• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: March 29, 2022

Dkt Mpango amuwakilisha Rais Samia Jukwaa la 8 la Wakuu wa Nchi na Serikali Duniani
Africa East Africa

Dkt Mpango amuwakilisha Rais Samia Jukwaa la 8 la Wakuu wa Nchi na Serikali Duniani

Asia GambaMarch 29, 2022March 29, 2022

Hapo kesho tarehe 30 Machi 2022 Makamu wa Rais Dkt. Mpango anatarajiwa kuzungumza katika jukwaa hilo akichangia mada ya “kwanini Afrika imekua ni muhimu sana kwa wakati huu katika uchumi wa dunia”

Othmani:Sheria ya Uchochezi inatoa fursa kutumika vibaya
Africa East Africa

Othmani:Sheria ya Uchochezi inatoa fursa kutumika vibaya

Asia GambaMarch 29, 2022March 29, 2022

Othman alisema uzoefu wake kama mwendesha mashtaka umemwaminisha kuwa sheria za uchochezi ni kikwazo kwa uhuru wa habari.

“Acheni kuua” Rais wa El Salvador ayaonya magenge ya uhalifu
Features International

“Acheni kuua” Rais wa El Salvador ayaonya magenge ya uhalifu

Maureen MedzaMarch 29, 2022March 29, 2022

Idadi kubwa ya mauaji yaliyoshuhudiwa mwishoni mwa juma yalidaiwa kuamriwa na magenge ya Mara Salvatrucha (MS-13) na Barrio 18.

DRC ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki
Africa East Africa

DRC ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki

Asia GambaMarch 29, 2022March 29, 2022

DRC imepitishwa leo Machi 29, 2022 katika mkutano wa 19 wa wakuu wa nchi wa EAC uliofanyika kwa njia ya mtandao chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta

Wahamiaji haramu 77 wakamatwa
Africa East Africa

Wahamiaji haramu 77 wakamatwa

Asia GambaMarch 29, 2022March 29, 2022

Kati ya wahamiaji hao, wiki iliyopita walikamatwa 24 na wameshaondoshwa, leo wamekamatwa 24 mjini Geita, Chato wamekamatwa 15 na Bukombe wahamiaji 14 na wapo katika utaratibu wa kuwaondosha.

RPC aliyetamani U-IGP nchini Tanzania apelekwa makao makuu ya jeshi hilo kupisha uchunguzi       
Africa East Africa

RPC aliyetamani U-IGP nchini Tanzania apelekwa makao makuu ya jeshi hilo kupisha uchunguzi       

Asia GambaMarch 29, 2022March 29, 2022

Mabadiliko hayo yamefanyika leo, ambapo nafasi yake inachukuliwa na aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), William Mwampagale

Taifa Stars kuminyana na Sudan leo
Sports

Taifa Stars kuminyana na Sudan leo

Asia GambaMarch 29, 2022March 29, 2022

Timu ya soka ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ leo itashuka Uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam kuikabili Sudan, katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliopo kwenye kalenda ya Shirikisho la Kimataifa la Soka, FIFA.

Mmiliki wa Chelsea Roman Abramovich adaiwa kuwekewa sumu katika mazungumzo ya amani
Europe Features Football International People

Mmiliki wa Chelsea Roman Abramovich adaiwa kuwekewa sumu katika mazungumzo ya amani

Maureen MedzaMarch 29, 2022March 29, 2022

Bilionea huyo alionyesha dalili zikiwemo macho mekundu na kuchubuka ngozi baada ya mazungumzo ya amani mjini Kyiv.

Wakuu wa EAC kujadili ripoti ya uanachama wa DRC
Africa East Africa

Wakuu wa EAC kujadili ripoti ya uanachama wa DRC

Asia GambaMarch 29, 2022March 29, 2022

Kwa mujibu wa taarifa ya Sekretarieti ya EAC, Mkutano huo umetanguliwa na Mkutano Maalumu wa 48 wa Baraza la Mawaziri wa EAC, uliofanyika Ijumaa Machi 25, 2022 kujadili ajenda na programu ya Mkutano wa 19 wa Wakuu wa Nchi za EAC.

Vikongwe watatu wauawa kwa imani za kishirikina.
Africa East Africa

Vikongwe watatu wauawa kwa imani za kishirikina.

Asia GambaMarch 29, 2022March 29, 2022

Kamanda wa Polisi mkoani Singida , Kamishna Msaidizi Stella Mutabihirwa aliwaambia waandishi wa habari kuwa tukio hilo limetokea Machi 27, mwaka huu majira ya saa 11.00 jioni.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo