Mahakama Kuu kusikiliza maombi ya Habeas Corpus ya John Heche
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa CHADEMA, Wakili Gaston Garubindi, maombi hayo yamesajiliwa na kupangwa mbele ya Jaji Obadia Bwegoge.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa CHADEMA, Wakili Gaston Garubindi, maombi hayo yamesajiliwa na kupangwa mbele ya Jaji Obadia Bwegoge.
Taarifa hiyo ya ACT Wazalendo ambayo imetolewa leo Alhamisi Novemba 6, 2025, imeeleza kuwa matukio hayo si uvunjifu wa haki za binadamu tu bali pia mamlaka zimekosa utu kwa kutozingatia misingi ya utawala bora.
Katika ripoti yake ya awali, Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa AU ulisema kuwa baadhi ya wapiga kura walipatiwa karatasi nyingi za kupigia kura, na wengine waliruhusiwa kupiga kura bila majina yao kuthibitishwa kwenye daftari la wapiga kura.
Idadi ndogo ya wapiga kura imeonekana katika vituo vya kupigia kura jijini Dar es Salaam leo Jumatano, wakati ambapo wapinzani wakuu wa Rais Samia Suluhu Hassan wengine wakiwa gerezani na wengine wamezuiwa kugombea.
Taarifa ya Jeshi la Polisi imesema kuwa baadhi ya taarifa hizo zimeandaliwa kwa uangalifu ili kuzalisha taharuki, ikiwemo kuchukua matukio yaliyotokea katika nchi nyingine, kuyatengeneza upya, kisha kuyaunganisha na sauti za Kiswahili zenye lafudhi ya nchi yetu ili yaonekane yametokea nchini.
Tume zote mbili INEC kwa Tanzania Bara na ZEC kwa Zanzibar zimeahidi kufanya uchaguzi ulio huru, wa amani na unaozingatia sheria. Mashirika ya kiraia na waangalizi wa kimataifa pia wanatarajiwa kufuatilia mchakato huo unaotazamwa kama kipimo muhimu cha demokrasia nchini.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni, Kinondoni, jijini Dar es Salaam, imewahukumu vijana wanne kifungo cha miaka saba jela kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kujaribu kumteka mfanyabiashara Deogratus Tarimo.
Kati ya Januari 2024 na Oktoba 2025, Amnesty iliripoti ukiukaji mpana wa haki za binadamu ikiwemo matukio ya watu kupotea kusikojulikana, mateso na mauaji ya kiholela ya viongozi na wanaharakati wa upinzani.
Lissu, ambaye anajitetea mwenyewe, anakabiliwa na shtaka la uhaini yanayodaiwa kutokana na matamshi aliyotoa Aprili 3,2025. Alikamatwa Aprili 9, 2025 mkoani Ruvuma na kisha kusafirishwa hadi Dar es Salaam, ambako anakabiliwa na kesi hiyo mbele ya jopo la majaji wa Mahakama Kuu.
Awali leo kabla ya kuendelea na shahidi wa tatu mahakamani Lissu ambaye anajitetea mwenyewe katika kesi hiyo alimalizia maswali ya dodoso ambayo kimsingi alizungumzia kuhusu picha mjongeo ama video ambayo abadaiwa kuochapisha.