• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: March 2022

Tanzania kuendelea kusimamia usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake kiuchumi
Africa East Africa

Tanzania kuendelea kusimamia usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake kiuchumi

Asia GambaMarch 3, 2022March 3, 2022

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mwanaidi Ali Khamis, mara baada ya kuwasili nchini akitikokea Ethiopia alikoshiriki Mkutano wa Sita wa Kamati Maalum ya Mawaziri ya Umoja wa Afrika wanaoshughulikia masuala ya Usawa wa Kijinsia na Uwezeshaji Wanawake uliofanyika jijini Addis Ababa Ethiopia.

Nigeria’s government to airlift citizens stranded in Ukraine
Africa International People Politics

Nigeria’s government to airlift citizens stranded in Ukraine

Leah NgariMarch 3, 2022March 3, 2022

African countries have been scrambling to help citizens living in Ukraine who crossed over borders especially after reports some were mistreated or blocked.

Mwanajeshi aliyeongoza mapinduzi Burkina Faso aapishwa
Africa Features People Politics

Mwanajeshi aliyeongoza mapinduzi Burkina Faso aapishwa

Maureen MedzaMarch 3, 2022March 3, 2022

Siku ya Jumanne, Damiba alitia saini kinachojulikana kama katiba ya mpito ambayo inasema uchaguzi utafanyika miezi 36 baada ya kuapishwa kwake.

Amuua mtoto wake wa miaka mitatu kisha atoroka
Africa East Africa

Amuua mtoto wake wa miaka mitatu kisha atoroka

Asia GambaMarch 3, 2022March 3, 2022

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamtafuta mzazi anayefahamika kwa jina la Daniel Muga, ambaye ni fundi…

Ujerumani kupeleka makombora zaidi ya kutungulia ndege, Ukraine
Europe Features International Politics

Ujerumani kupeleka makombora zaidi ya kutungulia ndege, Ukraine

Maureen MedzaMarch 3, 2022March 3, 2022

Kabla ya kuongezeka kwa mzozo huo, Ujerumani ilikuwa imeahidi tu kuchangia kwa kutoa helmeti na kusaidia kujenga hospitali huko Ukraine.

Mbowe na wenzake kuanza kujitetea kesho.
East Africa Politics Tanzania

Mbowe na wenzake kuanza kujitetea kesho.

Asia GambaMarch 3, 2022July 2, 2024

Mahakama hiyo Februari 18,2022 iliwakuta na kesi ya kujibu Mbowe na wenzake katika kesi ya ugaidi inayowakabili, hatua ambayo ilikuja baada ya upande wa mashtaka kufunga ushahidi wake kwa kuwaita mahakamani mashahidi 13 kati ya 24 iliokuwa imepanga kuwaita, huku ikitoa vielelezo 39.

Viongozi wa dini wamuomba Rais Samia kutumia busara kumaliza kesi ya Mbowe.
Africa East Africa

Viongozi wa dini wamuomba Rais Samia kutumia busara kumaliza kesi ya Mbowe.

Asia GambaMarch 3, 2022March 3, 2022

Hayo yamejiri jana Ikulu jijini Dar es salaam wakati wa mkutano wa viongozi wa dini na Rais Samia Suluhu ikiwa ni mwendelezo wa ahadi ya rais huyo katika kukutana na makundi mbalimbali kuzungumza nayo.

Afisa mkuu na meya kati ya 7 waliouawa katika shambulio nchini Cameroon
Africa Politics

Afisa mkuu na meya kati ya 7 waliouawa katika shambulio nchini Cameroon

Maureen MedzaMarch 3, 2022March 3, 2022

Cameroon imekumbwa na ghasia tangu Oktoba 2017 baada ya  wanamgambo kutangaza kuwa eneo la Kaskazini-Magharibi na eneo jirani la Kusini-Magharibi ni maeneo huru.

Kuna tishio la ustawi wa watoto milioni 7.5 nchini Ukraine.
Africa

Kuna tishio la ustawi wa watoto milioni 7.5 nchini Ukraine.

Asia GambaMarch 3, 2022March 3, 2022

Mbali na kuongezeka kwa mahitaji ya kibinadamu UNFPA ilibainisha kuwa watoto wameuawa, kujeruhiwa, na wanatiwa kiwewe sana na ghasia zinazowazunguka. Mamia kwa maelfu ya watoto wametenganishwa na familia zao na kukimbilia nchi jirani kusaka hifadhi.

Baraza Kuu la UN laitaka Urusi iondoke Ukraine bila masharti.
Africa

Baraza Kuu la UN laitaka Urusi iondoke Ukraine bila masharti.

Asia GambaMarch 3, 2022March 3, 2022

Azimio hilo namba A/ES-11/L.1  limepitishwa kwenye kikao hicho cha 11 cha dharura wakati huu ambapo Urusi inaendelea kushambulia Ukraine ambapo misingi ya azimio hilo pamoja na mambo mengine ni tangazo la tarehe 24 mwezi uliopita wa Februari la Rais Vladmir Putin wa Urusi la kuanzisha operesheni maalum ya kijeshi nchini Ukraine.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo