Tundu Lissu apokewa kwa kishindo nchini Tanzania
Lissu amerejea nchini baada ya kuwa uhamishoni kwa zaidi ya miaka 7
Lissu amerejea nchini baada ya kuwa uhamishoni kwa zaidi ya miaka 7
Kwa mujibu wa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, nchini Tanzania, Dk Stergomena Tax mtanzania huyo alikwenda nchini Urusi mwaka 2020 kwa ajili ya masomo ya shahada ya uzamili katika fani ya biashara, lakini mwezi machi 2022 alipatikana na hatia ya uhalifu na kuhudukumiwa kifungo cha miaka 7.
Kenya’s all-time top try scorer Collins Injera announced his retirement on Tuesday after a 17-year rugby career
Mkazi wa Kijiji cha Kising’a wilayani Kilolo, Frank Kigomba (31) amehukumiwa kwenda jela miaka 30 na kulipa fidia ya Shilingi 500,000 kwa kosa la kumbaka dada yake wa tumbo moja mwenye umri wa miaka 15.
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Kagera, William Mwampaghale amesema tukio hilo limetokea Januari 21, 2023 saa 3:35 usiku katika maeneo ya Barabara ya Kumunazi kwenda Relenge, Wilaya ya Ngara.
Mwanamke mmoja huko Zambia amehukumiwa kifungo cha miezi 12 jela kwa kosa la kumpiga mumewe baada ya kukataa kumpa pesa za karo, vitabu na mahitaji mengine ya watoto.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga alisema jana kuwa mauaji hayo yalitokea Januari 20 mwaka huu katika Kijiji cha Kibole wilayani Rungwe mkoani humo.
Maabara hiyo inatarajiwa kupunguza idadi ya watu wanaosafiri nje ya nchi kwa matibabu maalum
Hata hivyo, katibu mkuu wa Jubilee Jeremiah Kioni hakuwepo katika mkutano huo.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki amekemea vikali tabia ya baadhi viongozi kuomba rushwa ili kupitisha posho za madaraka kwa Walimu Wakuu.