• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania news

Ni Mbowe, Lissu au Odero kuongoza Chadema?
East Africa Politics Tanzania

Ni Mbowe, Lissu au Odero kuongoza Chadema?

Asia GambaJanuary 21, 2025

Waswahili wanasema leo ndio leo, inyeshe mvua liwake jua lazima kieleweke hivi ndivyo unaweza kusema leo katika Mkutano Mkuu wa Chadema ambapo wanachadema wanaamua hatma yao katika safu yao ya uongozi ni nani ataongoza gurudumu la chadema kama Mwenyekiti Taifa.

Ndolezi atia nia kuwania ubunge Kigoma Kusini
East Africa Politics Tanzania

Ndolezi atia nia kuwania ubunge Kigoma Kusini

Asia GambaJanuary 20, 2025

Ameeleza pia msukumo wake wa  kutia nia ya kugombea nafasi hiyo umetokana na changamoto wananchi wanazopitia.

Tanzania:Sampuli zilizochukuliwa hazijathibitisha uwepo wa virusi vya Murburg
East Africa Lifestyle & Health Tanzania

Tanzania:Sampuli zilizochukuliwa hazijathibitisha uwepo wa virusi vya Murburg

Asia GambaJanuary 16, 2025

Wizara ya Afya nchini Tanzania imesema mpaka January 15, 2025, majibu ya uchunguzi wa kimaabara kutoka kwa Wahisiwa wa Ugonjwa wa Marburg waliochukuliwa sampuli hizo hayajathibisha uwepo wa virusi hivyo.

Hivi ndivyo Mwanaharakati Maria Sarungi alivyotekwa nchini Kenya
Crime & Justice East Africa Kenya Tanzania

Hivi ndivyo Mwanaharakati Maria Sarungi alivyotekwa nchini Kenya

Asia GambaJanuary 13, 2025

Hii si mara ya kwanza Maria kufatiliwa na watu wanaodaiwa kuwa ni watekaji ambapo wote waliojaribu kumteka wanahusishwa na mamlaka.

TRC yasafirisha abiria 1,000,000 kupitia treni yake ya SGR ndani ya miezi minne
Development Tanzania

TRC yasafirisha abiria 1,000,000 kupitia treni yake ya SGR ndani ya miezi minne

Asia GambaNovember 20, 2024

Kwa mujibu wa taarifa ya TRC iliyotolewa leo idadi hiyo ni mara mbili ya waliosafiri na treni ya zamani ya (MGR), ambayo ilisafirisha jumla ya abiria 400,000 katika kipindi cha mwaka mmoja.

Aliyetishia na kujeruhi katika Club ya 1245 kupandishwa kizimbani leo
Crime & Justice East Africa Tanzania

Aliyetishia na kujeruhi katika Club ya 1245 kupandishwa kizimbani leo

Asia GambaNovember 20, 2024

Derick Junior(36), Ofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA), anayekabiliwa na mashtaka mawili ya kujeruhi katika Club ya 1245 iliyopo Masaki Dar es salaam, leo anatarajiwa kusomewa hoja za awali katika kesi inayomkabili.

Upinzani wa Tanzania wapinga wagombea wao kuzuiliwa kushiriki uchaguzi ujao
Africa East Africa Politics Tanzania

Upinzani wa Tanzania wapinga wagombea wao kuzuiliwa kushiriki uchaguzi ujao

Asia GambaNovember 20, 2024

Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema, kimeilalamikia mamlaka nchini humo kwamba wagombea wake wengi wamekataliwa “kwa njia isiyo ya haki” kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika wiki ijayo. 

Lawrence Mafuru afariki dunia nchini India alikokuwa akipatiwa matibabu
East Africa People Tanzania

Lawrence Mafuru afariki dunia nchini India alikokuwa akipatiwa matibabu

Asia GambaNovember 9, 2024

Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Lawrence Nyasebwa Mafuru, amefariki dunia leo Novemba 9,2024 katika Hospitali ya Apollo nchini India.

CCM yataka haki uchaguzi serikali za mitaa, yasema hawahitaji upendeleo
East Africa Politics Tanzania

CCM yataka haki uchaguzi serikali za mitaa, yasema hawahitaji upendeleo

Asia GambaNovember 8, 2024

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla, ametoa msisitizo kwa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kutenda haki kwa vyama vyote vilivyosimamisha wagombea katika uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.

Tamisemi yawataka wagombea wasioridhishwa na uteuzi wakaweke pingamizi
East Africa Politics Tanzania

Tamisemi yawataka wagombea wasioridhishwa na uteuzi wakaweke pingamizi

Asia GambaNovember 8, 2024

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa amewataka wagombea wote ambao hawajaridhishwa na uteuzi wa wagombea wa nafasi mbalimbali kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa  waweke pingamizi ndani ya siku 2 kuanzia leo tarehe 08 – 09/11/2024.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy