Mwezi mmoja wa vita vya Ukraine na Urusi, mamia ya watu wafariki wengine wakimbia makazi yao.
Leo Machi 24, Ukraine inatimiza mwezi mmoja tangu iingie kwenye vita na Urusi baada ya Urusi kuanza kuishambulia Ukraine Februari 24.
Leo Machi 24, Ukraine inatimiza mwezi mmoja tangu iingie kwenye vita na Urusi baada ya Urusi kuanza kuishambulia Ukraine Februari 24.
Amebainisha kuwa wapatanishi wanafanya kazi bila kuchoka na kwamba watapumzika watakaposhinda. Kiongozi huyo wa Ukraine ameishukuru jumuiya ya kimataifa kwa kuiunga mkono nchi yake.
Urusi ilikuwa imeipa Ukraine hadi saa kumi na moja alfajir ya leo kuwa imesalimu amri mjini Mariupol, lakini haikusema itafanya nini ikiwa Ukraine itakataa kuheshimu matakwa yake.
Women and children account some 90 percent of those who have fled.
“What’s happening now in Mariupol is a massive war crime, destroying everything, bombarding and killing everybody,” Josep Borrell said
Russian fighters also fired at the airport in the western city of Ivano-Frankivsk, which is less than 150 kilometers (94 miles) north of Romania and 250 kilometers (155 miles) from Hungary, countries that also are NATO allies.
UK gas hit 508.80 pence per therm.
The news comes after Intel and Airbnb announced they were pausing business in Russia and Belarus on Thursday, joining the tech freeze-out of Moscow.
African countries have been scrambling to help citizens living in Ukraine who crossed over borders especially after reports some were mistreated or blocked.
Mbali na kuongezeka kwa mahitaji ya kibinadamu UNFPA ilibainisha kuwa watoto wameuawa, kujeruhiwa, na wanatiwa kiwewe sana na ghasia zinazowazunguka. Mamia kwa maelfu ya watoto wametenganishwa na familia zao na kukimbilia nchi jirani kusaka hifadhi.