• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania news

Chadema, Msajili bado vuta nikuvute, wapeleka kesi Mahakamani
Africa East Africa People Politics Tanzania

Chadema, Msajili bado vuta nikuvute, wapeleka kesi Mahakamani

Asia GambaJune 5, 2025

Kwa mujibu wa CHADEMA, Msajili wa Vyama vya Siasa amekiuka Katiba kwa kudai kuwa uteuzi wa viongozi wa CHADEMA una dosari za kikatiba, akitaka nafasi hizo kujazwa upya huku akipuuzia mamlaka halali ya vikao vya chama vilivyoteua na kuthibitisha viongozi hao kwa mujibu wa Katiba ya chama.

Dola dhidi ya Madhabahu: Gwajima katika moto wa kisiasa
East Africa People Politics Religion Rights & Freedoms Social Issues Tanzania Uncategorized

Dola dhidi ya Madhabahu: Gwajima katika moto wa kisiasa

Asia GambaJune 3, 2025

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeendelea kulizingira Kanisa la Ufufuo na Uzima, linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima, huku baadhi ya waumini wa kanisa hilo wakishikiliwa kwa mahojiano, kufuatia agizo la Serikali la kulifunga kanisa hilo kwa madai ya ukiukaji wa sheria.

The Chanzo yaondoa maudhui ya Askofu Gwajima kufuatia wito wa TCRA
Africa East Africa Rights & Freedoms Tanzania

The Chanzo yaondoa maudhui ya Askofu Gwajima kufuatia wito wa TCRA

Asia GambaMay 27, 2025

Katika video hiyo, Askofu Gwajima, ambaye pia ni kiongozi wa dini, alizungumza na wanahabari tarehe 24 Mei, 2025, akitoa maoni kuhusu mfululizo wa matukio ya utekaji yanayodaiwa kutokea nchini Tanzania. Maudhui hayo yalichapishwa kwenye chaneli ya The Chanzo Online TV kupitia YouTube.

Askofu Gwajima ajiripua..aibua orodha ya Waliotekwa, ataka mabadiliko ya mfumo wa Usalama
East Africa Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Askofu Gwajima ajiripua..aibua orodha ya Waliotekwa, ataka mabadiliko ya mfumo wa Usalama

Asia GambaMay 26, 2025

Mbunge huyo ambaye pia ni kiongozi wa dini, ameibua msururu wa matukio ya utekaji wa raia, akisisitiza kuwa vitendo hivyo haviendani na utamaduni wa Tanzania. Ameeleza kuwa amekuwa akipokea taarifa za matukio ya utekaji, ambapo amesema kuna orodha ya takribani watu 83 waliowahi kutekwa katika miaka ya hivi karibuni.

Kiongozi wa Upinzani Tanzania akamatwa Uwanja wa Ndege
East Africa Politics Tanzania

Kiongozi wa Upinzani Tanzania akamatwa Uwanja wa Ndege

Asia GambaMay 13, 2025

Tukio hilo ni miongoni mwa matukio kadhaa ya hivi karibuni yanayowalenga wanachama wa CHADEMA, katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba.

Majimbo mapya ya Uchaguzi yaliyotangazwa na INEC
East Africa Politics Tanzania

Majimbo mapya ya Uchaguzi yaliyotangazwa na INEC

Asia GambaMay 12, 2025

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza kuanzishwa kwa majimbo mapya nane ya uchaguzi pamoja na kubadilishwa kwa majina ya majimbo mengine 12, ikiwa ni maandalizi ya kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.

EU yalaani ukandamizaji wa Demokrasia Tanzania, yataka Lissu aachiwe huru
East Africa People Politics Social Issues Tanzania

EU yalaani ukandamizaji wa Demokrasia Tanzania, yataka Lissu aachiwe huru

Asia GambaMay 8, 2025

Katika mijadala yao, wabunge hao wamekemea waziwazi uwepo wa vitisho vya adhabu ya kifo kwa Lissu, wakisema kuwa mashtaka ya uhaini na kusambaza taarifa za uongo dhidi yake ni ya kisiasa na yenye lengo la kumzuia kushiriki katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.

Siasa za visasi zadaiwa kukitafuna CHADEMA, G55 watangaza kujiondoa
East Africa Politics Tanzania

Siasa za visasi zadaiwa kukitafuna CHADEMA, G55 watangaza kujiondoa

Asia GambaMay 7, 2025

Kundi la viongozi wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), maarufu kama G55, limetangaza rasmi kujiondoa katika chama hicho kikuu cha upinzani nchini Tanzania, likidai kukithiri kwa ukiukwaji wa katiba, ubaguzi na siasa za visasi zinazoendeshwa na uongozi wa sasa.

Kesi ya uhaini inayomkabili Lissu yaahirishwa hadi Mei 19, Mahakama yatoa onyo
Crime & Justice East Africa Politics Tanzania

Kesi ya uhaini inayomkabili Lissu yaahirishwa hadi Mei 19, Mahakama yatoa onyo

Asia GambaMay 6, 2025

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu, imeahirishwa kwa siku 13 hadi Mei 19, 2025, baada ya upande wa Jamhuri kueleza kuwa upelelezi haujakamilika.

Bunge la Ulaya kujadili kesi ya Tundu Lissu Mei 7, 2025.
East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Bunge la Ulaya kujadili kesi ya Tundu Lissu Mei 7, 2025.

Asia GambaMay 5, 2025

Bunge la Ulaya linatarajia kukutana tarehe 7 Mei 2025 kwa ajili ya mjadala wa dharura kuhusu kesi inayomkabili Kiongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania, CHADEMA, Tundu Lissu. 

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy