Mahakama Kuu kusikiliza maombi ya Habeas Corpus ya John Heche
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa CHADEMA, Wakili Gaston Garubindi, maombi hayo yamesajiliwa na kupangwa mbele ya Jaji Obadia Bwegoge.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa CHADEMA, Wakili Gaston Garubindi, maombi hayo yamesajiliwa na kupangwa mbele ya Jaji Obadia Bwegoge.
Taarifa hiyo ya ACT Wazalendo ambayo imetolewa leo Alhamisi Novemba 6, 2025, imeeleza kuwa matukio hayo si uvunjifu wa haki za binadamu tu bali pia mamlaka zimekosa utu kwa kutozingatia misingi ya utawala bora.
Katika ripoti yake ya awali, Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa AU ulisema kuwa baadhi ya wapiga kura walipatiwa karatasi nyingi za kupigia kura, na wengine waliruhusiwa kupiga kura bila majina yao kuthibitishwa kwenye daftari la wapiga kura.
His current location remains unknown, raising serious concerns about his safety and wellbeing.
A text message circulating from the Tanzanian Police warns citizens against sharing photos or videos that could “cause panic” or “undermine someone’s dignity,” saying it’s a criminal offense punishable by law.
She has has affirmed that her election victory reflects the trust and confidence of the Tanzanian people
“The people are rewriting our political culture. They are showing that Tanzanians are no longer silent observers but active citizens ready to shape their future,” he said.
Human rights activists have also raised alarm over reports of an internet shutdown, curfews and what they describe as a deliberate media blackout, with most Tanzanian outlets avoiding coverage of the protests.
The protests come as voter turnout remains low, with several polling stations especially in Dar es Salaam, remaining almost empty hours after opening.
Tanzania inapiga kura leo, Oktoba 29, 2025, katika uchaguzi mkuu unaoonekana kumwendea Rais Samia Suluhu Hassan, anayewania muhula wa pili kupitia CCM. Uchaguzi huu umechochea mjadala mkali kuhusu uhuru wa kisiasa na haki za binadamu, hasa baada ya kuenguliwa kwa wagombea wakuu wa upinzani.