Bomb Attack in Afghan Capital Kills One, Wounds 11: Police
An attacker carrying a bomb in a bag killed a child and wounded 11 others in a market in Afghanistan’s…
An attacker carrying a bomb in a bag killed a child and wounded 11 others in a market in Afghanistan’s…
Akhundzada pia aliamuru mamlaka kuwafuta kazi wafanyikazi wa serikali wa kike ambao hawafuati kanuni mpya ya mavazi, na kuwasimamisha kazi wafanyikazi wa kiume ikiwa wake na binti zao watakosa kufuata sheria hizo.
Msemaji wa Taliban, Inamullah Samangani amethibitisha kuwa shule hizo kweli zimefungwa na wanafunzi wa kike wameamriwa kurudi nyumbani, hadi taarifa nyingine itakapotolewa.
Uwanja wa ndege wa Kabul ulivamiwa mwezi Agosti wakati maelfu ya watu walipokuwa wakihama kwenda Amerika baada ya majeshi ya Amerika kuondoka Afghanistan.
The Taliban group plans to temporarily adopt a 1964 constitution that granted women the right to vote
Taliban yapiga marufuku vinyozi kuwanyoa wanaume vichwa na ndevu, wakisema kunyoa kunakwenda kinyume na maadili ya dini ya kiislamu.
‘Eternal’ chancellor: Germany’s Merkel prepares to leave the stage
Taliban inataka kushirikishwa katika mijadala ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA) Marekani
Kazi ambazo wanawake Afghanistan wanaruhusiwa kufanya pekee ni zile ambazo wanaume hawawezi kufanya, kama kusafisha vyoo vya wanawake. Wafanyakazi wanawake…
Afghanistan ni taifa linaloongoza katika upanzi wa mmea unaojulikana kama afyuni. Hutumika katika utengenezaji wa dawa tofauti za kulevya ikiwemo
heroini.