• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: March 2022

Taifa Stars kuminyana na Sudan leo
Sports

Taifa Stars kuminyana na Sudan leo

Asia GambaMarch 29, 2022March 29, 2022

Timu ya soka ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ leo itashuka Uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam kuikabili Sudan, katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliopo kwenye kalenda ya Shirikisho la Kimataifa la Soka, FIFA.

Mmiliki wa Chelsea Roman Abramovich adaiwa kuwekewa sumu katika mazungumzo ya amani
Europe Features Football International People

Mmiliki wa Chelsea Roman Abramovich adaiwa kuwekewa sumu katika mazungumzo ya amani

Maureen MedzaMarch 29, 2022March 29, 2022

Bilionea huyo alionyesha dalili zikiwemo macho mekundu na kuchubuka ngozi baada ya mazungumzo ya amani mjini Kyiv.

Wakuu wa EAC kujadili ripoti ya uanachama wa DRC
Africa East Africa

Wakuu wa EAC kujadili ripoti ya uanachama wa DRC

Asia GambaMarch 29, 2022March 29, 2022

Kwa mujibu wa taarifa ya Sekretarieti ya EAC, Mkutano huo umetanguliwa na Mkutano Maalumu wa 48 wa Baraza la Mawaziri wa EAC, uliofanyika Ijumaa Machi 25, 2022 kujadili ajenda na programu ya Mkutano wa 19 wa Wakuu wa Nchi za EAC.

Vikongwe watatu wauawa kwa imani za kishirikina.
Africa East Africa

Vikongwe watatu wauawa kwa imani za kishirikina.

Asia GambaMarch 29, 2022March 29, 2022

Kamanda wa Polisi mkoani Singida , Kamishna Msaidizi Stella Mutabihirwa aliwaambia waandishi wa habari kuwa tukio hilo limetokea Machi 27, mwaka huu majira ya saa 11.00 jioni.

Watoto 10 walawitiwa na kubakwa katika kipindi cha miezi mitatu mkoani Shinyanga.
Africa East Africa

Watoto 10 walawitiwa na kubakwa katika kipindi cha miezi mitatu mkoani Shinyanga.

Asia GambaMarch 29, 2022March 29, 2022

Waliofanyiwa vitendo hivyo vya ukatili wanakadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka sita hadi 12 wa jinsia ya kike na walikutwa na mkasa huo baada ya kuagizwa na wazazi wao dukani nyakati za usiku.

CUF wapinga suala la Katiba Mpya kushughulikiwa baada ya uchaguzi wa 2025
Africa East Africa

CUF wapinga suala la Katiba Mpya kushughulikiwa baada ya uchaguzi wa 2025

Asia GambaMarch 29, 2022March 29, 2022

Baraza hilo linasikitishwa na hatua zilizochukuliwa na kikosi kazi hicho, na kwamba ni vyema serikali na wadau wote wajue CUF na wajumbe wote wa mkutano huo walitamani katiba mpya ipatikane haraka.

Watu wenye silaha washambulia treni ya abiria kaskazini magharibi mwa Nigeria
Africa Features

Watu wenye silaha washambulia treni ya abiria kaskazini magharibi mwa Nigeria

Maureen MedzaMarch 29, 2022March 29, 2022

Hili lilikuwa ni shambulizi la hivi punde zaidi lililohusishwa na magenge ya wahalifu wenye silaha, ambao wanalaumiwa kwa kuongezeka kwa ghasia na utekaji nyara mkubwa kaskazini magharibi mwa Nigeria.

Apandishwa kizimbani kwa kumdhalilisha mwanafuzi wa darasa la pili.
Africa East Africa

Apandishwa kizimbani kwa kumdhalilisha mwanafuzi wa darasa la pili.

Asia GambaMarch 28, 2022March 28, 2022

Mzee huyo anadaiwa kumvua nguo kisha kumwingizia kidole sehemu za siri binti wa darasa la pili mjini Igunga 

Kenya yawaachilia waendesha bodaboda 16 waliokuwa wameshikiliwa kwa kumnyanyasa kijinsia dereva mwanamke
Features

Kenya yawaachilia waendesha bodaboda 16 waliokuwa wameshikiliwa kwa kumnyanyasa kijinsia dereva mwanamke

Maureen MedzaMarch 28, 2022March 28, 2022

Mahakama ya Nairobi iliamuru waachiliwe huru baada ya upande wa mashtaka kusema hawakuwa na ushahidi wa kutosha kuwahusisha waendeshaji bodaboda hao na uhalifu.

“Sanaa yaiga maisha,” Will Smith baada ya kumzaba kofi mcheshi Chris Rock wakati wa tuzo za Oscars
Arts & Culture Entertainment Features International People

“Sanaa yaiga maisha,” Will Smith baada ya kumzaba kofi mcheshi Chris Rock wakati wa tuzo za Oscars

Maureen MedzaMarch 28, 2022March 28, 2022

Rock alifanya mzaha akilinganisha nywele za Jada Pinkett Smith alizonyoa na mwonekano wa Demi Moore katika filamu ‘GI Jane’

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo