Bei ya gesi yapanda maradufu kutokana na hofu ya kukosa usambazaji kutoka Urusi
Urusi ni mojawapo ya nchi zinazozalisha mafuta ghafi kwa wingi zaidi duniani na pia inaongoza kwa kusambaza gesi asilia.
Urusi ni mojawapo ya nchi zinazozalisha mafuta ghafi kwa wingi zaidi duniani na pia inaongoza kwa kusambaza gesi asilia.
Maandamano ya kupinga vita nchini Urusi yameendelea licha ya onyo kutoka kwa mamlaka na hatari ya kufungwa jela.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, ACP Nicodemus Katembo, amesema tukio hilo limetokea Februari 28, mwaka huu, katika kijiji cha Lipalwe mkoani Mtwara
Mbowe amesema alitamani sana kuona ukweli unadhihirika katika kesi hiyo kwani alitaka kuona wale walomtuhumu kwa kesi hiyo kuona watatoa ushahidi gani ambao utaidhihirishia dunia kwamba kweli yeye ni gaidi.
Beijing imejipata katika hali ngumu ya kidiplomasia katika kipindi chote cha mzozo huo, ikikataa kulaani mshirika wake wa karibu Moscow.
Taifa hilo la Afrika Magharibi limekuwa likipambana na vuguvugu la wanajihadi lenye mafungamano na Al-Qaeda na kundi la Islamic State kwa takriban muongo mmoja.
Nigeria’s Ministry of Foreign Affairs said there were about 5,600 Nigerian students in Ukraine.
UK gas hit 508.80 pence per therm.
The news comes after Intel and Airbnb announced they were pausing business in Russia and Belarus on Thursday, joining the tech freeze-out of Moscow.
Ilikuwa inasubiriwa siku saa na dakika kuweza tu kujua hatma ya Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na wenzake watatu, juu ya kupatikana kwa uhuru wao uliochukuliwa na dola.