Mchango wa kununua gari jipya la Lissu wafikia milioni 24.9
Kupitia ukurasa wa X Lissu alithibitisha kupokea kiasi hicho cha fedha na kuomba wadau waendelee kumchangia apate gari hilo “kwa ajili ya harakati za ukombozi”.
Kupitia ukurasa wa X Lissu alithibitisha kupokea kiasi hicho cha fedha na kuomba wadau waendelee kumchangia apate gari hilo “kwa ajili ya harakati za ukombozi”.
Tanzania inatarajia kuwa mwenyeji wa maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (PSC-AU) yatakayofanyika kesho Mei 25, 2024 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam.
Kenya’s sports ministry had said in April it would be closing Nairobi’s two main stadiums and another in Eldoret for renovations to prepare for the 2027 AFCON which Kenya will host jointly with Tanzania and Uganda.
Kukatika kwa mtandao kwa sasa katika Afrika Mashariki kunahusisha kukatwa mara tatu kwa nyaya za chini ya bahari na hitilafu katika mfumo mwingine. Ben Roberts wa Liquid Telecom aliripoti masuala na Mfumo wa Kebo wa Manowari wa Afrika Mashariki (EASSy) na nyaya za Seacom.
Samia amesema yapo mambo kadhaa yanochangia Waafrika hao kuendelea kutumia nishati isiyo safi ikiwemo gharama kubwa hususani kwa watu waishio vijijini, pia ulimwengu kwa ujumla kutoweka kipaumbele kwenye suala hilo kwa kutoa ufadhili mdogo na watu kutojua fursa za kiuchumi zitokanazo na matumizi ya nishati safi ya kupikia.
Mpaka hivi leo bado huduma ya mtandao maarufu kwa kimombo Internet haiko sawasawa na Serikali ya Tanzania kupitia Msemaji wake imesema bado haijajua ni lini huduma hiyo itarejea kwa uhakika.
There are over 570 undersea cables globally, with submarine cables providing 90% of Africa’s internet needs.
Tanzania and the French Indian Ocean island of Mayotte were the hardest hit, the internet surveillance group said.
Kamanda Jongo alisema kuwa majera ya mtoto na silaha iliyokutwa eneo la tukio ni wazi aliyafanya tukio hilo hakuwa na lengo la kuondoka na kiungo chochote.
Kamanda Issango amesisitiza wafanyabiashara hao kufanya kazi kidigitali kwa kuhakikisha wanafunga kamera za usalama (CCTV) kwenye maduka yao