• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania news

TRC yasafirisha abiria 1,000,000 kupitia treni yake ya SGR ndani ya miezi minne
Development Tanzania

TRC yasafirisha abiria 1,000,000 kupitia treni yake ya SGR ndani ya miezi minne

Asia GambaNovember 20, 2024

Kwa mujibu wa taarifa ya TRC iliyotolewa leo idadi hiyo ni mara mbili ya waliosafiri na treni ya zamani ya (MGR), ambayo ilisafirisha jumla ya abiria 400,000 katika kipindi cha mwaka mmoja.

Aliyetishia na kujeruhi katika Club ya 1245 kupandishwa kizimbani leo
Crime & Justice East Africa Tanzania

Aliyetishia na kujeruhi katika Club ya 1245 kupandishwa kizimbani leo

Asia GambaNovember 20, 2024

Derick Junior(36), Ofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA), anayekabiliwa na mashtaka mawili ya kujeruhi katika Club ya 1245 iliyopo Masaki Dar es salaam, leo anatarajiwa kusomewa hoja za awali katika kesi inayomkabili.

Upinzani wa Tanzania wapinga wagombea wao kuzuiliwa kushiriki uchaguzi ujao
Africa East Africa Politics Tanzania

Upinzani wa Tanzania wapinga wagombea wao kuzuiliwa kushiriki uchaguzi ujao

Asia GambaNovember 20, 2024

Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema, kimeilalamikia mamlaka nchini humo kwamba wagombea wake wengi wamekataliwa “kwa njia isiyo ya haki” kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika wiki ijayo. 

Lawrence Mafuru afariki dunia nchini India alikokuwa akipatiwa matibabu
East Africa People Tanzania

Lawrence Mafuru afariki dunia nchini India alikokuwa akipatiwa matibabu

Asia GambaNovember 9, 2024

Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Lawrence Nyasebwa Mafuru, amefariki dunia leo Novemba 9,2024 katika Hospitali ya Apollo nchini India.

CCM yataka haki uchaguzi serikali za mitaa, yasema hawahitaji upendeleo
East Africa Politics Tanzania

CCM yataka haki uchaguzi serikali za mitaa, yasema hawahitaji upendeleo

Asia GambaNovember 8, 2024

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla, ametoa msisitizo kwa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kutenda haki kwa vyama vyote vilivyosimamisha wagombea katika uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.

Tamisemi yawataka wagombea wasioridhishwa na uteuzi wakaweke pingamizi
East Africa Politics Tanzania

Tamisemi yawataka wagombea wasioridhishwa na uteuzi wakaweke pingamizi

Asia GambaNovember 8, 2024

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa amewataka wagombea wote ambao hawajaridhishwa na uteuzi wa wagombea wa nafasi mbalimbali kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa  waweke pingamizi ndani ya siku 2 kuanzia leo tarehe 08 – 09/11/2024.

UTAFITI:Ongezeko la matumizi ya viuatilifu katika kuzalisha mboga za majani nchini chanzo cha magonjwa hatari ikiwemo Saratani
East Africa Food Security Social Issues Tanzania

UTAFITI:Ongezeko la matumizi ya viuatilifu katika kuzalisha mboga za majani nchini chanzo cha magonjwa hatari ikiwemo Saratani

Asia GambaNovember 7, 2024

Matokeo ya utafiti huo uliofanywa katika mikoa yote nchini, yanaonesha matumizi ya viuatilifu kwenye uzalishaji mboga za majani yanachangia kwa kiasi kikubwa ongezeko la magonjwa yasiyoambukizwa kwa binadamu kama vile saratani, kisukari na matatizo ya uzazi.

Tanzania mbioni kuzalisha madini ya Niobium
East Africa Energy & Mining Tanzania

Tanzania mbioni kuzalisha madini ya Niobium

Asia GambaOctober 31, 2024

Madini ya Niobium hutumika katika mitambo ya uchorongaji katika utafiti na uchakataji wa mafuta, gesi pamoja na utengenezaji wa magari.

Aliyemtishia bastola mwenzake kwenye Club akamatwa na polisi Dar
Crime & Justice East Africa Tanzania

Aliyemtishia bastola mwenzake kwenye Club akamatwa na polisi Dar

Asia GambaOctober 28, 2024October 28, 2024

Taarifa ya Polisi imekuja siku moja baada ya tukio hilo kusambaa katika mitandao ya kijamii ikionesha picha ya mjongeo ambayo inamuonyesha mwanaume mmoja ambaye ametambulika kwa jina la Derick Derick Junior akimpiga mwanaume mwengine hadi kumjeruhi na kisha kumtishia silaa.

Majaliwa:Watanzania tulinde utamaduni wetu kwa faida ya vizazi vijavyo.
Arts & Culture East Africa Tanzania

Majaliwa:Watanzania tulinde utamaduni wetu kwa faida ya vizazi vijavyo.

Asia GambaOctober 28, 2024

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Watanzania wahakikishe wanalinda utamaduni na kujenga misingi ya kuhamasisha vijana na vizazi vijavyo kutambua na kuenzi historia na urithi wa Mtanzania.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo