Waitara amvaa Simai kwa kauli ya “Yuda” bungeni, ataka amtaje anayemlenga
Katika mchango wake, Waitara alisema viongozi wanapaswa kuwa waangalifu wanapozungumza hadharani ili kulinda umoja wa kitaifa na kuzuia kauli zinazoweza kuibua taharuki au migawanyiko katika jamii.