala iliyochapishwa na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) kupitia kipindi chake cha BBC Africa Eye, ikidai kuwa imewasilisha taarifa zisizo na uwiano kuhusu kesi inayomkabili kiongozi wa upinzani, Tundu Lissu.

Op-Ed: Hakuna Kisingizio cha Mauaji ya Umati
Crime & Justice East Africa Opinion Politics Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Op-Ed: Hakuna Kisingizio cha Mauaji ya Umati

Jeffrey SmithJune 3, 2026June 3, 2026

Mtihani uliopo sasa ni kama kanda hii, pamoja na dunia pana, itasimama kwa mshikamano wa kweli na Watanzania kudai ukweli na haki, au itatazama kimya

“Yuda Yuko Wapi?” kauli ya mbunge bungeni yazua maswali kuhusu uaminifu ndani ya Serikali
People Politics

“Yuda Yuko Wapi?” kauli ya mbunge bungeni yazua maswali kuhusu uaminifu ndani ya Serikali

Asia GambaJune 3, 2026

Mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Fedha kwa mwaka wa fedha 2026/2027 umechukua sura mpya baada ya Mbunge wa Jimbo la Tunguu, Zanzibar, Simai Mohammed Said, kutoa kauli kali dhidi ya kile alichodai kuwa ni usaliti unaofanywa na mmoja wa viongozi waliopo ndani ya Serikali.

Activists Slam President Samia’s Remarks on Gen Z Crackdown, Demand Immediate Apology
East Africa Kenya People Politics Rights & Freedoms Tanzania

Activists Slam President Samia’s Remarks on Gen Z Crackdown, Demand Immediate Apology

Mwanzo EditorMay 6, 2026

“Young people do not need anyone’s permission to claim their rights. Not from Suluhu, not from Ruto. These rights are theirs.”

Samia Amkaba Ruto Hadharani Kuhusu Refinery ya Tanga
Development East Africa Kenya Politics Tanzania

Samia Amkaba Ruto Hadharani Kuhusu Refinery ya Tanga

Joy CheptooMay 4, 2026

Rais Samia Suluhu Hassan alimhoji hadharani Rais Ruto kuhusu tangazo lake la awali kuhusu mpango wa kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta huko Tanga, akisema hakuwa na taarifa nalo

Op-ed: The Chande Commission of Inquiry should be disregarded for want of merits
Opinion Politics Tanzania

Op-ed: The Chande Commission of Inquiry should be disregarded for want of merits

Tito MagotiApril 21, 2026April 21, 2026

“The commission was established as an afterthought, designed to create the appearance of accountability while in fact undermining any possibility of a credible, independent investigation into the tragic events we experienced”

Tahadhari yatolewa ongezeko la Influenza na COVID-19 nchini Tanzania
Africa Energy & Mining

Tahadhari yatolewa ongezeko la Influenza na COVID-19 nchini Tanzania

Asia GambaFebruary 25, 2026

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, mafua makali ya Influenza na UVIKO-19 huambukizwa kupitia majimaji yanayotoka kwenye mfumo wa njia ya hewa ya mgonjwa, ambayo husambaa wakati wa kukohoa, kupiga chafya au kuzungumza.Vilevile, maambukizi yanaweza kutokea kwa kugusa mazingira yaliyochafuliwa na majimaji hayo.

Tanzania Opposition Says 2,000 Killed in Election Violence
Africa Crime & Justice East Africa People Politics Tanzania War & Conflicts

Tanzania Opposition Says 2,000 Killed in Election Violence

Wadh KassimDecember 11, 2025

Opposition party Chadema’s deputy chairperson John Heche told reporters that Tanzania witnessed “mass killings of more than 2,000 people and over 5,000 injured in the space of just one week”.

Sweden to phase out bilateral development cooperation with Tanzania
Africa Tanzania

Sweden to phase out bilateral development cooperation with Tanzania

Kevin SeweDecember 5, 2025

This decision comes days after the European Parliament halts funding to Tanzania over political repression, Post-election crackdown with violence and killings, Internet shutdowns, abductions, and intimidation.

Samia:Vurugu za Oktoba 29, zimeishushia hadhi Tanzania Kimataifa
East Africa Politics Tanzania

Samia:Vurugu za Oktoba 29, zimeishushia hadhi Tanzania Kimataifa

Asia GambaDecember 2, 2025

Rais Samia Suluhu Hassan amesema sifa ya Tanzania kama kisiwa cha amani imeanza kuporomoka kutokana na matukio ya vurugu, uchochezi na matumizi ya dini katika siasa, akisisitiza kuwa vitendo hivyo vinadhoofisha misingi iliyoiweka nchi hiyo kwenye heshima ya kimataifa kwa miongo mingi. 

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy