• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: May 2022

Umoja wa Mataifa watoa wito wa kukomesha vita vya Urusi nchini Ukraine
Europe International War & Conflicts

Umoja wa Mataifa watoa wito wa kukomesha vita vya Urusi nchini Ukraine

Maureen MedzaMay 6, 2022July 2, 2024

UN na mataifa kadhaa yametoa wito kusitisha vita vya Urusi nchini Ukraine, huku kukiwa hakuna uwezekano wa kufufua mazungumzo ya amani kati ya nchi hizo mbili.

Kesi ya kusambaza picha za utupu yamuweka pabaya Mwijaku
Entertainment

Kesi ya kusambaza picha za utupu yamuweka pabaya Mwijaku

Asia GambaMay 6, 2022May 6, 2022

Katika kesi hiyo inadaiwa, kati ya Septemba 17, 2019 na Oktoba 2019 jijini Dar Es salaam Mwijaku kwa kutumia mtandao wa Whatsupp alisambaza picha za utupu mtandaoni.

Bohari Kuu ya Dawa nchini Tanzania ilivyopiga fedha za Uviko-19
Africa

Bohari Kuu ya Dawa nchini Tanzania ilivyopiga fedha za Uviko-19

Asia GambaMay 6, 2022May 6, 2022

Fedha hizo zilipaswa kununua vifaa hivyo ambavyo vingesambazwa katika hospitali za mikoa, wilaya zanahati na vituo vya afya kote nchini

NCCR Mageuzi yaweka mgomo kushiriki vikao vya kikosi kazi
Africa

NCCR Mageuzi yaweka mgomo kushiriki vikao vya kikosi kazi

Asia GambaMay 5, 2022May 5, 2022

Chama hicho cha siasa za upinzania nchini Tanzania kimesema kushiriki mkutano huo ni kupoteza muda  na kutumia vibaya rasilimali za Watanzania badala ya kujadili masuala muhimu ya uchumi kwa ajili ya wananchi

Panya Road wawa gumzo kila mahali, bunge laibua mbinu za kukabiliana nao
Africa

Panya Road wawa gumzo kila mahali, bunge laibua mbinu za kukabiliana nao

Asia GambaMay 5, 2022May 5, 2022

Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama imelitaka Jeshi la Polisi nchini Tanzania kuhakikisha linaweka mbinu mbadala ili kutokomeza vitendo vya uhalifu mitaani vinavyofanywa na kundi la Panya Road.

Madeleka akabiliwa na kesi ya kuchapisha habari za uongo
Africa

Madeleka akabiliwa na kesi ya kuchapisha habari za uongo

Asia GambaMay 5, 2022May 5, 2022

Kutokana na kesi hiyo, upande wa mashitaka umeahidi kuleta mashahidi saba na vielelezo vitatu katika kesi hiyo itakayoanza kusikilizwa Mei 18, 2022.

Somalia to hold presidential election on May 15
Africa East Africa Politics

Somalia to hold presidential election on May 15

Leah NgariMay 5, 2022May 5, 2022

Somalia has not held a one-person, one-vote election in 50 years.

WHO: Janga la UVIKO 19 liliua milioni 13 hadi 17 kati ya 2020-2021
Africa Features International Lifestyle & Health

WHO: Janga la UVIKO 19 liliua milioni 13 hadi 17 kati ya 2020-2021

Maureen MedzaMay 5, 2022May 5, 2022

Nchi za kipato cha juu zilichangia asilimia 15 ya vifo,
Mataifa ya kipato cha kati yalichangia vifo asilimia 28; mataifa ya kipato cha chini asilimia 53; na nchi zenye kipato cha chini asilimia nne.

Man City suffer most painful Champions League meltdown in Madrid
Football Sports

Man City suffer most painful Champions League meltdown in Madrid

Mwanzo EditorMay 5, 2022May 5, 2022

For 89 minutes, the English champions showed the maturity built up over a decade of experience in the competition but in 90 seconds their best-laid plans were destroyed.

TikTok to launch ad revenue-sharing program for creators
Africa Arts & Culture Business / Finance Entertainment People

TikTok to launch ad revenue-sharing program for creators

Leah NgariMay 5, 2022May 5, 2022

TikTok says only accounts with at least 100,000 subscribers will be eligible for the first phase of the program.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo