President Samia Fires Senior Ministers in Major Cabinet Reshuffle
Further changes include reassignments and new appointments for permanent secretaries and district commissioners
Further changes include reassignments and new appointments for permanent secretaries and district commissioners
Kijana Shadrack Chaula amelipa fedha hizo baada ya kuchangwa na wanaharakati na wananchi kutoka maeneo mbalimbali nchini.
Julai 7 bila shaka ni tarehe muhimu na yenye matukio mengi katika historia ya Afrika Mashariki.
Waziri Masauni ametoa kauli hiyo leo katika uzinduzi wa kitabu cha Shekhe Mkuu wa Tanzania, Mufti Abubakar Zuberi huku akishangazwa na namna ambavyo siasa imekuwa ikitumika katika matukio hayo kwa kuyahusisha na vyombo vya dola ambavyo jukumu lake ni kulinda Raia na mali zao.
Wafanyabiashara wanaitaka Serikali kupunguza kodi, kuwawekea mazingira mazuri ya biashara lakini pia kuwekwa kwa mifumo mizuri ya ukusanyaji kodi tofauti na inavyofanywa hivi sasa.
Rais wa Kenya William Ruto aliapa kuchukua msimamo mkali dhidi ya “vurugu na machafuko” yaliyotokea siku ya Jumanne, baada ya maandamano ya kupinga mapendekezo ya serikali yake ya kupandisha ushuru kuwa mbaya na waandamanaji kulivamia bunge.
Wabunge wanapata fursa ya kupiga kura baada ya siku saba za majadiliano tangu bajeti hiyo ilipowasilishwa bungeni jijini Dodoma Juni 13 mwaka huu, ikiwa ni bajeti ya nne.
Jana Juni 18, 2024 Spika wa Bunge Dk Tulia Ackson, alilitangazia bunge na kutoa amri chini ya mamlaka aliyonayo ya kumfikisha mbele ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kutokana na kwamba amelidharau bunge na mamlaka ya Spika.
Serikali imezindua ujenzi wa majengo pacha ya ghorofa 22 kila moja jijini Nairobi, Kenya, yatakayotumika kama Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania nchini humo na kitega uchumi kwa ajili ya kuongeza fedha za kigeni.
Ubalozi wa Tanzania nchini Korea Kusini umesema Tanzania haijasaini mkataba wowote na Jamhuri ya Korea unaohusu Bahari wala Madini katika ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan inayoendelea nchini humo.