• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: November 18, 2022

Wabunge nchini Ghana wamhoji waziri wa fedha
Africa

Wabunge nchini Ghana wamhoji waziri wa fedha

Victor WanaswaNovember 18, 2022November 18, 2022

Serikali ya rais Nana Akufo-Addo inakabiliwa na ukosoaji unaojiri wakati ambapo serikali yake inajadiliana hadi dola bilioni 3 za mkopo kutoka kwa shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kusaidia kufadhili fedha za umma.

Tanzania yapewa msaada wa bilioni 210 kutoka Ujerumani
Africa East Africa

Tanzania yapewa msaada wa bilioni 210 kutoka Ujerumani

Asia GambaNovember 18, 2022November 18, 2022

Ujerumani imetangaza uamuzi huo mjini Berlin baada ya kukamilika kwa majadiliano kati ya ujumbe wa Tanzania ulioongozwa na Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba na Ujumbe wa Ujerumani ulioongozwa na Naibu Waziri anayesimamia uhusiano wa kiuchumi na Maendeleo wa nchi hiyo, Dkt. Barbel Kofler.

Nape:TRA tumieni taaluma kukusanya kodi msitumie nguvu
Africa East Africa

Nape:TRA tumieni taaluma kukusanya kodi msitumie nguvu

Asia GambaNovember 18, 2022November 18, 2022

Nape ametoa kauli hiyo jijini  Dar es Salaam wakati wa hafla ya utoaji tuzo kwa walipa kodi bora mwaka 2021/2022.

Beer sales banned around Qatar World Cup stadiums: FIFA
Sports

Beer sales banned around Qatar World Cup stadiums: FIFA

Victor WanaswaNovember 18, 2022November 18, 2022

Football’s world body said the decision was taken following “discussions” with World Cup hosts Qatar, an Islamic state which severely restricts alcohol consumption.

Tiketi za Kombe la Dunia Nchini Qatar ndio ghali Zaidi Kuwahi kushudiwa-Utafiti
Sports

Tiketi za Kombe la Dunia Nchini Qatar ndio ghali Zaidi Kuwahi kushudiwa-Utafiti

Victor WanaswaNovember 18, 2022November 18, 2022

Wakati mashabiki nchini Urusi walilipa takriban pauni 214 (31, 1000) kwa tikiti za mechi nchini Qatar zinagharimu pauni 286 (41,000) kulingana na utafiti wa Keller Sports.

Six star players to watch at the World Cup
Football People Sports

Six star players to watch at the World Cup

Mwanzo EditorNovember 18, 2022November 18, 2022

The 2022 World Cup gets underway on Sunday in Qatar, with France hoping to become the first team to successfully defend the title since Brazil 60 years ago

Mwanawe Odinga, Winnie Odinga kuwakilisha Kenya katika bunge la Afrika Mashariki
East Africa Politics

Mwanawe Odinga, Winnie Odinga kuwakilisha Kenya katika bunge la Afrika Mashariki

Victor WanaswaNovember 18, 2022November 18, 2022

Winnie Odinga, Binti mdogo wa Raila Odinga akiibuka wa pili kwa kura 247, jambo ambalo linamfungulia njia ya kuwakilisha taifa la Kenya kwa muhula wa miaka mitano katika bunge la EALA lililoko mjini Arusha.

Mtoto afariki dunia kwa kuangukiwa na ukuta
Africa East Africa

Mtoto afariki dunia kwa kuangukiwa na ukuta

Asia GambaNovember 18, 2022November 18, 2022

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Hamisi Issah, alisema tukio hilo limetokea Novemba 10, majira ya saa 10 jioni wakati mtoto aliporudi shule na kukuta mlango wa nyumbani kwao umefungwa na kuamua kujikinga kwenye boma hilo wakati mvua ikinyesha.

Kitengo cha Mafunzo ya Jeshi la Uingereza nchini Kenya chakumbatia teknolojia mpya ya mafunzo
Kenya

Kitengo cha Mafunzo ya Jeshi la Uingereza nchini Kenya chakumbatia teknolojia mpya ya mafunzo

Victor WanaswaNovember 18, 2022July 2, 2024

Jeshi vilevile imeanzisha mafunzo ya muigo ya kukabiliana na hali ya mapigano, ambapo wamewafunza wahandisi wa Kenya kuhusu teknolojia hiyo.

UNICEF:Ubaguzi wa rangi na ubaguzi dhidi ya watoto umeenea duniani kote.
Africa East Africa

UNICEF:Ubaguzi wa rangi na ubaguzi dhidi ya watoto umeenea duniani kote.

Asia GambaNovember 18, 2022

Taarifa iliyotolewa leo na UNICEF kutoka New York Marekani imeeleza kuwa katika utafiti uliofanywa kwenye nchi 22 za kipato cha chini na cha kati umeonesha jinsi watoto wanavyobaguliwa katika afya, kupata rasilimali zinazotolewa na serikali, na elimu.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo