Tanzania Kicks Off Election Campaigns Without Main Opposition Party CHADEMA on the Ballot, What Does It Mean?
With CHADEMA out and ACT’s candidacy in dispute, CCM heads into the October 29th polls with limited opposition
With CHADEMA out and ACT’s candidacy in dispute, CCM heads into the October 29th polls with limited opposition
The High Court in Manyara has overturned the Registrar’s decision that had blocked CHADEMA’s state subsidy and refused to recognize its Secretary General and five Central Committee members. The ruling restores both the party’s leadership and funding, although CHADEMA is still barred from the presidential race.
Moja ya madai makuu ya CHADEMA ni mageuzi ya kisheria na mchakato wa uchaguzi, ambapo wanataka Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) irekebishe taratibu za uteuzi na usajili wa wagombea ili vyama vyote viwe na nafasi sawa, bila upendeleo kwa chama tawala.
Ahadi hiyo imetolewa jana katika mazungumzo yake na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi, yaliyofanyika Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma.
Lissu accused the prosecution of using unnecessary delays to punish him without trial
Katika kesi hiyo iliyopo mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Franco Kiswaga , Lissu amedai kwamba kuendelea kwa hatua za kuahirisha kusomwa kwa shauri hilo ni dhihirisho la namna vyombo vya sheria vinavyoweza kutumiwa kisiasa, jambo ambalo ni hatari kwa mustakabali wa demokrasia nchini.
Jaji Mwanga amekuwa akisimamia kesi hiyo tangu ilipotajwa kwa mara ya kwanza mnamo Aprili 17, 2025. Hata hivyo, Juni 23 mwaka huu, walalamikaji walimuandikia barua ya kumtaka ajitoe katika kesi hiyo, wakidai upendeleo na mgongano wa kimaslahi.
Wakati wengi walitarajia angerejea katika ulingo wa kisiasa kwa mtindo mpya, Mbowe amebaki kivuli cha kile kilichowahi kuwa sauti kali ya upinzani Tanzania.
Kesi hiyo ilitajwa leo, Julai 15, 2025, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambapo Lissu alionesha wazi kutoridhishwa na hatua hiyo, akidai kuwa upande wa Jamhuri unatumia hila kuchelewesha mchakato wa haki.
The court ruled that Lissu’s petition should have been filed after the main case was concluded.