Vita vya Urusi na Ukraine: Matukio ya hivi punde
Umoja wa Mataifa unasema watu milioni 1.7 wameikimbia Ukraine, na kuufanya mzozo huu kuwa mkubwa zaidi na unaokuwa kwa kasi zaidi tangu Vita vya Pili vya Dunia.
Umoja wa Mataifa unasema watu milioni 1.7 wameikimbia Ukraine, na kuufanya mzozo huu kuwa mkubwa zaidi na unaokuwa kwa kasi zaidi tangu Vita vya Pili vya Dunia.
Vladamir Putin ameahidi atatimiza lengo lake kwa njia yoyote ile iwe “kwa mazungumzo au kupitia vita”
Urusi ni mojawapo ya nchi zinazozalisha mafuta ghafi kwa wingi zaidi duniani na pia inaongoza kwa kusambaza gesi asilia.
Maandamano ya kupinga vita nchini Urusi yameendelea licha ya onyo kutoka kwa mamlaka na hatari ya kufungwa jela.
Beijing imejipata katika hali ngumu ya kidiplomasia katika kipindi chote cha mzozo huo, ikikataa kulaani mshirika wake wa karibu Moscow.
Kulingana na data kutoka kwa shirika la Grandi la UNHCR, watu 1,045,459 sasa wameikimbia Ukraine tangu Rais wa Urusi Vladimir Putin aanzishe uvamizi Februari 24.
Baada ya Urusi kuizingira Ukraine kwa makumi ya maelfu ya wanajeshi, Urusi ilivamia jirani yake mapema Februari 24, na kuanzisha…
Alitangaza kuuzwa kwa klabu hiyo saa moja kabla ya mechi ya raundi ya tano ya Kombe la FA kati ya Chelsea na Luton, ambapo The Blues walishinda 3-2.
Kabla ya kuongezeka kwa mzozo huo, Ujerumani ilikuwa imeahidi tu kuchangia kwa kutoa helmeti na kusaidia kujenga hospitali huko Ukraine.
Pendekezo la mtendaji mkuu wa EU litawapa wakimbizi kutoka Ukraine na familia zao kibali cha kuishi na haki ya kupata kazi na elimu kwa miaka miwili.