• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Mtafiti wa Colombia auawa na tembo nchini Uganda
Africa East Africa Features

Mtafiti wa Colombia auawa na tembo nchini Uganda

Maureen MedzaApril 12, 2022April 12, 2022

Mtafiti kutoka Colombia amekanyagwa hadi kufa na tembo katika Mbuga ya Kitaifa ya Kibale

Waziri Mkuu wa Italia yupo nchini Algeria akitafuta gesi ili kupunguza utegemezi wa Urusi
Africa Europe Features International

Waziri Mkuu wa Italia yupo nchini Algeria akitafuta gesi ili kupunguza utegemezi wa Urusi

Maureen MedzaApril 11, 2022April 11, 2022

Waziri Mkuu wa Italia Mario Draghi aliwasili Algeria huku Roma ikiongeza juhudi za kupunguza utegemezi wake mkubwa wa gesi ya Urusi.

Kombe la Dunia kufika Kenya katika ziara yake ya mataifa
East Africa Features Football International

Kombe la Dunia kufika Kenya katika ziara yake ya mataifa

Maureen MedzaApril 11, 2022April 11, 2022

Kwa mujibu wa sheria za Fifa, mbali na rais wa nchi, ni wachezaji waliokuwa sehemu ya timu iliyoshinda Kombe la Dunia pekee ndio wanaruhusa kushika kombe hilo.

Elon Musk hajiungi tena na bodi ya Twitter: Mkurugenzi Mtendaji
Features International People

Elon Musk hajiungi tena na bodi ya Twitter: Mkurugenzi Mtendaji

Maureen MedzaApril 11, 2022April 11, 2022

Musk alitajwa kujiunga na bodi ya Twitter baada ya kununua hisa za asilimia 9.2 na kuwa mwanahisa wake mkubwa zaidi.

Rais wa zamani wa Guinea aliyeondolewa madarakani arejea baada ya matibabu nje ya nchi
Africa Features People Politics

Rais wa zamani wa Guinea aliyeondolewa madarakani arejea baada ya matibabu nje ya nchi

Maureen MedzaApril 11, 2022April 11, 2022

Conde 84 alikuwa rais wa kwanza wa Guinea kuchaguliwa kidemokrasia. Aliondolewa madarakani na maafisa wa jeshi mwaka jana na nafasi yake kuchukuliwa na Kanali Mamady Doumbouya

Waasi wa M23 watangaza ‘kujiondoa’ kutoka vijiji vya DR Congo
East Africa Features Politics

Waasi wa M23 watangaza ‘kujiondoa’ kutoka vijiji vya DR Congo

Maureen MedzaApril 11, 2022April 11, 2022

Kundi la M23 lilianzishwa miongoni mwa wanachama wa zamani wa wanamgambo wa Kitutsi wa Congo ambao wakati fulani waliungwa mkono na Rwanda na Uganda.

FAO: Bei ya vyakula duniani yaongezeka kutokana na vita vya Ukraine
Development Features International Politics War & Conflicts

FAO: Bei ya vyakula duniani yaongezeka kutokana na vita vya Ukraine

Maureen MedzaApril 8, 2022July 2, 2024

“Bei za bidhaa za chakula duniani zilipanda kwa kiasi kikubwa mwezi Machi kufikia viwango vyake vya juu zaidi,”FAO

Rihanna aingia kwenye orodha ya Forbes ya mabilionea
Business / Finance Entertainment Features International People

Rihanna aingia kwenye orodha ya Forbes ya mabilionea

Maureen MedzaApril 8, 2022April 8, 2022

Nyota huyo ambaye anatarajia kupata mtoto wake wa kwanza na mpenzi wake rapa ASAP Rocky, alitangazwa rasmi kuwa mwanamke tajiri zaidi katika muziki mwaka jana.

Algeria: Mahakama yamhukumu waziri wa zamani miaka sita jela kwa ufisadi
Africa Features Politics

Algeria: Mahakama yamhukumu waziri wa zamani miaka sita jela kwa ufisadi

Maureen MedzaApril 8, 2022April 8, 2022

Toumi, 64, ambaye amezuiliwa tangu Novemba 2020, alishtakiwa kwa kufuja pesa za umma, matumizi mabaya ya ofisi na kutoa marupurupu isipostahili.

WHO: Zaidi ya theluthi mbili ya Waafrika waliambukizwa UVIKO 19
Africa Features International Lifestyle & Health

WHO: Zaidi ya theluthi mbili ya Waafrika waliambukizwa UVIKO 19

Maureen MedzaApril 8, 2022April 8, 2022

Wakati janga hilo limekuwa na athari mbaya kwa sehemu zingine za ulimwengu, Afrika ilionekana kuepuka athari hizo na haikuathiriwa vibaya kama ilivyohofiwa mwanzoni mwa janga hilo.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo