• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: June 2022

Wafanyabiashara watatu wapandishwa kizimbani kwa kuisababishia TRA hasara ya zaidi ya  shilingi bilioni 10.5
Africa East Africa

Wafanyabiashara watatu wapandishwa kizimbani kwa kuisababishia TRA hasara ya zaidi ya  shilingi bilioni 10.5

Asia GambaJune 24, 2022June 24, 2022

Akisoma hati ya mashtaka, wakili wa serikali wa TRA, Medalakini Godwini alidai watatu hao walitenda makosa hayo kati ya Januari 2018 na Juni 15,2022 jijini Dar es Salaam.

Miradi ya Maendeleo yatajwa kuwa chanzo cha ongezeko la deni la Taifa nchini Tanzania.
Africa East Africa

Miradi ya Maendeleo yatajwa kuwa chanzo cha ongezeko la deni la Taifa nchini Tanzania.

Asia GambaJune 24, 2022June 24, 2022

Akihitimisha mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2022/23, bungeni jijini Dodoma, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema deni hilo haliongezeki kwa sababu ya matumizi ya kawaida ya Serikali.

Kenya: Uhaba wa kondomu wakumba mji wa Naivasha kwenye mashindano ya magari ya WRC
East Africa Features

Kenya: Uhaba wa kondomu wakumba mji wa Naivasha kwenye mashindano ya magari ya WRC

Maureen MedzaJune 24, 2022June 24, 2022

Mashindano hayo yalianza Alhamisi na yatahitimishwa Jumapili, Juni 26. Jiji la Naivasha limeshuhudia ongezeko la wageni, wakiwemo wafanyabiashara wa ngono na kusababisha uhaba wa kondomu.

Tanzania  kupitia miongozo kupunguza michango shuleni
Africa East Africa

Tanzania  kupitia miongozo kupunguza michango shuleni

Asia GambaJune 24, 2022June 24, 2022

Katika majadala huo, baadhi ya wabunge waliiomba Serikali itatue changamoto ya utitiri wa michango ya wanafunzi shuleni, ili azma yake ya kufuta ada kuanzia shule ya msingi hadi kidato cha tano na sita kwa ajili ya kuwapunguzia mzigo wananchi, iwe na tija.

Baadhi ya Wamasai walihamia Msomera wafurahia makazi mapya ya Msomera
Africa East Africa

Baadhi ya Wamasai walihamia Msomera wafurahia makazi mapya ya Msomera

Asia GambaJune 24, 2022June 24, 2022

Hayo yameelezwa na baadhi ya wakazi hao mbele ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipotembelea eneo hilo jana Juni 23, 2022 kukagua makazi na miundombinu ya huduma za jamii inayojengwa katika eneo hilo.

Khaby Lame ndio mfalme wa TikTok baada ya kuwa na wafuasi wengi zaidi kwenye TikTok
Africa Entertainment Europe Features People

Khaby Lame ndio mfalme wa TikTok baada ya kuwa na wafuasi wengi zaidi kwenye TikTok

Maureen MedzaJune 24, 2022June 24, 2022

Khabane ‘Khaby’ Lame sasa ana wafuasi wengi zaidi kwenye TikTok, akiwa na wafuasi milioni 142.8 wakati wa chapisho hili.

Lagos,Nigeria yaorodheshwa ya pili katika miji mibaya zaidi kuishi duniani
Africa Europe Features International

Lagos,Nigeria yaorodheshwa ya pili katika miji mibaya zaidi kuishi duniani

Maureen MedzaJune 24, 2022June 24, 2022

EIU inachunguza ubora wa huduma za afya, elimu, miundombinu, uthabiti na utamaduni wakati wa kutathmini hali ya maisha ya kila jiji.

Naomi Osaka’s HANA KUMA received differently by African swahili speakers
Africa East Africa Sports

Naomi Osaka’s HANA KUMA received differently by African swahili speakers

Aska MakoriJune 24, 2022June 24, 2022

The use of the phrase has triggered an online discussion, memes and funny comments in Kenya with many users calling on Osaka, whose father was born in Haiti and whose mother is Japanese, to reconsider.

Commonwealth meets in shadow of migrant, rights row
Africa East Africa

Commonwealth meets in shadow of migrant, rights row

Aska MakoriJune 24, 2022June 24, 2022

Prince Charles, representing Queen Elizabeth II as head of the Commonwealth, made the first visit of any British royal to Rwanda for the gathering, which culminates in two days of leadership meetings.

Jumuiya ya Madola yakuatana kuanzia leo Kigali,Rwanda
Africa Europe Features International People Politics

Jumuiya ya Madola yakuatana kuanzia leo Kigali,Rwanda

Maureen MedzaJune 24, 2022June 24, 2022

Mkutano wa kilele wa viongozi wa Jumuiya ya Madola unafunguliwa Ijumaa nchini Rwanda huku taifa mwenyeji likichunguzwa kuhusu rekodi yake ya haki na makubaliano ya wahamiaji na Uingereza yakitishia kuchanganya mkutano huo.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo