Kesi Ya Uhaini Ya Tundu Lissu Kuendelea Baada Ya Uchaguzi Mkuu
Kwa upande wake, Wakili wa Serikali Renatus Mkude alisisitiza kuwa ombi la kuahirisha shauri hilo linafuata misingi ya kisheria, akibainisha kuwa Jamhuri bado inaendelea na maandalizi ya ushahidi wake.