• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania news

Mahakama Kuu kusikiliza maombi ya Habeas Corpus ya John Heche
Africa East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Mahakama Kuu kusikiliza maombi ya Habeas Corpus ya John Heche

Mwanzo EditorNovember 6, 2025

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa CHADEMA, Wakili Gaston Garubindi, maombi hayo yamesajiliwa na kupangwa mbele ya Jaji Obadia Bwegoge.

ACT Wazalendo yashinikiza uchunguzi wa Kimataifa dhidi ya mauaji ya waandamanaji
Africa East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

ACT Wazalendo yashinikiza uchunguzi wa Kimataifa dhidi ya mauaji ya waandamanaji

Mwanzo EditorNovember 6, 2025

Taarifa hiyo ya ACT Wazalendo ambayo imetolewa leo Alhamisi Novemba 6, 2025, imeeleza kuwa matukio hayo si uvunjifu wa haki za binadamu tu bali pia mamlaka zimekosa utu kwa kutozingatia misingi ya utawala bora.

AU: Uchaguzi wa Tanzania ulivurugwa
Africa East Africa Politics Tanzania

AU: Uchaguzi wa Tanzania ulivurugwa

Mwanzo EditorNovember 6, 2025

Katika ripoti yake ya awali, Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa AU ulisema kuwa baadhi ya wapiga kura walipatiwa karatasi nyingi za kupigia kura, na wengine waliruhusiwa kupiga kura bila majina yao kuthibitishwa kwenye daftari la wapiga kura.

Ushiriki mdogo wa wapiga kura wakati Tanzania inapiga kura bila upinzani
Africa East Africa People Politics Tanzania

Ushiriki mdogo wa wapiga kura wakati Tanzania inapiga kura bila upinzani

Mwanzo EditorOctober 29, 2025

Idadi ndogo ya wapiga kura imeonekana katika vituo vya kupigia kura jijini Dar es Salaam leo Jumatano, wakati ambapo wapinzani wakuu wa Rais Samia Suluhu Hassan wengine wakiwa gerezani na wengine wamezuiwa kugombea.

Polisi:Kuna watu wanaandaa taarifa za upotoshaji kuleta taharuki
East Africa People Politics Tanzania

Polisi:Kuna watu wanaandaa taarifa za upotoshaji kuleta taharuki

Asia GambaOctober 28, 2025

Taarifa ya Jeshi la Polisi imesema kuwa baadhi ya taarifa hizo zimeandaliwa kwa uangalifu ili kuzalisha taharuki, ikiwemo kuchukua matukio yaliyotokea katika nchi nyingine, kuyatengeneza upya, kisha kuyaunganisha na sauti za Kiswahili zenye lafudhi ya nchi yetu ili yaonekane yametokea nchini.

Watanzania wajiandaa kupiga kura kesho
Africa East Africa People Politics Tanzania

Watanzania wajiandaa kupiga kura kesho

Asia GambaOctober 28, 2025

Tume zote mbili  INEC kwa Tanzania Bara na ZEC kwa Zanzibar  zimeahidi kufanya uchaguzi ulio huru, wa amani na unaozingatia sheria. Mashirika ya kiraia na waangalizi wa kimataifa pia wanatarajiwa kufuatilia mchakato huo unaotazamwa kama kipimo muhimu cha demokrasia nchini.

Wahukumiwa miaka saba jela kwa jaribio la kumteka mfanyabiashara Tarimo
East Africa People Social Issues Tanzania

Wahukumiwa miaka saba jela kwa jaribio la kumteka mfanyabiashara Tarimo

Asia GambaOctober 21, 2025

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni, Kinondoni,  jijini Dar es Salaam, imewahukumu vijana wanne kifungo cha miaka saba jela kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kujaribu kumteka mfanyabiashara Deogratus Tarimo.

Amnesty yalaani ukiukaji wa haki za binadamu wa “kitaasisi” nchini Tanzania
Africa East Africa Politics Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Amnesty yalaani ukiukaji wa haki za binadamu wa “kitaasisi” nchini Tanzania

Asia GambaOctober 21, 2025

Kati ya Januari 2024 na Oktoba 2025, Amnesty iliripoti ukiukaji mpana wa haki za binadamu ikiwemo matukio ya watu kupotea kusikojulikana,  mateso na mauaji ya kiholela ya viongozi na wanaharakati wa upinzani.

Kesi ya Lissu:Hatima ya vielelezo vya video kesi ya Lissu kujulikana Jumatano
Africa East Africa Politics Tanzania

Kesi ya Lissu:Hatima ya vielelezo vya video kesi ya Lissu kujulikana Jumatano

Asia GambaOctober 20, 2025October 20, 2025

Lissu, ambaye anajitetea mwenyewe, anakabiliwa na shtaka la uhaini yanayodaiwa kutokana na matamshi aliyotoa Aprili 3,2025. Alikamatwa Aprili 9, 2025 mkoani Ruvuma na kisha kusafirishwa hadi Dar es Salaam, ambako anakabiliwa na kesi hiyo mbele ya jopo la majaji wa Mahakama Kuu.

Kesi ya Uhaini ya Lissu: Shahidi wa pili amaliza ushahidi, mtaalamu wa picha aanza kuhojiwa
East Africa Politics Tanzania

Kesi ya Uhaini ya Lissu: Shahidi wa pili amaliza ushahidi, mtaalamu wa picha aanza kuhojiwa

Asia GambaOctober 16, 2025October 17, 2025

Awali leo kabla ya kuendelea na shahidi wa tatu mahakamani Lissu ambaye anajitetea mwenyewe katika kesi hiyo alimalizia maswali ya dodoso ambayo kimsingi alizungumzia kuhusu picha mjongeo ama video ambayo abadaiwa kuochapisha.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy