• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: March 31, 2022

Mahakama ya Upeo Kenya yatupilia mbali mpango wa BBI uliolenga kufanya marekebisho ya katiba
East Africa Features Politics

Mahakama ya Upeo Kenya yatupilia mbali mpango wa BBI uliolenga kufanya marekebisho ya katiba

Maureen MedzaMarch 31, 2022March 31, 2022

Mahakama ya Upeo nchini Kenya iliamua Alhamisi kwamba pendekezo lenye utata la Rais Uhuru Kenyatta kufanya marekebisho ya katiba si halali

Mo Salah adokeza huenda akastaafu kwenye kandanda baada ya kukatishwa tamaa kushiriki Kombe la Dunia
Africa Features Football People Sports

Mo Salah adokeza huenda akastaafu kwenye kandanda baada ya kukatishwa tamaa kushiriki Kombe la Dunia

Maureen MedzaMarch 31, 2022March 31, 2022

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 alianza soka  akiwa na timu ya taifa ya Misri mwaka 2011.

Kinana Makamu mwenyekiti mpya CCM, Membe naye arudishiwa kadi ya CCM
Africa East Africa

Kinana Makamu mwenyekiti mpya CCM, Membe naye arudishiwa kadi ya CCM

Asia GambaMarch 31, 2022March 31, 2022

Kikao hicho kilichoketi chini ya mwenyekiti wake Samia Suluhu Hassan kimempitisha Kinana kuchukua nafasi ya Philip Mangula ambaye leo ameandika barua ya kuachia nafasi hiyo

Wafuasi wa Zumaridi waomba dhamana
Africa East Africa

Wafuasi wa Zumaridi waomba dhamana

Asia GambaMarch 31, 2022March 31, 2022

Watuhumiwa wanane ambao ni  wafuasi wa Zumaridi wamepata dhamana baada ya kukataa kupatiwa dhamana siku ya kwanza kesi hiyo ilipotajwa, kwa madai ya kukaa na mhubiri wao pamoja hadi atoke.

Wanane wafa maji wakikimbia mashambulizi ya magenge katikati mwa Nigeria
Africa Features

Wanane wafa maji wakikimbia mashambulizi ya magenge katikati mwa Nigeria

Maureen MedzaMarch 31, 2022March 31, 2022

Kaskazini-magharibi na katikati mwa Nigeria ni kitovu cha magenge ya wahalifu wenye silaha kali ambao huvamia vijiji, na kuua na kuwateka nyara wakazi baada ya kupora na kuchoma nyumba zao.

Hatma ya Sabaya na wenzake kwenye kesi ya Uhujumu Uchumi kujulikana Mei 31
Africa East Africa

Hatma ya Sabaya na wenzake kwenye kesi ya Uhujumu Uchumi kujulikana Mei 31

Asia GambaMarch 31, 2022March 31, 2022

Hakimu Mkazi Mwandamizi, Patricia Kisinda anayesikiliza kesi hiyo, ameitaja tarehe hiyo leo, na kwamba kwa kuwa watuhumiwa hao wapo mahabusu kesi hiyo itatajwa Aprili 13, 2022 kabla ya kutolewa hukumu Mei 31.

Mke na Mume wadaiwa kumuua mtoto wao wa miaka 8
Africa East Africa

Mke na Mume wadaiwa kumuua mtoto wao wa miaka 8

Asia GambaMarch 31, 2022March 31, 2022

Kwa mujibu wa Kamanda Mwampelwa amedai mama huyu alikuwa na desturi ya kumpiga mtoto huyo hadi kukimbia nyumba na kuhamia kwa majirani.

Watu tisa wafikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashtaka 746
Africa

Watu tisa wafikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashtaka 746

Asia GambaMarch 31, 2022March 31, 2022

Washitakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashtaka na Wakili wa Serikali, Faraji Nguka mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Ritha Tarimo.

Maelezo muhimu kuhusu timu za Afrika zilizofuzu kwa Kombe la Dunia Qatar 2022
Africa Features Football Sports

Maelezo muhimu kuhusu timu za Afrika zilizofuzu kwa Kombe la Dunia Qatar 2022

Maureen MedzaMarch 31, 2022March 31, 2022

Hili ni Kombe la Dunia la kwanza kufanyika Mashariki ya Kati na litaanza Novemba 21 na fainali inatarajiwa kufanyika Desemba 18.

Malori nchini Tanzania sasa kuwekewa vidhibiti mwendo
Africa East Africa

Malori nchini Tanzania sasa kuwekewa vidhibiti mwendo

Asia GambaMarch 31, 2022March 31, 2022

Katika kuhakikisha hilo linatekelezwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Hamad Masauni ametoa miezi sita kwa waliochezea mfumo huo wawe wamerekebisha ili kusiwe na kisingizio chochote baada ya muda huo kupita.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo