• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania news

Waitara amvaa Simai kwa kauli ya “Yuda” bungeni, ataka amtaje anayemlenga
Africa East Africa Politics Tanzania

Waitara amvaa Simai kwa kauli ya “Yuda” bungeni, ataka amtaje anayemlenga

Asia GambaJune 17, 2026

Katika mchango wake, Waitara alisema viongozi wanapaswa kuwa waangalifu wanapozungumza hadharani ili kulinda umoja wa kitaifa na kuzuia kauli zinazoweza kuibua taharuki au migawanyiko katika jamii.

Jamhuri na Lissu kukutana tena Mahakama ya Rufani kesho kuhusu ushahidi wa ACP Mahamba
East Africa Politics Tanzania

Jamhuri na Lissu kukutana tena Mahakama ya Rufani kesho kuhusu ushahidi wa ACP Mahamba

Asia GambaJune 10, 2026

Ni hatua nyingine muhimu katika kesi ambayo imeendelea kuvuta hisia za wananchi ndani na nje ya Tanzania tangu Lissu alipokamatwa Aprili 9, 2025 na kushtakiwa kwa kosa la uhaini.

Wakenya wakamatwa wakipinga kituo cha karantini ya Ebola kwa Raia wa Marekani
East Africa Kenya Politics Social Issues

Wakenya wakamatwa wakipinga kituo cha karantini ya Ebola kwa Raia wa Marekani

Asia GambaJune 9, 2026

Kituo hicho kinajengwa katika Kambi ya Anga ya Laikipia, iliyopo Nanyuki chini ya Mlima Kenya, na kinatarajiwa kutumika kuwaweka karantini raia wa Marekani watakaowasili kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), ambayo kwa sasa inakabiliwa na mlipuko mkubwa wa ugonjwa wa Ebola

“Yuda Yuko Wapi?” kauli ya mbunge bungeni yazua maswali kuhusu uaminifu ndani ya Serikali
People Politics

“Yuda Yuko Wapi?” kauli ya mbunge bungeni yazua maswali kuhusu uaminifu ndani ya Serikali

Asia GambaJune 3, 2026

Mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Fedha kwa mwaka wa fedha 2026/2027 umechukua sura mpya baada ya Mbunge wa Jimbo la Tunguu, Zanzibar, Simai Mohammed Said, kutoa kauli kali dhidi ya kile alichodai kuwa ni usaliti unaofanywa na mmoja wa viongozi waliopo ndani ya Serikali.

Msaidizi wa Lissu alivyonusurika kutekwa usiku Dar, Chadema yaibua maswali mazito
Africa Crime & Justice East Africa Politics Social Issues Tanzania

Msaidizi wa Lissu alivyonusurika kutekwa usiku Dar, Chadema yaibua maswali mazito

Mwanzo EditorMay 21, 2026

Katika simulizi yake iliyojaa taharuki, Jumbe amesema tukio hilo lilianza majira ya saa nne usiku akiwa njiani kuelekea nyumbani kwake Mabwepande, Bunju, akiwa ameambatana na rafiki yake aliyemtaja kwa jina la Macha.

Wanasiasa na Wanaharakati waishambulia Ofisi ya Msajili kwa kutishia kuifuta Chadema
East Africa Politics Tanzania

Wanasiasa na Wanaharakati waishambulia Ofisi ya Msajili kwa kutishia kuifuta Chadema

Asia GambaMay 14, 2026

Ukosoaji huo umeongezeka katika mtandao wa X, ambapo viongozi mbalimbali wa kisiasa, wanasheria na watetezi wa haki za binadamu wameeleza wasiwasi wao kuhusu kile wanachodai kuwa ni matumizi ya mamlaka yanayoweza kuhatarisha demokrasia na ushindani wa kisiasa nchini.

Jaji Maraga awashambulia Ruto na Samia adai wanaleta udikteta Afrika Mashariki
Africa East Africa Kenya Politics Social Issues Tanzania

Jaji Maraga awashambulia Ruto na Samia adai wanaleta udikteta Afrika Mashariki

Mwanzo EditorMay 5, 2026

Katika siku ya kwanza ya ziara ya kiserikali ya Rais Ruto nchini Tanzania, Rais Samia alimuomba Ruto kushirikiana naye kuwaadhibu vijana wa kizazi kipya maarufu kizazi cha Gen Z wanaosababisha “fujo” katika nchi zote mbili kwa kukiuka sheria kwa kisingizio cha kuminywa kwa demokrasia.

Tanzania yazindua mkakati wa miaka 10 kurejesha maadili ya Taifa
East Africa Social Issues Tanzania

Tanzania yazindua mkakati wa miaka 10 kurejesha maadili ya Taifa

Asia GambaApril 29, 2026

Uzinduzi huo umefanyika leo, Aprili 29, 2026, ukiongozwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Christian Makonda.

Tume yabaini mbinu 16 zilizotumika kuratibu ghasia za Oktoba 29
East Africa People Politics Tanzania

Tume yabaini mbinu 16 zilizotumika kuratibu ghasia za Oktoba 29

Mwanzo EditorApril 23, 2026

Kwa mujibu wa ripoti hiyo, Tume imepata ushahidi unaoonyesha kuwa matukio hayo hayakutokea kwa bahati mbaya, bali yalipangwa, yaliratibiwa, yalifadhiliwa na kutekelezwa na watu waliokuwa na maandalizi ya awali, ikiwemo kupata mafunzo maalum.

Tume:Katiba mpya, utekaji, utitiri wa kodi chanzo cha ghasia za Oktoba
Crime & Justice East Africa People Politics Social Issues Tanzania

Tume:Katiba mpya, utekaji, utitiri wa kodi chanzo cha ghasia za Oktoba

Mwanzo EditorApril 23, 2026

Ripoti ya Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Oktoba 29, 2025 imeeleza kuwa ghasia zilizotokea wakati na baada ya uchaguzi mkuu nchini Tanzania zilitokana na mkusanyiko wa changamoto za muda mrefu zilizokuwa zikijengeka ndani ya jamii bila kushughulikiwa ipasavyo.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy