Umoja wa Mataifa watoa wito wa kukomesha vita vya Urusi nchini Ukraine
UN na mataifa kadhaa yametoa wito kusitisha vita vya Urusi nchini Ukraine, huku kukiwa hakuna uwezekano wa kufufua mazungumzo ya amani kati ya nchi hizo mbili.
UN na mataifa kadhaa yametoa wito kusitisha vita vya Urusi nchini Ukraine, huku kukiwa hakuna uwezekano wa kufufua mazungumzo ya amani kati ya nchi hizo mbili.
Katika kesi hiyo inadaiwa, kati ya Septemba 17, 2019 na Oktoba 2019 jijini Dar Es salaam Mwijaku kwa kutumia mtandao wa Whatsupp alisambaza picha za utupu mtandaoni.
Fedha hizo zilipaswa kununua vifaa hivyo ambavyo vingesambazwa katika hospitali za mikoa, wilaya zanahati na vituo vya afya kote nchini
Chama hicho cha siasa za upinzania nchini Tanzania kimesema kushiriki mkutano huo ni kupoteza muda na kutumia vibaya rasilimali za Watanzania badala ya kujadili masuala muhimu ya uchumi kwa ajili ya wananchi
Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama imelitaka Jeshi la Polisi nchini Tanzania kuhakikisha linaweka mbinu mbadala ili kutokomeza vitendo vya uhalifu mitaani vinavyofanywa na kundi la Panya Road.
Kutokana na kesi hiyo, upande wa mashitaka umeahidi kuleta mashahidi saba na vielelezo vitatu katika kesi hiyo itakayoanza kusikilizwa Mei 18, 2022.
Somalia has not held a one-person, one-vote election in 50 years.
Nchi za kipato cha juu zilichangia asilimia 15 ya vifo,
Mataifa ya kipato cha kati yalichangia vifo asilimia 28; mataifa ya kipato cha chini asilimia 53; na nchi zenye kipato cha chini asilimia nne.
For 89 minutes, the English champions showed the maturity built up over a decade of experience in the competition but in 90 seconds their best-laid plans were destroyed.
TikTok says only accounts with at least 100,000 subscribers will be eligible for the first phase of the program.