• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania news

Lissu alalamikia matumizi mabaya ya Mahakama, achoshwa na ahirisho la mara kwa mara
Crime & Justice East Africa Politics Tanzania

Lissu alalamikia matumizi mabaya ya Mahakama, achoshwa na ahirisho la mara kwa mara

Asia GambaJuly 30, 2025

Katika kesi hiyo iliyopo mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Franco Kiswaga , Lissu amedai kwamba kuendelea kwa hatua za kuahirisha kusomwa kwa shauri hilo ni dhihirisho la namna vyombo vya sheria vinavyoweza kutumiwa kisiasa, jambo ambalo ni hatari kwa mustakabali wa demokrasia nchini.

Jaji agoma kujitoa katika kesi ya mgogoro wa mali za Chadema
Uncategorized

Jaji agoma kujitoa katika kesi ya mgogoro wa mali za Chadema

Asia GambaJuly 28, 2025

Jaji Mwanga amekuwa akisimamia kesi hiyo tangu ilipotajwa kwa mara ya kwanza mnamo Aprili 17, 2025. Hata hivyo, Juni 23 mwaka huu, walalamikaji walimuandikia barua ya kumtaka ajitoe katika kesi hiyo, wakidai upendeleo na mgongano wa kimaslahi.

Je, Mbowe anaandika ukurasa mpya kisiasa au anaufunga kabisa?
Africa East Africa Tanzania

Je, Mbowe anaandika ukurasa mpya kisiasa au anaufunga kabisa?

Asia GambaJuly 17, 2025

Wakati wengi walitarajia angerejea katika ulingo wa kisiasa kwa mtindo mpya, Mbowe amebaki kivuli cha kile kilichowahi kuwa sauti kali ya upinzani Tanzania.

Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu yapigwa kalenda tena, amlalamikia DPP kwa danadana
Africa Crime & Justice East Africa Politics Tanzania

Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu yapigwa kalenda tena, amlalamikia DPP kwa danadana

Asia GambaJuly 15, 2025

Kesi hiyo ilitajwa leo, Julai 15, 2025, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambapo Lissu alionesha wazi kutoridhishwa na hatua hiyo, akidai kuwa upande wa Jamhuri unatumia hila kuchelewesha mchakato wa haki.

CCM yavuna bilioni 2.7 kutokana na ada za fomu za ubunge na udiwani
East Africa Politics Tanzania

CCM yavuna bilioni 2.7 kutokana na ada za fomu za ubunge na udiwani

Asia GambaJuly 3, 2025July 3, 2025

Makalla amesema hadi kufikia jana, Julai 2, 2025, zoezi la uchukuaji na urejeshaji wa fomu ndani ya chama lilikuwa limekamilika ambapo jumla ya wanachama 5,475 walichukua fomu za ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.

Kesi ya Lissu ngoma nzito, maamuzi ya DPP, na Mahakama Kuu yasubiriwa
East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Kesi ya Lissu ngoma nzito, maamuzi ya DPP, na Mahakama Kuu yasubiriwa

Asia GambaJuly 1, 2025July 1, 2025

Kesi ya Lissu ngoma nzito, maamuzi ya DPP, na Mahakama Kuu yasubiriwa

Polisi Tanzania: Wengi wanaoripotiwa kutekwa hujificha kwa sababu binafsi
East Africa Tanzania

Polisi Tanzania: Wengi wanaoripotiwa kutekwa hujificha kwa sababu binafsi

Asia GambaJune 18, 2025

Katika taarifa iliyotolewa leo Jumatano tarehe 18 Juni 2025, ambayo imeeleza baadhi ya matukio hayo,  polisi wamesema uchunguzi wa kina umebaini kuwa watu wengi waliodaiwa kutekwa ama walikuwa wamejificha kwa hiari, walitoroka kutokana na sababu mbalimbali au walihusika katika vitendo vya uhalifu kabla ya kupotea kwao.

Africa East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Siku 68 za Lissu gerezani, aeleza masaibu anayopitia

Asia GambaJune 17, 2025

Licha ya kutohukumiwa, Lissu amedai amekuwa akishikiliwa kwenye eneo maalum la wafungwa wanaosubiri kunyongwa (death row) ndani ya Gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam.

Lissu ajiwakilisha mwenyewe Mahakamani baada ya kunyimwa haki ya kuonana na Mawakili wake Gerezani
Crime & Justice East Africa Tanzania

Lissu ajiwakilisha mwenyewe Mahakamani baada ya kunyimwa haki ya kuonana na Mawakili wake Gerezani

Asia GambaJune 16, 2025

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ameieleza Mahakama ya Kisutu kuwa ameamua kujiwakilisha mwenyewe katika shauri la uhaini yanayomkabili, akidai kunyimwa haki ya kuonana kwa faragha na mawakili wake tangu alipowekwa mahabusu zaidi ya miezi miwili iliyopita.

Chadema yatakiwa kusimamisha shughuli zake kwa siku 14
East Africa Politics Tanzania

Chadema yatakiwa kusimamisha shughuli zake kwa siku 14

Asia GambaJune 10, 2025

Zuio hilo linatokana na kesi namba 8323/2025 iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Issa na wenzake wawili ambayo imetolewa uamuzi leo na Jaji Hamidu Mwanga.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy