• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

Serikali yatoa sababu za kusitisha zoezi la utambuzi wa mifugo kwa kutumia hereni za kieletroniki.
Africa East Africa

Serikali yatoa sababu za kusitisha zoezi la utambuzi wa mifugo kwa kutumia hereni za kieletroniki.

Asia GambaNovember 3, 2022November 3, 2022

Kauli hiyo imetolewa leo bungeni Dodoma na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati wa kipindi cha maswali ya papo kwa papo.

Bodi ya Mikopo Tanzania yaendelea kuandamwa, yadaiwa kutoa mikopo ya shilingi bilioni 1 kwa wanafunzi wasiostahili.
Africa East Africa

Bodi ya Mikopo Tanzania yaendelea kuandamwa, yadaiwa kutoa mikopo ya shilingi bilioni 1 kwa wanafunzi wasiostahili.

Asia GambaNovember 2, 2022November 2, 2022

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (PAC) imebaini utoaji wa mikopo inayofikia shilingi bilioni 1.76 kwa wanafunzi wasiostahili katika kipindi  cha kati ya mwaka 2016 hadi mwaka 2018.

Mradi wa visima vya maji kupunguza adha ya upatikanaji maji Dar
Africa East Africa

Mradi wa visima vya maji kupunguza adha ya upatikanaji maji Dar

Asia GambaNovember 2, 2022November 2, 2022

Mradi huo unahusisha visima saba na tenki la kuhifadhia maji lenye ukubwa la lita 15 milioni unatekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (Dawasa) umekamilika kipindi ambacho jiji la Dar es Salaam lina uhaba mkubwa wa maji.

Adaiwa kumuua mwanaye kwa kipigo
Africa East Africa

Adaiwa kumuua mwanaye kwa kipigo

Asia GambaNovember 2, 2022November 2, 2022

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoani  Mwanza, Maili Makori amesema wanawasaka wazazi wa mtoto huyo waliotoweka mara baada ya mauaji hayo.

Tanzania yatuma wanajeshi kuzima moto mlima Kilimanjaro
Natural disasters Tanzania

Tanzania yatuma wanajeshi kuzima moto mlima Kilimanjaro

Victor WanaswaNovember 2, 2022July 2, 2024

Moto huo ulianza tarehe 21 mwezi oktoba karibu na eneo la Karanga linalotumiwa sana na wanaokwea mlima huo.

Simbachawene: Serikali ilitumia bilioni 17 kwa waathirka wa mabomu Mbagala 
Africa East Africa

Simbachawene: Serikali ilitumia bilioni 17 kwa waathirka wa mabomu Mbagala 

Asia GambaNovember 2, 2022November 2, 2022

Simbachawene ameyasema hayo leo bungeni jijini Dodoma wakati akijibu swali la mbunge wa jimbo la Mbagala, Abdalah Chaurembo aliyetaka kufahamu kauli ya serikali juu ya mapunjo ya fidia kwa wananchi walioathirika na mlipuko wa mabomu jimboni kwake.

Dawa ya ganzi yatajwa kuwa chanzo cha vifo kwa wanawake kutokana na uzazi nchini Tanzania
Africa East Africa

Dawa ya ganzi yatajwa kuwa chanzo cha vifo kwa wanawake kutokana na uzazi nchini Tanzania

Asia GambaNovember 2, 2022November 2, 2022

Kwa mujibu wa Naibu Waziri wa Afya nchini Tanzania, Dkt Godwin Mollel ni kwamba wanawake  263 wamepoteza maisha kutokana na uzazi katika kipindi cha mwaka 2018 hadi 2021, huku miongoni mwa sababu zikielezwa kuwa ni dawa za ganzi, upasuaji wakati wa kutolewa mtoto tumboni, tatizo la damu kuganda na maambukizi ya bakteria baada ya upasuaji.

Bei mafuta yaendelea kupungua nchini Tanzania 
Africa East Africa

Bei mafuta yaendelea kupungua nchini Tanzania 

Asia GambaNovember 2, 2022November 2, 2022

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana  tarehe 1 Novemba 2022 na Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Modestus Lumato, ilieleza kuwa bei hizo zitaanza kutumika leo tarehe 2 Novemba, 2022 saa 6.00 usiku, zimeshuka ikilinganishwa na bei za Oktoba 2022 kwa sababu ya ruzuku.

Rais Samia aunda Kikosi Kazi cha kushughulikia Nishati Safi ya Kupikia
Africa East Africa People Politics

Rais Samia aunda Kikosi Kazi cha kushughulikia Nishati Safi ya Kupikia

Mwanzo EditorNovember 1, 2022November 1, 2022

Rais Samia Suluhu ameshiriki katika Kongamano la Nishati safi iliyoandaliwa na Wizara ya Nishati chini ya Waziri January Makamba.

TANZANIA: Idadi ya watu imepanuka na kufikia milioni 16 katika muongo mmoja- Rais Samia
Africa East Africa People

TANZANIA: Idadi ya watu imepanuka na kufikia milioni 16 katika muongo mmoja- Rais Samia

Joy CheptooOctober 31, 2022October 31, 2022

Jumla ya watu wote Tanzania ni 61,741,120 kati ya hao watu 59,851,357 wapo Tanzania bara na watu 1,889,773 wapo Zanzibar

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy