• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: April 25, 2022

Bibi arusi, mpishi wakamatwa kwa kutia bangi kwenye chakula cha harusi
Europe Features International Lifestyle & Health

Bibi arusi, mpishi wakamatwa kwa kutia bangi kwenye chakula cha harusi

Maureen MedzaApril 25, 2022April 25, 2022

Baada ya mgonjwa mmoja kufanyiwa uchunguzi, THC kiungo kikuu cha bangi kinachoathiri akili,kilipatikana kwenye damu yake

Takriban watu 6 wamekufa, 48 waokolewa baada ya mashua kupinduka karibu na Lebanon
Africa Europe Features

Takriban watu 6 wamekufa, 48 waokolewa baada ya mashua kupinduka karibu na Lebanon

Maureen MedzaApril 25, 2022April 25, 2022

sio ajali ya kwanza ya aina yake kwa nchi hiyo iliyokumbwa na mzozo na inayokabiliana na mdororo mbaya zaidi wa kifedha kuwahi kutokea.

Ukaguzi wa vituo vya kutolea huduma za afya kuanza leo
Africa

Ukaguzi wa vituo vya kutolea huduma za afya kuanza leo

Asia GambaApril 25, 2022April 25, 2022

Aprili 20 mwaka huu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Profesa Abel Makubi alisema ukaguzi huo pia utafanyika katika vituo binafsi vya afya.

Alpha Conde, Rais wa zamani wa Guinea ‘hatimaye yuko huru’
Africa Features People Politics

Alpha Conde, Rais wa zamani wa Guinea ‘hatimaye yuko huru’

Maureen MedzaApril 25, 2022April 25, 2022

Conde alikuwa rais wa kwanza wa Guinea kuchaguliwa kidemokrasia mwaka 2010, aliondolewa madarakani na maafisa wa jeshi mwaka jana na nafasi yake kuchukuliwa na Kanali Mamady Doumbouya.

Watuhimiwa kufanya utekaji na kuwabaka warembo
Africa

Watuhimiwa kufanya utekaji na kuwabaka warembo

Asia GambaApril 25, 2022April 25, 2022

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Jastin Masejo amethibitisha kukamatwa kwa watuhumiwa hao na kuongeza kuwa kuna watuhumiwa zaidi wamekamatwa wakidaiwa kushirikiana na mtandao huo.

#Sudan: Ghasia katika jimbo la Darfur zasababisha vifo vya watu 168
Africa Features Politics

#Sudan: Ghasia katika jimbo la Darfur zasababisha vifo vya watu 168

Maureen MedzaApril 25, 2022April 25, 2022

Darfur, ambayo imekumwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyozuka mwaka 2003, imeshuhudia ongezeko la vita na mauaji  tangu Oktoba mwaka jana

Nigeria: Mlipuko katika kiwanda haramu cha mafuta chawaua takriban watu 110
Africa Features

Nigeria: Mlipuko katika kiwanda haramu cha mafuta chawaua takriban watu 110

Maureen MedzaApril 25, 2022April 25, 2022

Moto wa mabomba ya mafuta ni jambo la kawaida nchini Nigeria, kwa sababu ya wezi ambao huharibu mabomba ili kunyonya petroli na kuiuza kwenye soko haramu

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo