• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania news

Lissu afikishwa Mahakamani kwa Kesi ya Uhaini, Mikutano ya CHADEMA yasitishwa
East Africa Politics Tanzania

Lissu afikishwa Mahakamani kwa Kesi ya Uhaini, Mikutano ya CHADEMA yasitishwa

Asia GambaApril 10, 2025

Lissu alikamatwa Aprili 9, 2025, wilayani Mbinga mkoani Ruvuma muda mfupi baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara. Usiku huo huo alisafirishwa kwa magari hadi Dar es Salaam na kufikishwa katika Kituo Kikuu cha Polisi (Central), kabla ya kupelekwa mahakamani leo asubuhi.

Asilimia 34.3 ya Vijana Wanapata VVU kila Mwaka
East Africa People Tanzania

Asilimia 34.3 ya Vijana Wanapata VVU kila Mwaka

Asia GambaApril 9, 2025April 12, 2025

Haya yameelezwa leo Aprili 9,2025, bungeni jijini Dodoma na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akiwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2025/2026, ambapo ameeleza kuwa takwimu zilizopo watu 1,690,948 wanaishi na virusi vya UKIMWI (WAVIU).

Chama cha kuwatetea Walimu chaja na mapya, walimu wanadai zaidi ya billion 12
East Africa Education Tanzania

Chama cha kuwatetea Walimu chaja na mapya, walimu wanadai zaidi ya billion 12

Asia GambaApril 8, 2025

Chama cha kutetea haki na maslahi ya walimu Tanzania (CHAKAMWATA), kimetangaza kutua mahakamani kuzishtaki Halmashauri mbalimbali nchini kwa madai ya kushindwa kulipa stahiki za watumishi wa kada ya ualimu kwa kushirikiana na Chama Cha walimu CWT kwa madai ya zaidi ya shilingi billion 12.

ACT Wazalendo yaja na hoja sita kabla ya Uchaguzi Mkuu
East Africa Politics Tanzania

ACT Wazalendo yaja na hoja sita kabla ya Uchaguzi Mkuu

Asia GambaApril 7, 2025

Hoja hizo ni sehemu ya mkakati wa kuhakikisha kunakuwa na uchaguzi huru na haki wakati huu ambapo Tanzania inajiandaa kwa uchaguzi utakaofanyika Oktoba 2025

Mvutano Chadema ni Jitihada au hatari kwa umoja wa chama?
East Africa Opinion Politics Tanzania

Mvutano Chadema ni Jitihada au hatari kwa umoja wa chama?

Asia GambaApril 4, 2025

Katika hali hii ya mgawanyiko, kundi linalopinga msimamo wa “No Election” limeandika waraka rasmi ukielezea hoja zao za kupinga kauli hiyo.

Rais Samia Awakumbuka Wazee Mwanza Kwenye Sikukuu Ya Eid
East Africa Tanzania

Rais Samia Awakumbuka Wazee Mwanza Kwenye Sikukuu Ya Eid

Our CorrespondentApril 2, 2025

Jumla ya fedha zilizotolewa katika Mkoa wa Mwanza ni shilingi milioni 10 ambapo wamenunuliwa jumla ya mbuzi 12, mchele gunia 12, mafuta ndoo kubwa 12, sukari mifuko 12 na soda katoni 90.

Fisi Wanaodaiwa Kufugwa Na Binadamu Wazua Kizaa Zaa  Bariadi Wakiua Kondoo 21
East Africa Tanzania

Fisi Wanaodaiwa Kufugwa Na Binadamu Wazua Kizaa Zaa Bariadi Wakiua Kondoo 21

Our CorrespondentApril 2, 2025April 4, 2025

Kondoo wengine tisa wakiwa hawajulikani walipo

Wasira:Chadema hawana hoja ya msingi kuzuia uchaguzi
East Africa Tanzania

Wasira:Chadema hawana hoja ya msingi kuzuia uchaguzi

Asia GambaMarch 28, 2025

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Stephen Wasira amesema Chama cha Demokrasia na Maendeleo hakina hoja ya msingi ya kuzuia Uchaguzi Mkuu mwaka huu kwani kama ni mabadiliko wanayoyazungumza yameshafika tayari.

Deni la Serikali laongezeka kutoka tril 82.25 hadi tril 97.35
East Africa Tanzania

Deni la Serikali laongezeka kutoka tril 82.25 hadi tril 97.35

Asia GambaMarch 27, 2025

CAG amesema deni hilo linajumuisha deni la ndani na deni ambalo ni Sh. trilioni 31.95 na la nje Sh.65.40, hata hivyo amesema deni hilo ni himilivu. 

Familia ya kada wa CCM Daniel Chonchorio anaedaiwa kutekwa yajitokeza kuomba msaada
East Africa Tanzania

Familia ya kada wa CCM Daniel Chonchorio anaedaiwa kutekwa yajitokeza kuomba msaada

Asia GambaMarch 26, 2025

Familia ya Daniel Chonchorio, kada maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye anadaiwa kutoweka Jumapili asubuhi akiwa kwenye mazoezi eneo la Nyakato jijini Mwanza, imejitokeza hadharani kuomba msaada kwa umma ili kumtafuta ndugu yao.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo