• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania news

Tamisemi:Watanzania zaidi ya milioni 31 wamejiandikisha kwenye Daftari la Wapiga Kura
East Africa Politics Tanzania

Tamisemi:Watanzania zaidi ya milioni 31 wamejiandikisha kwenye Daftari la Wapiga Kura

Asia GambaOctober 21, 2024

Akitoa taarifa hiyo mbele ya vyombo vya Habari jijini Dar es Salaam leo Oktoba 21,2024, Waziri Mchengerwa amesema kati ya Watanzania waliojiandikisha, wanaume ni milioni 15,236,772 Sawa na asilimia 48.71 huku wanawake wakiwa milioni 16,045,559 Sawa na asilimia 51.29.

LHRC yalaani tukio la kutekwa kwa Katibu Mwenezi wa BAWACHA
Crime & Justice East Africa Tanzania

LHRC yalaani tukio la kutekwa kwa Katibu Mwenezi wa BAWACHA

Asia GambaOctober 21, 2024

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Tanzania(LHRC) kimitaka vyombo vya ulinzi na usalama na mamlaka za kisheria kuhakikisha vinafuata sheria pindi vinapomkamata mtu au watu ikiwemo kuwafikisha Mahakamani ndani ya muda unaokubalika kisheria.

Prof. Sedoyeka atoa utetezi wake mbele ya Baraza la Maadili
East Africa Social Issues Tanzania

Prof. Sedoyeka atoa utetezi wake mbele ya Baraza la Maadili

Asia GambaOctober 18, 2024

Sedoyeka anadaiwa kukiuka maadili ya viongozi ya umma kwa kumpandisha cheo mtumishi kwa upendeleo,  kuingilia mchakato wa ununuzi wa viti na meza kampasi ya Babati na uhusiano wa karibu na mtumishi na kufanya uhamisho wa ndani wa mtumishi.

UN yaitaka Tanzania kuchukua hatua za haraka kukabiliana na ukiukwaji wa haki za binadamu kabla ya uchaguzi
East Africa Rights & Freedoms Tanzania

UN yaitaka Tanzania kuchukua hatua za haraka kukabiliana na ukiukwaji wa haki za binadamu kabla ya uchaguzi

Asia GambaOctober 18, 2024

Wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wameitaka Tanzania kuacha kuendelea na ongezeko la ukiukwaji wa haki za binadamu dhidi ya wanachama wa vyama vya upinzani, mashirika ya kiraia, waandishi wa habari, watu wa asili na watoa huduma za haki za binadamu.

Majaliwa:Tunajiandaa kurusha satelaiti
East Africa Science & Tech Tanzania

Majaliwa:Tunajiandaa kurusha satelaiti

Asia GambaOctober 18, 2024

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inaendelea kutekeleza Mpango mkakati wa miaka mitano 2024/25 – 2029/30 wa Anga za juu utakaoiwezesha Tanzania kurusha satelaiti.

Kabendera akusudia kukata rufaa kesi yake dhidi ya Vodacom
East Africa Rights & Freedoms Tanzania

Kabendera akusudia kukata rufaa kesi yake dhidi ya Vodacom

Asia GambaOctober 2, 2024October 3, 2024

Katika kesi hiyo Kabendera aliyewakilishwa na Wakili Peter Madeleka alikuwa akiituhumu Vodacom kufanikisha kukamatwa kwake akieleza kama ‘kutekwa’ na hatimaye kufunguliwa kesi hiyo ya uhujumu Uchumi mwaka 2019.

Four in Tanzania gang rape video jailed for life
Crime & Justice East Africa Gender Tanzania

Four in Tanzania gang rape video jailed for life

Mwanzo EditorOctober 1, 2024

A Tanzanian court sentenced four men to life in prison Monday for a gang rape that shocked the country after a video of the assault went viral on social media

Lissu kuisthaki kampuni ya Tigo na Serikali ya TZ katika Mahakama za Kimataifa kwa kuvujisha taarifa zake
East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Lissu kuisthaki kampuni ya Tigo na Serikali ya TZ katika Mahakama za Kimataifa kwa kuvujisha taarifa zake

Asia GambaSeptember 25, 2024

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema anakusudia kuishtaki kampuni ya Tigo na Serikali ya Tanzania katika mahakama ya Uingereza kufuatia kampuni hiyo kushirikiana na Serikali katika kutoa taarifa zake na kumfatilia hadi kusababisha kushambuliwa kwake.

Kampuni ya Tigo yadaiwa kutoa taarifa za mwanasiasa wa Tanzania Tundu Lissu kabla ya jaribio lake la kuuawa
Africa East Africa Politics Tanzania

Kampuni ya Tigo yadaiwa kutoa taarifa za mwanasiasa wa Tanzania Tundu Lissu kabla ya jaribio lake la kuuawa

Asia GambaSeptember 25, 2024September 25, 2024

Inadaiwa kwamba Tigo ilitoa taarifa  za simu na eneo la Lissu kwa mamlaka za Tanzania kwa muda wote wa saa katika wiki zilizotangulia kabla ya shambulio hilo lililotokea tarehe 7 Septemba 2017. 

Mbowe asisitiza haki, awalilia waliotekwa
East Africa Politics Tanzania

Mbowe asisitiza haki, awalilia waliotekwa

Asia GambaSeptember 19, 2024September 19, 2024

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, ameeleza kuwa mwezi huu umejawa na maombolezo kwa chama hicho kutokana na yanayoendelea kutokea dhidi ya wanachama wake ambapo hadi sasa baadhi yao hawajulikani walipo tangu walipotekwa na wasiojulikana huku wengine wakiishia mikononi mwa polisi kwa kesi zinazotajwa kuwa ni za uchochezi.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo