Ummy:Punguzeni semina wananchi wapate huduma
Waziri wa Afya nchini Tanzania, Ummy Mwalimu amewataka wataalamu wa afya nchini humo kupunguza semina ili kuwa na muda zaidi wa kutoa huduma bora za matibabu kwa wananchi.
Waziri wa Afya nchini Tanzania, Ummy Mwalimu amewataka wataalamu wa afya nchini humo kupunguza semina ili kuwa na muda zaidi wa kutoa huduma bora za matibabu kwa wananchi.
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tanzania Bara, Tundu Lissu amesema mifumo na viwango vya kodi inapaswa kuwa wazi ili anayelipa ajue analipa kiasi gani na anayekusanya ajue anakusanya kiasi gani.
Katika taarifa iliyotolewa jana na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imeeleza kuwa bei kikomo zinazoanza leo Julai 5, 2023 kuwa bei za rejareja za mafuta ya petroli na dizeli yaliyopokelewa kupitia Bandari ya Dar es Salaam zimeshuka kwa shilingi 137 kwa lita na shilingi 118 kwa lita, mtawalia ikilinganishwa na bei zilizotumika Juni.
Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari Lumbira kata ya Luanda wilayani Mbozi mkoani Songwe,Japhari Mwashitete (16) amekutwa amefariki dunia kwa kujinyonga darasani huku kukiwa na ujumbe wa sababu ya kujinyonga ukieleza kuikataa shule hiyo.
Oil traders have been warned to observe the price limit
The third agreement signed is to strengthen relations between the European Union and Tanzania to increase efficiency in designing and managing projects funded by the European Union
Tanzania leo imesaini mikataba minne ya ujenzi wa miundombinu ya Usafiri wa Haraka wa Mabasi (BRT) awamu ya nne kwa mkoa wa Dar es Salaam na mkataba mmoja wa ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami.
Mapema hii leo, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera alitangaza dau la shilingi Milioni tano kwa mtu yeyote atakayetoa taarifa zitakazosaidia kupatikana kwa mwanafunzi huyo.
Serikali imesema itarejesha hekta 74,432 kwa wananchi wa Mbarali zilizokuwa eneo la hifadhi ya Taifa ya Ruaha, baada ya hatua ya wananchi kuziomba kushindikana kwa takribani miaka saba.
Dr. Ananilea Nkya is described as one of the leading, and most outspoken, feminists in Tanzania