Dr. Ndugulile elected first Tanzanian to lead WHO Africa
Member of Parliament for Kigamboni, and former Deputy Minister of Health in Tanzania, Dr. Faustine Ndugulile has been elected as…
Member of Parliament for Kigamboni, and former Deputy Minister of Health in Tanzania, Dr. Faustine Ndugulile has been elected as…
Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani, WHO, Tedros Adhanom Ghebreyesus, ametangaza virusi vya Mpox kuwa ni dharura ya afya ya umma duniani kutokana na kuongezeka kwa maambukizi yake barani Afrika.
The World Health Organization (WHO) said 44 cases of the disease have been reported in Tana River County in eastern Kenya, one of the areas hardest hit in weeks of destructive rains and flooding.
After years of decline, the planet is now witnessing a “worrying upsurge” in cholera outbreaks, the World Health Organization warned
Ni kisa kimoja tu cha virusi kilichothibitishwa, kulingana na taarifa ya Shirika la Afya Duniani, na kufanya mlipuko wa Ebola nchini Congo kuwa “janga kidogo”.
Zaidi ya visa 3,800 vya monkeypox vimeripotiwa nchini Amerika, idadi kubwa zaidi katika nchi yoyote ulimwenguni, data ya afya ya serikali inaonyesha.
Hakuna matibabu au chanjo iliyopo kwa Marburg ,ugonjwa ambao ni hatari kama Ebola.
Ebola ni homa ya virusi inayosababisha kuvuja damu ambayo iligunduliwa kwa mara ya kwanza Afrika ya kati mwaka wa 1976.
Shirika la Afya Duniani lilisema wiki iliyopita kwamba Ulaya imesalia kuwa kitovu cha mlipuko wa monkeypox duniani.
Ni nchi nne pekee (Mauritius, Namibia, Seychelles na Afrika Kusini) zimetimiza uwiano wa mfanyakazi wa afya wa WHO kwa idadi ya watu.