• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: November 2022

Rushwa yavuruga uchaguzi wa CCM
Africa East Africa

Rushwa yavuruga uchaguzi wa CCM

Asia GambaNovember 21, 2022November 21, 2022

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimefuta matokeo ya uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti Umoja wa Vijana Mkoa wa Simiyu na kusimamisha mchakato wa uchaguzi wa wajumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho katika mikoa ya Mbeya na Arusha.

Atwoli Amechaguliwa Makamu wa Rais wa ITUC kwa Awamu ya Nne
International

Atwoli Amechaguliwa Makamu wa Rais wa ITUC kwa Awamu ya Nne

Victor WanaswaNovember 21, 2022November 21, 2022

Uteuzi wa Atwoli uliidhinishwa kwa kauli moja na zaidi ya wajumbe 2000 na kufungua njia kwa muhula wake wa miaka mine katika ITUC, ambayo ina makao yake makuu mjini Brussels, Ubelgiji.

TCRA: Watumiaji wa fedha kwa njia ya mtandao wameongezeka
Africa East Africa

TCRA: Watumiaji wa fedha kwa njia ya mtandao wameongezeka

Asia GambaNovember 21, 2022November 21, 2022

Taarifa ya utendaji kazi ya Mamlaka hiyo kwa mwaka 2022/23 inaonyesha kuwa akaunti za pesa kwa simu za mkononi zimeongezeka na kufikia watumiaji 39,590,502 mwezi Septemba mwaka huu kutoka watumiaji 35,201,960 walioripotiwa Mwezi Januari mwaka 2022.

Chanzo cha kufeli kwa mawakili nchini Tanzania chawekwa wazi
Africa East Africa

Chanzo cha kufeli kwa mawakili nchini Tanzania chawekwa wazi

Asia GambaNovember 21, 2022November 21, 2022

Kamati ya kufuatilia mwenendo wa matokeo ya mitihani ya mafunzo ya uansheria kwa vitendo (LST), imeanisha changamoto nane ikisema ni miongoni mwa vikwazo katika kupata wanafunzi bora wanaosomea fani ya sheria nchini.

Wabunge nchini Ghana wamhoji waziri wa fedha
Africa

Wabunge nchini Ghana wamhoji waziri wa fedha

Victor WanaswaNovember 18, 2022November 18, 2022

Serikali ya rais Nana Akufo-Addo inakabiliwa na ukosoaji unaojiri wakati ambapo serikali yake inajadiliana hadi dola bilioni 3 za mkopo kutoka kwa shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kusaidia kufadhili fedha za umma.

Tanzania yapewa msaada wa bilioni 210 kutoka Ujerumani
Africa East Africa

Tanzania yapewa msaada wa bilioni 210 kutoka Ujerumani

Asia GambaNovember 18, 2022November 18, 2022

Ujerumani imetangaza uamuzi huo mjini Berlin baada ya kukamilika kwa majadiliano kati ya ujumbe wa Tanzania ulioongozwa na Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba na Ujumbe wa Ujerumani ulioongozwa na Naibu Waziri anayesimamia uhusiano wa kiuchumi na Maendeleo wa nchi hiyo, Dkt. Barbel Kofler.

Nape:TRA tumieni taaluma kukusanya kodi msitumie nguvu
Africa East Africa

Nape:TRA tumieni taaluma kukusanya kodi msitumie nguvu

Asia GambaNovember 18, 2022November 18, 2022

Nape ametoa kauli hiyo jijini  Dar es Salaam wakati wa hafla ya utoaji tuzo kwa walipa kodi bora mwaka 2021/2022.

Beer sales banned around Qatar World Cup stadiums: FIFA
Sports

Beer sales banned around Qatar World Cup stadiums: FIFA

Victor WanaswaNovember 18, 2022November 18, 2022

Football’s world body said the decision was taken following “discussions” with World Cup hosts Qatar, an Islamic state which severely restricts alcohol consumption.

Tiketi za Kombe la Dunia Nchini Qatar ndio ghali Zaidi Kuwahi kushudiwa-Utafiti
Sports

Tiketi za Kombe la Dunia Nchini Qatar ndio ghali Zaidi Kuwahi kushudiwa-Utafiti

Victor WanaswaNovember 18, 2022November 18, 2022

Wakati mashabiki nchini Urusi walilipa takriban pauni 214 (31, 1000) kwa tikiti za mechi nchini Qatar zinagharimu pauni 286 (41,000) kulingana na utafiti wa Keller Sports.

Six star players to watch at the World Cup
Football People Sports

Six star players to watch at the World Cup

Mwanzo EditorNovember 18, 2022November 18, 2022

The 2022 World Cup gets underway on Sunday in Qatar, with France hoping to become the first team to successfully defend the title since Brazil 60 years ago

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo