• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Samia Suluhu

Kampeni za urais Tanzania kuanza rasmi huku mgombea wa ACT Wazalendo akizuiwa kugombea
East Africa Politics Tanzania

Kampeni za urais Tanzania kuanza rasmi huku mgombea wa ACT Wazalendo akizuiwa kugombea

Asia GambaAugust 28, 2025August 28, 2025

Kwa mujibu wa INEC, jumla ya vyama 18 vilivyosajiliwa vitashiriki uchaguzi huu, na wagombea 17 wa urais watashiriki kinyang’anyiro

ACHPR yaikosoa Tanzania kwa ukiukaji wa haki za binadamu kuelekea uchaguzi wa 2025
Africa East Africa Rights & Freedoms Tanzania

ACHPR yaikosoa Tanzania kwa ukiukaji wa haki za binadamu kuelekea uchaguzi wa 2025

Asia GambaAugust 7, 2025

Tume ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (ACHPR) imeitolea wito Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhakikisha inalinda, inaheshimu na inatekeleza kwa dhati viwango vya haki za binadamu kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba 2025.

Job Ndugai: Spika aliyekuwa na kauli kali na mwenye mizizi ya kisiasa Tanzania
East Africa People Politics Tanzania

Job Ndugai: Spika aliyekuwa na kauli kali na mwenye mizizi ya kisiasa Tanzania

Asia GambaAugust 7, 2025

Kipindi cha uongozi wake kama Spika kiligubikwa na malalamiko kutoka kwa baadhi ya wanasiasa wa upinzani waliomtuhumu kwa upendeleo, kufungia wabunge waliokuwa wakikosoa serikali, pamoja na kuziba mijadala mizito ndani ya Bunge.

Panga la Wajumbe: Vigogo wa CCM waangukia pua kura za maoni
East Africa Politics Tanzania

Panga la Wajumbe: Vigogo wa CCM waangukia pua kura za maoni

Asia GambaAugust 5, 2025

Ingawa majina ya mwisho ya wagombea yataamuliwa na ngazi za juu za chama hicho, matokeo ya sasa yameweka uelekeo wa wazi kuwa sehemu kubwa ya wanachama wameonyesha hamu ya kuona sura mpya zikipewa nafasi ya uongozi.

Tundu Lissu’s Petition Rejected by Tanzania’s High Court
East Africa People Politics Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Tundu Lissu’s Petition Rejected by Tanzania’s High Court

Joy CheptooJuly 11, 2025

The court ruled that Lissu’s petition should have been filed after the main case was concluded.

CCM yavuna bilioni 2.7 kutokana na ada za fomu za ubunge na udiwani
East Africa Politics Tanzania

CCM yavuna bilioni 2.7 kutokana na ada za fomu za ubunge na udiwani

Asia GambaJuly 3, 2025July 3, 2025

Makalla amesema hadi kufikia jana, Julai 2, 2025, zoezi la uchukuaji na urejeshaji wa fomu ndani ya chama lilikuwa limekamilika ambapo jumla ya wanachama 5,475 walichukua fomu za ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.

Polisi Tanzania: Wengi wanaoripotiwa kutekwa hujificha kwa sababu binafsi
East Africa Tanzania

Polisi Tanzania: Wengi wanaoripotiwa kutekwa hujificha kwa sababu binafsi

Asia GambaJune 18, 2025

Katika taarifa iliyotolewa leo Jumatano tarehe 18 Juni 2025, ambayo imeeleza baadhi ya matukio hayo,  polisi wamesema uchunguzi wa kina umebaini kuwa watu wengi waliodaiwa kutekwa ama walikuwa wamejificha kwa hiari, walitoroka kutokana na sababu mbalimbali au walihusika katika vitendo vya uhalifu kabla ya kupotea kwao.

Un Human Rights Experts Alarmed By Escalating Pattern Of Enforced Disappearances In Tanzania
East Africa International People Rights & Freedoms Social Issues Tanzania United Nations

Un Human Rights Experts Alarmed By Escalating Pattern Of Enforced Disappearances In Tanzania

Joy CheptooJune 13, 2025

The international community continues to call for urgent action to protect human rights in Tanzania and ensure justice for those who have been subjected to abuse.

Dola dhidi ya Madhabahu: Gwajima katika moto wa kisiasa
East Africa People Politics Religion Rights & Freedoms Social Issues Tanzania Uncategorized

Dola dhidi ya Madhabahu: Gwajima katika moto wa kisiasa

Asia GambaJune 3, 2025

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeendelea kulizingira Kanisa la Ufufuo na Uzima, linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima, huku baadhi ya waumini wa kanisa hilo wakishikiliwa kwa mahojiano, kufuatia agizo la Serikali la kulifunga kanisa hilo kwa madai ya ukiukaji wa sheria.

Activist Boniface Mwangi Recalls Shocking Torture and Sexual Assault at the Hands of Tanzanian Authorities
East Africa Gender Kenya People Rights & Freedoms Social Issues Tanzania Uganda

Activist Boniface Mwangi Recalls Shocking Torture and Sexual Assault at the Hands of Tanzanian Authorities

Joy CheptooJune 2, 2025June 2, 2025

Mwangi accused the Kenyan government of failing to intervene in his detention. “My government let me down. They sided with Suluhu’s government and claimed we were interfering with Tanzanian politics,” he said.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy